Zitto Kabwe ndani ya kipindi cha Clouds360 saa 3:30 usiku

Zitto Kabwe ndani ya kipindi cha Clouds360 saa 3:30 usiku

Wanabodi hakika Zitto amenishangaza sana,kwenye kipindi cha clouds 360 usiku,anasema kuwa tunachagua viongozi kwa kuangalia future. Niki wa Pili amemwambia ni vema kuangalia past,mfano kama mtu alikuwa waziri basi tumpime amefanya nini kwa nafasi yake,lakini Zitto amekuwa mbishi kwa kusema tunachagua kwa kuangalia future.
My take, Zitto atakuwa na siri nyuma ya pazia,isije kuwa wanavizia fisadi from CCM, then waje waseme tuangalie ya mbele.

Haya wale mnaodai Zitto is the most intelligent politician in Tanzania mje mtuambie kati ya Zitto na Nikki wa 2 nani yupo sahihi?Mahaba kando,tanguliza ubongo wako mbele!
 
kibaka na malaya wa siasa zitto anajipya anazidiwa akili na mwandishi wa habari katika kujua mambo ya msingi,ukiwa mura rusha /mtoa rushwa /mokea rushwa na msaliti hii zambi mpaka kiama chako,
 
nilimsikia nikazima na radio maana alichokuwa anaeleza ni takataka tu nafikiri hakuna haja ya kuita mtu kama huyu hasiye na mchango kwa faida ya nchi hii bali kibaka tu wa siasa za wezi,
 
Nick hana lolote ameharibu kipindi anaongea kama yupo kwenye kijiwe cha wahuni.
lazima uangalie kiongozi atafanya nini ukimchagua.huo ndio ukweli.
 
Kweli Zitto amewazidi akili kama ata hilo hamjui?

Tunachagua kiongozi kwa ajili ya future,tunataka atuongoze kuzimaliza changamoto zetu na kutufikisha tunapotaka kwenda,FUTURE!!Ndio maanaa tunamuuliza tuambie program yako, ataeleza ilani, NITAfanya hivi na vile.FUTURE!

Lakin tunaweza kuuliza haya unayosema utafanya tumeyakubali, lakin je unaweza kweli kuyatekeleza?sio maneno matupu?ndipo record yake inapokuja kusupport kuwa ANAFAA KWA HIYO FUTURE MNAYOITAKA.

Shika hili sikuzote, uchaguzi ni juu ya future na sio past, miaka mitatu iliyopita Afrika Kusini wasingeweza kumchagua Mandela kuwa Rais maana alikuwa hajitambui, kwanin wasimchagua mtu mwenye PAST nzuri kama ile?ni kwa aliishakuwa Mzee asiyejitambua hivyo asingefaa kwa FUTURE SIO PAST.
 
Wanabodi hakika Zitto amenishangaza sana,kwenye kipindi cha clouds 360 usiku,anasema kuwa tunachagua viongozi kwa kuangalia future. Niki wa Pili amemwambia ni vema kuangalia past,mfano kama mtu alikuwa waziri basi tumpime amefanya nini kwa nafasi yake,lakini Zitto amekuwa mbishi kwa kusema tunachagua kwa kuangalia future.
My take, Zitto atakuwa na siri nyuma ya pazia,isije kuwa wanavizia fisadi from CCM, then waje waseme tuangalie ya mbele.

Chuki binafsi isiwe sababu ya kuja kubwabwaja humu jukwaani kile ambacho hujakielewa.
 
Nick hana lolote ameharibu kipindi anaongea kama yupo kwenye kijiwe cha wahuni.
lazima uangalie kiongozi atafanya nini ukimchagua.huo ndio ukweli.
Wewe umevurugwa siku zote cha kwanza kuangalia ni past ili kiongozi apimwe kwa aliyoyafanya kabla ya kuangalia nini atafanya.
 
kibaka na malaya wa siasa zitto anajipya anazidiwa akili na mwandishi wa habari katika kujua mambo ya msingi,ukiwa mura rusha /mtoa rushwa /mokea rushwa na msaliti hii zambi mpaka kiama chako,

Over afande Marwa the thread closed...
:welcome:
 
Kweli Zitto amewazidi akili kama ata hilo hamjui?

Tunachagua kiongozi kwa ajili ya future,tunataka atuongoze kuzimaliza changamoto zetu na kutufikisha tunapotaka ykwenda,FUTURE!!Ndio maanaa tunamuuliza tuambie program yako, ataeleza ilani, NITAfanya hivi na vile.FUTURE!

Lakin tunaweza kuuliza haya unayosema utafanya tumeyakubali, lakin je unaweza kweli kuyatekeleza?sio maneno matupu?ndipo record yake inapokuja kusupport kuwa ANAFAA KWA HIYO FUTURE MNAYOITAKA.

Shika hili sikuzote, uchaguzi ni juu ya future na sio past, miaka mitatu iliyopita Afrika Kusini wasingeweza kumchagua Mandela kuwa Rais maana alikuwa hajitambui, kwanin wasimchagua mtu mwenye PAST nzuri kama ile?ni kwa aliishakuwa Mzee asiyejitambua hivyo asingefaa kwa FUTURE SIO PAST.

Kumlinganisha Mandela na Zito nisawa na kulinganisha usingizi na kifo! Kwa historia ya Zito ni ya miaka mingapi na Mandela ni miaka mingapi? Haya tuchukulie kwa asilimia ya mazuri waioyafanya ziito na mandelala
 
Nilivyo sikia huyo jamaa ana masters nilitegemea atakuwa na fikra pevu katika kuchambua masuala mbalimbali kama vile siasa, ila nitofauti kabisa na jinsi nilivyo muona cloudstv na zitto, Kwanza ana papara, si Msikivu anataka muda wote aongea yeye japo anachokiongea hakielew vizuri, yani ni shida tu, anakatisha mjadala wa mchangiaji mwingine, ninachokiona ni kwamba anataka kujarib Kila kitu, kama, Siasa, Muziki, elimu, ninamshaur ajikite zaid kwenye Muziki au mambo mengine kitaaluma, ila kwenye siasa kwakweli bado sana
 
Ni bora afande sele na elimu yake ya form4 anaweza kujenga hoja vizur kuliko huyo Niko hakuna kitu hapo
 
Zitto anawaumiza vichwa sana hawa
 
Miaka yote mtu alikuwa ovyo leo anakuja anawapiga blah blah mnamuamini, akili kweli hamnazo
 
Kweli Zitto amewazidi akili kama ata hilo hamjui?

Tunachagua kiongozi kwa ajili ya future,tunataka atuongoze kuzimaliza changamoto zetu na kutufikisha tunapotaka kwenda,FUTURE!!Ndio maanaa tunamuuliza tuambie program yako, ataeleza ilani, NITAfanya hivi na vile.FUTURE!

Lakin tunaweza kuuliza haya unayosema utafanya tumeyakubali, lakin je unaweza kweli kuyatekeleza?sio maneno matupu?ndipo record yake inapokuja kusupport kuwa ANAFAA KWA HIYO FUTURE MNAYOITAKA.

Shika hili sikuzote, uchaguzi ni juu ya future na sio past, miaka mitatu iliyopita Afrika Kusini wasingeweza kumchagua Mandela kuwa Rais maana alikuwa hajitambui, kwanin wasimchagua mtu mwenye PAST nzuri kama ile?ni kwa aliishakuwa Mzee asiyejitambua hivyo asingefaa kwa FUTURE SIO PAST.

Past shapes future mkuu,don't take that away from that fact. Tunapochagua viongozi ni lazima tujue historia zao,ni muhimu kuelekea kuwapata viongozi bora tuwatakao,hususani wale wanaotaka kugombea nafasi nyeti za uongozi na ambao waliwahi kuitumikia serikali ktk nafasi mbalimbali.
Hivi mtu ambaye ana record za ufisadi na poor performance as a minister leo aje atuambie kwamba atapambana dhidi ya ufisadi na serikali yake itafanya kazi kwa mchakamchaka iwapo atakuwa rais mtakubaliana naye kwasababu tu tunaangalia mbele,hatuangalii nyuma tulipotoka?Zitto anawapeleka pabaya sasa,huko kuamini kwenu kwamba Zitto ana akili nyingi kuliko nyinyi iko siku atawapeleka shimoni kwa huo ujinga wenu.Mjifunze kufikiri na kuchanganua mambo siyo kila kitu anachokiongea mnakiamini.Halafu unasema Mandela alikuwa hajitambui?unajua unachokiongelea?hivi unajua nini maana ya kujitambua?kama angekuwa hajitambui angepigania haki za Weusi dhidi ya utawala wa makaburu nchini Afrika Kusini?You're typical Zitto supporter, I can't blame you.Kama kweli mmesoma hadi chuo kikuu hakika mnakidhalilisha hiko chuo,maana hizi products wanazotoa mmmmh....substandards.
 
Leo nimesikia kwenye powerbreak fast wakijadili uwepo wa Zitto Kabwe ifikapo usiku sa tatu na nusu kwenye mijadala ya Clouds360.

Nasikia leo analo jipya tena kuhusu wagombea wawili wakubwa wa CCM. Swali langu ni hivi amemaliza majina ya uswis?

Ni kweli Zitto kaficha baadhi ya majina ya watu walioficha fedha Uswis? Zitto ni mzito kweli.


Chanzo: PB, Clouds FM



tubadilike watanzania ukombozi uko mikononi mwako wewe Raia na siyo wanasiasa wao, hakuna cha Ukawa wala Ccm wote hakuna mwenye huruma na wewe, mfano wabunge wote wameridhia malipo ya milioni 230, hakuna aliyegoma wala nn
 
Back
Top Bottom