Zitto Kabwe ndani ya kipindi cha Clouds360 saa 3:30 usiku

Zitto Kabwe ndani ya kipindi cha Clouds360 saa 3:30 usiku

Zito atawatesa sana kucha kutwa kumjadili .
Kweli nimeamini zito ni akili kubwa
HAKIKA ZITO NI RAISI WA TZ 2020
 
zitto kweli kasumbua vichwa vya watu. nimeamini zitto ni mtu mkubwa nchi hii. ujue watu wanabaki wanampima kama vile ni rais au waziri mkuu.

Lakini sio rais wala waziri Mkuu . bali ninafiki flan
 
Kiongozi mkuu wa act yupo live muda huu anafafanua masuala ya kisiasa mfuatilieni wapendwa!
 
Msaliti anaujumbe kwa wasaliti ,kama sio msaliti basi huna haja ya kufuatilia
 
Zitto tena! anawaumiza sana vichwa. Ngoja nimuangalie clouds tv akitema madini.
 
Ataijua CCM kama imeanzishwa na nyerere au na Kikwete maana kala hela zao halafu kazi aliyopewa kaishindwa(kazi ya kuiua Chadema) ajiandae msitu wa Mabwepande unamuhusu
 
Anasema hagombei tena jimbo lake la kigoma, eti atagombea jimbo tofauti.
 
Huyu dogo (niki wa pili) analeta sifa za kisanii..
Anataka amfunike kwa lazima wakati hana hata uwezo wa kujenga hoja na kumchalenji.
Zito amerelax sana cz wanaomhoji hawako deep ktk siasa!
 
Anamtesa nani !mnafiki anaweza kutesa mtu?Hana jipya ,amepwaya sana huyu.
 
sixgates

Ama kweli maajabu hayaishi, huyu ndio alitoaga ultimatum kwa CHADEMA kuwa wakimfukuza Zitto ataongoza taifa kuihukumu CHADEMA .....sasa leo anauliza kuwa Zitto kaficha majina ya Uswisi?
 
Last edited by a moderator:
Zito Kabwe katika kipindi cha 360 clouds anasema kwa mara ya kwanza wabunge wa upinzani wamefanya maamuzi sahihi kususia miswada ya gesi kupitishwa kwa hati ya dharura...
 
Back
Top Bottom