frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
Zitto ni MwanaCCM mwaminifu kupitia CHADEMA, ndiyo maana wanampigania ili waweze kufanikiwa malengo yao.
Baadhi ya wanaomtetea ndani ya chama bila shaka ni mtandao wake
siku njema mkuu, maneno makali sanaaa.