Zitto Kabwe ndani ya kipindi cha Clouds360 saa 3:30 usiku

Zitto Kabwe ndani ya kipindi cha Clouds360 saa 3:30 usiku

sixgates

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
3,979
Reaction score
1,673
Leo nimesikia kwenye powerbreak fast wakijadili uwepo wa Zitto Kabwe ifikapo usiku sa tatu na nusu kwenye mijadala ya Clouds360.

Nasikia leo analo jipya tena kuhusu wagombea wawili wakubwa wa CCM. Swali langu ni hivi amemaliza majina ya uswis?

Ni kweli Zitto kaficha baadhi ya majina ya watu walioficha fedha Uswis? Zitto ni mzito kweli.


Chanzo: PB, Clouds FM
 
Zito Ni
Ganda La Muwa La Jana Chungu Kaona Kivuno.
 
Ukiona kiongozi anajadili watu badala ya kujadili sera za chama chake huyo ni zigo anayetembea tu
 
Hivi hiki chama ni cha mtu mmoja? Mwenyekiti, katibu mkuu,katibu wa uenezi Taifa, makamu mwenyekiti na mshauri wa chama Kitila Mkumbo mbona wao hawazungumzi kwenye vyombo vya habari? Asilimia 90 ya watanzania ukiwaambia wakutajie viongozi watano wa kitaifa wa ACT hawataweza! Ajabu ni kwamba Afande Sele anapewa nafasi na umuhimu kuliko mwenyekiti,makamu mwenyekiti na katibu mkuu.Yote haya yanatokana na Zitto kuhodhi kila kitu kwenye chama na kuwaburuza wenzake kama ming'ombe.
 
Hivi hiki chama ni cha mtu mmoja? Mwenyekiti, katibu mkuu,katibu wa uenezi Taifa, makamu mwenyekiti na mshauri wa chama Kitila Mkumbo mbona wao hawazungumzi kwenye vyombo vya habari? Asilimia 90 ya watanzania ukiwaambia wakutajie viongozi watano wa kitaifa wa ACT hawataweza! Ajabu ni kwamba Afande Sele anapewa nafasi na umuhimu kuliko mwenyekiti,makamu mwenyekiti na katibu mkuu.Yote haya yanatokana na Zitto kuhodhi kila kitu kwenye chama na kuwaburuza wenzake kama ming'ombe.
Tofauti ya ACT na chadema ni ipi??
 
Ok basi sawaaa

ImageUploadedByJamiiForums1436280122.399530.jpg
 
Tofauti ya ACT na chadema ni ipi??
Tofauti ni kubwa sana mkuu.CHADEMA INA viongozi na makada wengi sana ambao wanaweza kwenda kwenye vyombo vya habari na kuelezea Sera,falsafa,itikadi,misimamo na ratiba ya shughuli za chama bila kuwategemea viongozi wa kitaifa.ACT hata ratiba ya ziara ya chama mikoani inatolewa na kiongozi mkuu Zitto! Afisa habari wa ACT wala hajulikani kwa sababu kazi zake zinafanywa na Zitto.Katibu mkuu,manaibu katibu wakuu,makamu wenyeviti, na wajumbe wa kamati kuu ya ACT hawajawahi kufanya kazi yoyote ya siasa au kuhutubia mikutano wakiwa peke yao mpaka waongozane na Zitto.CHADEMA viongozi wote ni wanasiasa mahiri hata ngazi za kata,wilaya na mikoa viongozi wanafanya kazi za siasa kila siku bila kuwasubiri viongozi WA kitaifa.
 
Ndugu zangu wana jf nadhani wote mliona na kusikia hotuba ya zito hivi majuzi kati,,pale mwembeyanga,huyu jamaa alishindwa kutoa majina ya walioficha pesa uswiss.ni pale aliposema eti nawapa waandishi wa habari mtayapata kwenye vyombo vya habari kesho...sikuelewa alimaanisha vyombo vipi na wakati yeye alkuwa anaruka live channel ten,,au ili channel sio chombo cha habari?? Na sijui alitaka mwandishi gani ayatoe wakati yeye kashindwa,,huyu jamaa ni mjanja sana,na wanaomshabikia nadhani ni wale mazuzu wasiojipambanua
 
zito alijiamini sana hivyo hakuona haja ya kuwasoma watu wanaomzunguka,kilichotokea watu wanaomzunguka zito walimuwahi kumsoma zito na matokeo yake ndio huyu zito tunaemuona leo. falcon mombasa
 
Last edited by a moderator:
Zitto yule mzito huwezi kuelewa anachongea ni mnafiki
 
zitto kweli kasumbua vichwa vya watu. nimeamini zitto ni mtu mkubwa nchi hii. ujue watu wanabaki wanampima kama vile ni rais au waziri mkuu.
 
Back
Top Bottom