TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,564
Hiv umenisoma kweli kabla ya kujibu?ebu rudia tena alafu anangalia ilichoandika.
Uchaguzi ni juu ya future sio past, iweke hii bank,tunamchagua mtu ili afanye in future,miaka ile atakayokuwa madarakani.
Nisome vizuri,tunaweza kuthibitisha uwezo wake wa kufanya hayo kwa kuangalia record zake in the past, lakini tunamchagua kwa ajili ya future,elewa tofauti hapo.
Mandela alikuwa shujaa aliyefanya mengi sana,lakin takriban miaka mitano kabla ya kifo chake Mandela alikuwa mgonjwa asiyejitambua,usingemcjagua katika hali ile eti kwa sababu alikuwa hana mfanowe in the past,kuna wengi wa aina hii,ambao walikuwa wazuri sana in the past lakin kwa sababu ya uzee,umri,mabadiliko n.k hawawezi lolote in the future,ndio maana nasema kama na hili hamlijui basi atakuwa amewazidi sana, elections are all about the future.
Wait a moment, tunajadili kuhusu mtu aliyoyafanya huko nyuma (past) na anayopanga kuyafanya huko mbeleni(future) au tunajadili kuhusu serikali na yale iliyokwisha kuyafanya (past) na yale inayopanga kuyafanya siku zijazo (future)?
C'mon, nimetumia mifano ya China na nchi nyingine duniani zenye mafanukio to highlight the importance of the past in shaping the future. Kwa viongozi pia ni hivyo hivyo,mtu mwenye records nzuri au mbaya za utendaji records zitatumika kumhukumu kama anafaa kwenda mbele zaidi au.
Kuhusu Mandela, ndugu yangu hapo umeongezea ambayo hukuyaongea,naona unaongeza maneno.