Zitto kabwe kama nilivyo mimi ninaeandika thread hii, nimwanachama halali wa chama cha demokrasia na maendeleo ana HAKI ya kuchaguliwa kushika nafasi yoyote katika chama. Kama mkakati wake na wenzake ungefanikiwa na akawa mwenyekiti halali basi angekuwa amefanikiwa ku exercise HAKI yake anayopewa na katiba zote mbili- ya CHADEMA na ya Jamuhuri ya Muumgano wa Tanzania.
Tatizo pekee la andiko lile nipale lilipo Toa shutuma na kueleza madhaifu ya mwenyekiti HALALI wa chama nje ya utaratibu wa vikao kama katiba inavyoelekeza, hilo ni KOSA! nanimesema na Zitto amesema pia kwamba atafuata taratibu zote kama atakavyo elekezwa na kamati kuu, ili kulifikisha jambo hili mwisho wake.,
Ndugu Character X, nimependa analysis yako na ninaona unasogea karibu kulekea kwenye Haki na Ukweli. Mimi nina haya yafuatayo.
1. Hakuna ushahidi wa Kumlink Zitto na huo Waraka.
Iwapo CC ya Chadema ilimtia Hatiani Kitila kwa kukiri kuhusika na huo Waraka, Basi ingetumia angalau testimony hiyo hiyo ya Kitila kusema kwamba Zitto hahusiki na huo waraka. Angalau basi CC ingekuja na Azimio la kuchunguza kuona kama Zitto kweli anahusika nao au hahusiki nao, hiyo ingekuwa Fair.
2. Ninavoona mimi ni kwamba ndani ya roho yako kuna chembe chembe nyingi za Justice, lakini pia unaipenda Chadema sana, kiasi kwamba umetambua CC imekosea, lakini ili kukikinga chama kisiyumbe zaidi umeamua kujaribu kuwa balanced, kwa kuyakubali matokeo ya CC lakini at the same time unafahamu kwamba zille accusations dhidi ya Zitto ni dubious accusations. SIMAMIA HAKI NA UKWELI NDUGU YANGU, USIKUBALI KUWA VUGUVUGU.
3. Ule waraka umeanalyse strength za Mbowe na weakness zake, na pia ukiusoma vizuri umeanalyze Strength za Zitto na weakness zake. HAWA NI WATU WALIOKUWA WANAFANYA ANALYSIS YA KISOMI KUANGALIA UWEZO WA KUCHAGULIWA WAMTAKAYE AU POSSIBILITY YA KUTOKUCHAGULIWA KWAKE, KWA ANALYSIS HIYO HAWAKULENGA KUMCHAFUA MBOWE WALA ZITTO, BY THE WAY WARAKA WENYEWE ULIKUSUDIWA KUWA KWA AJILI YA INSIDERS WA MKAKATI WA USHINDI, NA WALA HAUKUKUSUDIWA KUENEZWA KWA WANACHAMA, KWA HIVYO HOFU YA KUMCHAFUA MWENYEKITI CHAMANI NI YA KIZUSHI. KAMA WANGEUVUJISHA KWA WANACHAMA USINGEKUWA TENA KUWA NI MKAKATI WA USHINDI KWA MAANA MBINU ZAO ZINGEKUWA ZIMEANIKWA WAZI!.
NDUGU CHARACTER X, SIMAMIA UKWELI TUJENGE UPINZANI WA UKWELI!