Zitto Kabwe ndani ya kipindi cha Clouds360 saa 3:30 usiku

Zitto Kabwe ndani ya kipindi cha Clouds360 saa 3:30 usiku

Tofauti ni kubwa sana mkuu.CHADEMA INA viongozi na makada wengi sana ambao wanaweza kwenda kwenye vyombo vya habari na kuelezea Sera,falsafa,itikadi,misimamo na ratiba ya shughuli za chama bila kuwategemea viongozi wa kitaifa.ACT hata ratiba ya ziara ya chama mikoani inatolewa na kiongozi mkuu Zitto! Afisa habari wa ACT wala hajulikani kwa sababu kazi zake zinafanywa na Zitto.Katibu mkuu,manaibu katibu wakuu,makamu wenyeviti, na wajumbe wa kamati kuu ya ACT hawajawahi kufanya kazi yoyote ya siasa au kuhutubia mikutano wakiwa peke yao mpaka waongozane na Zitto.CHADEMA viongozi wote ni wanasiasa mahiri hata ngazi za kata,wilaya na mikoa viongozi wanafanya kazi za siasa kila siku bila kuwasubiri viongozi WA kitaifa.


jicho la kawaida unaweza kusema chadema na ACT kuna utofauti lakini hakuna tofauti yyte ile, mbowe mwenyekiti kwa mhula wa tatu, chama kimejaa ndugu, kwa jicho la ndani ACT, CHADEMA, CCM wote the sake hakuna jipya
 
Knwani vimeongelewa vitu gan cloudstv
 
Knwani vimeongelewa vitu gan cloudstv sikuweza kutizama.
 
Mimi nafikiri tunaangalia pande zote!! yaani Past na Future!!

Tunachagua kwa ajili ya future, lakin tunathibitisha uwezo wake kutekeleza kupitia past.Ila kusema tunachagua kwa past sio sawa.Past ishapita, tunaelekea future.

Kuna watu walifanya vizuri past lakin sasa ni wagonjwa, hawawezi kufanya vile in future, so huwezi kumchagua kwa sababu ya past.
 
Tunachagua kwa ajili ya future, lakin tunathibitisha uwezo wake kutekeleza kupitia past.Ila kusema tunachagua kwa past sio sawa.Past ishapita, tunaelekea future.

Kuna watu walifanya vizuri past lakin sasa ni wagonjwa, hawawezi kufanya vile in future, so huwezi kumchagua kwa sababu ya past.

Alikuwa anamlenga EL?
 
Past shapes future mkuu,don't take that away from that fact. Tunapochagua viongozi ni lazima tujue historia zao,ni muhimu kuelekea kuwapata viongozi bora tuwatakao,hususani wale wanaotaka kugombea nafasi nyeti za uongozi na ambao waliwahi kuitumikia serikali ktk nafasi mbalimbali.
Hivi mtu ambaye ana record za ufisadi na poor performance as a minister leo aje atuambie kwamba atapambana dhidi ya ufisadi na serikali yake itafanya kazi kwa mchakamchaka iwapo atakuwa rais mtakubaliana naye kwasababu tu tunaangalia mbele,hatuangalii nyuma tulipotoka?Zitto anawapeleka pabaya sasa,huko kuamini kwenu kwamba Zitto ana akili nyingi kuliko nyinyi iko siku atawapeleka shimoni kwa huo ujinga wenu.Mjifunze kufikiri na kuchanganua mambo siyo kila kitu anachokiongea mnakiamini.Halafu unasema Mandela alikuwa hajitambui?unajua unachokiongelea?hivi unajua nini maana ya kujitambua?kama angekuwa hajitambui angepigania haki za Weusi dhidi ya utawala wa makaburu nchini Afrika Kusini?You're typical Zitto supporter, I can't blame you.Kama kweli mmesoma hadi chuo kikuu hakika mnakidhalilisha hiko chuo,maana hizi products wanazotoa mmmmh....substandards.

Hiv umenisoma kweli kabla ya kujibu?ebu rudia tena alafu anangalia ilichoandika.

Uchaguzi ni juu ya future sio past, iweke hii bank,tunamchagua mtu ili afanye in future,miaka ile atakayokuwa madarakani.

Nisome vizuri,tunaweza kuthibitisha uwezo wake wa kufanya hayo kwa kuangalia record zake in the past, lakini tunamchagua kwa ajili ya future,elewa tofauti hapo.

Mandela alikuwa shujaa aliyefanya mengi sana,lakin takriban miaka mitano kabla ya kifo chake Mandela alikuwa mgonjwa asiyejitambua,usingemcjagua katika hali ile eti kwa sababu alikuwa hana mfanowe in the past,kuna wengi wa aina hii,ambao walikuwa wazuri sana in the past lakin kwa sababu ya uzee,umri,mabadiliko n.k hawawezi lolote in the future,ndio maana nasema kama na hili hamlijui basi atakuwa amewazidi sana, elections are all about the future.
 
Alikuwa anamlenga EL?

Siwezi kujua lakin Lowassa ni mgonjwa na dhaifu wa mwili ambaye hawezi kufanya lolote in the future.

Lakin tukiangalia record yake tunaonana na ufisadi na uchafu ambao unathibitisha kuwa hawezi kufanya tunayoyataka in the future.
 
Siwezi kujua lakin Lowassa ni mgonjwa na dhaifu wa mwili ambaye hawezi kufanya lolote in the future.

Lakin tukiangalia record yake tunaonana na ufisadi na uchafu ambao unathibitisha kuwa hawezi kufanya tunayoyataka in the future.

Kama ni mgonjwa mbona katka hizi harakati yeye yupo live sana, zaid ya wrngine
 
Mbona your supportive argument is too weak? Past shapes the future, look where China is today, it's because of the past (Mao Tse Tung ),he laid the foundations from where the Chinese success took off.Their success didn't happen out of the blue for Jesus sake.American, South African and European success story has a lot to do with their past.
Najua wengi wenu mnapotaka kuzungumzia kuhusu kuweka mkazo kwenye future kuliko past mnapenda kumtumia Barack Obama kama mfano,kwamba he came from nowhere to being a President of the US.Lakini Waamerika wana utamaduni wao wanapochagua viongozi wao,wanapenda kuangalia resume ya candidate kwanza,mitizamo na misimamo yake ya ilivyo,ndipo wakuunge mkono.Japo Barack Obama hakuwa na executive experience, lakini uwepo wake ktk Senate akiwa kama junior senator from Illinois na records za votes zake katika aidha kuunga mkono au kupinga miswada mbalimbali ktk Senate ilionyesha wapi anasimama kimsimamo,nini anaamini na endapo hiyo misimamo ndiyo misimamo ya Waamerika wengi?
So you could see how important the past is to getting the better leaders,you can't ignore that fact.
Tunachagua kwa ajili ya future, lakin tunathibitisha uwezo wake kutekeleza kupitia past.Ila kusema tunachagua kwa past sio sawa.Past ishapita, tunaelekea future.

Kuna watu walifanya vizuri past lakin sasa ni wagonjwa, hawawezi kufanya vile in future, so huwezi kumchagua kwa sababu ya past.
 
Zitto anawasumbua hawa wabaguzi,ni wazi kuwa hata hao makada wengi wa cdm wanaozungumziwa leo hawakupatikana kwa wiki mojo, ukumbukwe kuwa nguvu ya zitto ni sehemu ya mafanikio ya hiyo chadema inayozungumziwa sasa hivi. Mkiacha ubaguzi na kuamini katika siasa safi naamini kabisa kuwa hamtakuwa na muda wa kila siku kumchafua zzk.
 
Kumlinganisha Mandela na Zito nisawa na kulinganisha usingizi na kifo! Kwa historia ya Zito ni ya miaka mingapi na Mandela ni miaka mingapi? Haya tuchukulie kwa asilimia ya mazuri waioyafanya ziito na mandelala

Usome na kuelewa kabla ya kujibu.
 
Mbona your supportive argument is too weak? Past shapes the future, look where China is today, it's because of the past (Mao Tse Tung ),he laid the foundations from where the Chinese success took off.Their success didn't happen out of the blue for Jesus sake.American, South African and European success story has a lot to do with their past.
Najua wengi wenu mnapotaka kuzungumzia kuhusu kuweka mkazo kwenye future kuliko past mnapenda kumtumia Barack Obama kama mfano,kwamba he came from nowhere to being a President of the US.Lakini Waamerika wana utamaduni wao wanapochagua viongozi wao,wanapenda kuangalia resume ya candidate kwanza,mitizamo na misimamo yake ya ilivyo,ndipo wakuunge mkono.Japo Barack Obama hakuwa na executive experience, lakini uwepo wake ktk Senate akiwa kama junior senator from Illinois na records za votes zake katika aidha kuunga mkono au kupinga miswada mbalimbali ktk Senate ilionyesha wapi anasimama kimsimamo,nini anaamini na endapo hiyo misimamo ndiyo misimamo ya Waamerika wengi?
So you could see how important the past is to getting the better leaders,you can't ignore that fact.

Usikariri misemo bila kuielewa, Mao tse Tung anahusiana vip na tunachojadili hapa?labda kama hoja ingekuwa kuwa Mao tse Tung angekuwa hai basi angepaswa achaguliwe leo kwa sababu ya hana mfano wake in the past katika nchi ya China,ata yeye angewashangaa!

Hoja ni je Wazanzibar wamchague sasa Aboud Jumbe ili tupate serikali 3 kwa sababu alikuwa mtetezi mahiri wa hilo kabla ya yeyote mwaka 1983?hoja ni je kupambana na ubepari tumchague Mzee Kingunge kwa sababu in the past ni mjamaa mwenye record iliyotukuka?nikuoe mfano mwepesi,twende nje ya siasa hoja ni je Real Madrid imsajili leo Pele kwa sababu hakuna kipaji kama yeye kilichopata kutokea?ata perform leo?
No,its always about the future.

Unazunguka saaana lakin huwezi kuukwepa ukweli ulio mbele yako.Tunachagua kiongozi kwa ajili ya future na sio past,hatumchagui kiongozi leo kwa ajili ya 2010 bali kwa ajili ya october 2015-2020, which is the future.

Ingekuwa tunachagua kwa ajili ya pat basi wasingekuja na ilani ya mambo waTAkayo(FUTURE) tekeleza basli wangekuwa na mambo waLIyotekeleza(PAST),uchaguzi haupo hivyo.Dunia haisimami,uchaguzi wowote ni future!

Past inatumia tu kuthibitisha uwezo wa kufanya hayo in the future!Shika hilo,hii ni first principle, mtu yeyote mwenye walau elimu ya darasa la 4 anapaswa awe anajua hili.Kutolijua hili ni dalili ya kutoweza kufikiri ndio maana nasema kama ata hili hamlijui basi kawazidi sana..
 
zitto kweli kasumbua vichwa vya watu. nimeamini zitto ni mtu mkubwa nchi hii. ujue watu wanabaki wanampima kama vile ni rais au waziri mkuu.

Toka kuwa maarufu hadi kuwa mnafiki..kwa heri zitto omba mungu arudi bungeni ajijenge upya..
 
Past shapes future mkuu,don't take that away from that fact. Tunapochagua viongozi ni lazima tujue historia zao,ni muhimu kuelekea kuwapata viongozi bora tuwatakao,hususani wale wanaotaka kugombea nafasi nyeti za uongozi na ambao waliwahi kuitumikia serikali ktk nafasi mbalimbali.
Hivi mtu ambaye ana record za ufisadi na poor performance as a minister leo aje atuambie kwamba atapambana dhidi ya ufisadi na serikali yake itafanya kazi kwa mchakamchaka iwapo atakuwa rais mtakubaliana naye kwasababu tu tunaangalia mbele,hatuangalii nyuma tulipotoka?Zitto anawapeleka pabaya sasa,huko kuamini kwenu kwamba Zitto ana akili nyingi kuliko nyinyi iko siku atawapeleka shimoni kwa huo ujinga wenu.Mjifunze kufikiri na kuchanganua mambo siyo kila kitu anachokiongea mnakiamini.Halafu unasema Mandela alikuwa hajitambui?unajua unachokiongelea?hivi unajua nini maana ya kujitambua?kama angekuwa hajitambui angepigania haki za Weusi dhidi ya utawala wa makaburu nchini Afrika Kusini?You're typical Zitto supporter, I can't blame you.Kama kweli mmesoma hadi chuo kikuu hakika mnakidhalilisha hiko chuo,maana hizi products wanazotoa mmmmh....substandards.

We nawe uwe unasoma na kuelewa, usiwe kama Kihiyo, amesema Mandela alipokuwa mzee alikuwa hajitambui, Kwa hiyo asingefikiriwa kwa future
 
Umenena mkuu,akili kubwa watakusoma!
Kweli Zitto amewazidi akili kama ata hilo hamjui?

Tunachagua kiongozi kwa ajili ya future,tunataka atuongoze kuzimaliza changamoto zetu na kutufikisha tunapotaka kwenda,FUTURE!!Ndio maanaa tunamuuliza tuambie program yako, ataeleza ilani, NITAfanya hivi na vile.FUTURE!

Lakin tunaweza kuuliza haya unayosema utafanya tumeyakubali, lakin je unaweza kweli kuyatekeleza?sio maneno matupu?ndipo record yake inapokuja kusupport kuwa ANAFAA KWA HIYO FUTURE MNAYOITAKA.

Shika hili sikuzote, uchaguzi ni juu ya future na sio past, miaka mitatu iliyopita Afrika Kusini wasingeweza kumchagua Mandela kuwa Rais maana alikuwa hajitambui, kwanin wasimchagua mtu mwenye PAST nzuri kama ile?ni kwa aliishakuwa Mzee asiyejitambua hivyo asingefaa kwa FUTURE SIO PAST.
 
Back
Top Bottom