Zitto Kabwe More Than Meets the Eye!

Zitto Kabwe More Than Meets the Eye!

Character X In fact sikuona hoja ya maana zaidi ya kuzunguka na maneno yaleyale uliyoyageza kutoka ktk hoja za wachangiaji wengine. Naweza kusema bado kuna tatizo ktk kujenga kuhusu kunachoendelea ndani ya CDM.
 
Last edited by a moderator:
Kama umekubali waraka mm ni kosa inamana una kubaliana na cc cdm. Wewe ungekuwa na maoni gani kuhusu jina la hili kosa. Cc cdm wameliita kosa hili usaliti na pengine uhaini wote tumesikia. Labda wewe pendekeza jina tofauti na utushawishi tulitumie.

well, labda nianze kwa kueleza maana za maneno haya mawili kama ninavyo yaelewa Kisha nitaeleza alichokifanya zitto na wenzake nikutu gani.
Uhaini- ni njama zakuuondoa utawala halali kwa nguvu yakimapinduzi nje ya utaratibu sahihi wauchaguzi na KABLA YA WAKATI WA UCHAGUZI.

Usaliti- ni vitendo vinavyo fanywa na mtu wa ndani mtu aliye aminiwa na siri za ndani, anapotoka kwa makusudi na kwasiri nakufanya mambo ilikunufaisha kundipinzani ilihali akiendelea na kundi lake kanakwamba hafanyi vitendo hivyo vya kuliuza kundi lake.

Sasa kwakutumia tafsiri zote hizi simuoni zitto kama muhaini wala msaliti, ninachokiona ni mtu ambaye amekosea utaratibu, kwakushiriki kwenye waraka wenye kutoa shutuma dhidi ya viongozi wenzake nje ya utaratibu wa katiba ya chama.
sio mhaini kwasababu ile ilikua mikakati tu yanamna ya kushinda kwenye uchaguzi halali wakati ukifika.

Sio msaliti pia kwakua hakuna ushaidi unao onyesha zitto akitoa siri wala kufanya vitendo kwaajili ya chama kingine nakukiumiza chadema ilihali akiwa chadema bado.
 
mwekundu,usilazimishe mtazamo wako kuwa ndio uaminiwe,kila mtu ana mtazamo wake kwa kila jambo.
 
Last edited by a moderator:
kitu gani kinakufanya udhani zitto haaminiki na CCM anatumika tu.

Prof. Muhongo ambae ni waziri wa wizara nyeti ya serikali ya ccm anamuita Zitto ni mtu CORRUPT toka kwenye lile sakata la Tanesco ambalo hawa magamba kwa ufisadi wao walilizima bungeni!!! Huko magamba insiders wanajua Zitto ni MOLE na wanamuita kwa jina la KIKULACHO!!!
 
mkuu , umeandika vizuri sana , lakini nina uhakika kwamba kuna kitu hukijui kumhusu zitto , na bila shaka ukija kukifahamu utarudi tena kuja ku edit uzi wako .
 
Character X wako walioamka wanaoona kama sisiw

ako wanaodnaika historia na vizazi vijavyo vitayasoma haya
wako wenye upeo na wasiosikilizwa

hawa wa aina hii ni wachache, huwa hawaeleweki

bahati mbaya mto hoja anayeweza kukuelewa ni mwenye akili kama wewe

wengine wanaelewa ila ubinafsi umewatawala

big up


cc Ben sanane
 
Last edited by a moderator:
Dr.W.Slaa unampigia simu Zitto na unamtishia maisha huu ndio uungwana kweli? CHACHA WANGWE hawatoshi mpaka mumtoe kafara na zitto wa watu? Nimeamini dr slaa ni fisi katika ngozi ya kondoo. Ok, wewe utendelea kupanga mipango ya kiovu ya uuwaji lakini walioko nyuma yako watajutia kwanini wanakuunga mkono wewe gaidi.
 
Last edited by a moderator:
Umeandika vizuri sana na huu ujumbe watausoma vizazi na vizazi mkuu. Japokuwa wajinga wa chama chako mtu asie CDM akisifia inaonekana kama tuna mission behind.
 
well, labda nianze kwa kueleza maana za maneno haya mawili kama ninavyo yaelewa Kisha nitaeleza alichokifanya zitto na wenzake nikutu gani.
Uhaini- ni njama zakuuondoa utawala halali kwa nguvu yakimapinduzi nje ya utaratibu sahihi wauchaguzi na KABLA YA WAKATI WA UCHAGUZI.

Usaliti- ni vitendo vinavyo fanywa na mtu wa ndani mtu aliye aminiwa na siri za ndani, anapotoka kwa makusudi na kwasiri nakufanya mambo ilikunufaisha kundipinzani ilihali akiendelea na kundi lake kanakwamba hafanyi vitendo hivyo vya kuliuza kundi lake.

Sasa kwakutumia tafsiri zote hizi simuoni zitto kama muhaini wala msaliti, ninachokiona ni mtu ambaye amekosea utaratibu, kwakushiriki kwenye waraka wenye kutoa shutuma dhidi ya viongozi wenzake nje ya utaratibu wa katiba ya chama.
sio mhaini kwasababu ile ilikua mikakati tu yanamna ya kushinda kwenye uchaguzi halali wakati ukifika.

Sio msaliti pia kwakua hakuna ushaidi unao onyesha zitto akitoa siri wala kufanya vitendo kwaajili ya chama kingine nakukiumiza chadema ilihali akiwa chadema bado.

Haya, waraka mm ulikuwa nje au ndani ya utaratibu?

Waraka mm unamnufaisha nani kwa sasa cdm au wapinzani wa cdm?

Mikakati ya namna ya kushinda kwenye uchaguzi huku unahujumu chama na viongozi wenzako inakubalika na ni sawa? Je inapotokea imegundulika ina achwa tu bila hatua kuchukuliwa kwa hofu ya kukuvuruga chama?

Huu mkakati mm usingegundulika kiasi cha kuwezesha uongozi cdm kuchukua hatua na zzk akafanikiwa kuwa mkt cdm unafikiri nini ingekuwa hatima ya cdm kama chama pinzani?
 
mkuu , umeandika vizuri sana , lakini nina uhakika kwamba kuna kitu hukijui kumhusu zitto , na bila shaka ukija kukifahamu utarudi tena kuja ku edit uzi wako .

Naam, inawezekana kabisa.,
 
Haya, waraka mm ulikuwa nje au ndani ya utaratibu?

Waraka mm unamnufaisha nani kwa sasa cdm au wapinzani wa cdm?

Mikakati ya namna ya kushinda kwenye uchaguzi huku unahujumu chama na viongozi wenzako inakubalika na ni sawa? Je inapotokea imegundulika ina achwa tu bila hatua kuchukuliwa kwa hofu ya kukuvuruga chama?

Huu mkakati mm usingegundulika kiasi cha kuwezesha uongozi cdm kuchukua hatua na zzk akafanikiwa kuwa mkt cdm unafikiri nini ingekuwa hatima ya cdm kama chama pinzani?

Zitto kabwe kama nilivyo mimi ninaeandika thread hii, nimwanachama halali wa chama cha demokrasia na maendeleo ana HAKI ya kuchaguliwa kushika nafasi yoyote katika chama. Kama mkakati wake na wenzake ungefanikiwa na akawa mwenyekiti halali basi angekuwa amefanikiwa ku exercise HAKI yake anayopewa na katiba zote mbili- ya CHADEMA na ya Jamuhuri ya Muumgano wa Tanzania.
Tatizo pekee la andiko lile nipale lilipo Toa shutuma na kueleza madhaifu ya mwenyekiti HALALI wa chama nje ya utaratibu wa vikao kama katiba inavyoelekeza, hilo ni KOSA! nanimesema na Zitto amesema pia kwamba atafuata taratibu zote kama atakavyo elekezwa na kamati kuu, ili kulifikisha jambo hili mwisho wake.,
 
Prof. Muhongo ambae ni waziri wa wizara nyeti ya serikali ya ccm anamuita Zitto ni mtu CORRUPT toka kwenye lile sakata la Tanesco ambalo hawa magamba kwa ufisadi wao walilizima bungeni!!! Huko magamba insiders wanajua Zitto ni MOLE na wanamuita kwa jina la KIKULACHO!!!

Sijui ukweli wa haya unayoyasema., yanaweza kuwa mawazo yake tu, lakini yanaweza kuwa kweli, only, when it comes to judging someone its important to make use of information that is assured beyond resonanle doubt, ninginevyo hatari.

Wanasheria watakuambia "ni bora kufanya makosa ukamuachilia huru mtu aliye uwa, kuliko kufanya makosa ukamuhukumu kunyongwa mtu asiye na hatia ".
 
wanamtetea kwasababu wanamuamini. Na wanahisi anatendewa isivyo haki

mkuu nakufuatilia sana threads zako, and i can now see you falling trend!
Hivi kweli unadhani kuna viongozi ndani ya CCM wanataka kuiona CHADEMA ikistawi?
 
Zitto kabwe kama nilivyo mimi ninaeandika thread hii, nimwanachama halali wa chama cha demokrasia na maendeleo ana HAKI ya kuchaguliwa kushika nafasi yoyote katika chama. Kama mkakati wake na wenzake ungefanikiwa na akawa mwenyekiti halali basi angekuwa amefanikiwa ku exercise HAKI yake anayopewa na katiba zote mbili- ya CHADEMA na ya Jamuhuri ya Muumgano wa Tanzania.
Tatizo pekee la andiko lile nipale lilipo Toa shutuma na kueleza madhaifu ya mwenyekiti HALALI wa chama nje ya utaratibu wa vikao kama katiba inavyoelekeza, hilo ni KOSA! nanimesema na Zitto amesema pia kwamba atafuata taratibu zote kama atakavyo elekezwa na kamati kuu, ili kulifikisha jambo hili mwisho wake.,

Sasa muulize mwanachama mwenzako halali kama wewe, kwa nini alitumia utaratibu usio halali na kuvunja katiba kuelezea madhaifu ya mwenyekiti halali? Nia ilikuwa ni nini? Kama vikao vya chama viko na wewe ulikuwa kiongozi tena unayependwa na kuaminiwa kwa nini kutumia njia na taratibu zisizo halali? Kwa nini? Why?

Mimi bado najiuliza hawa jamaa ni wasomi tena waliobobea, sasa huu mkakati mm wameupata au kuuiga tokea wapi? Maana kama ni ubunifu wao au wameletewa wakaukubali basi usomi wao unawalakini.
 
mkuu nakufuatilia sana threads zako, and i can now see you falling trend!
Hivi kweli unadhani kuna viongozi ndani ya CCM wanataka kuiona CHADEMA ikistawi?

wanaweza wasi ipende Chandema walawasiitakie mema, lakini wakawa kwadhati kabisa wanauona utendaji wake nawanaona nikijana mwenye kitu flani ndani mwake, nakwahivyo wanamuonea huruma kwa dhati kabisa!. Ninachosema mimi nikwamba bado hakuna mtu aliye weza kutoa ushahidi pasipo shaka yoyote kwamba zitto nimsaliti.
 
Sasa muulize mwanachama mwenzako halali kama wewe, kwa nini alitumia utaratibu usio halali na kuvunja katiba kuelezea madhaifu ya mwenyekiti halali? Nia ilikuwa ni nini? Kama vikao vya chama viko na wewe ulikuwa kiongozi tena unayependwa na kuaminiwa kwa nini kutumia njia na taratibu zisizo halali? Kwa nini? Why?

Mimi bado najiuliza hawa jamaa ni wasomi tena waliobobea, sasa huu mkakati mm wameupata au kuuiga tokea wapi? Maana kama ni ubunifu wao au wameletewa wakaukubali basi usomi wao unawalakini.

sasa hapo ndipo shida ilipo, na ndipo haki ya maamuzi ya CC inapotokea,.

Halafu by the way, Kuna kitu niliki notice kwenye thread moja wapo ya zitto akijitetea akisema anazushiwa mambo ya kutoa rushwa kwenye uchaguzi ambao yeye alikua anamuunga mkono kafilila ambaye kwa maneno ya zitto mwenywe anasema wazee hawakuwa wanataka ashinde, walikua na mtu wao- wenje. Sasa ninachotaka ukione hapa ni hiki, zitto anasema wanamzushia yeye kama vile ambavyo yeye zitto na wenzake walivyo TUMIWA kumzushia Chacha Wangwe wakati wa uhai wake, Anasema, anamshukuru Mungu alimuomba radhi Marehemu Chacha kabla na baada ya kifo chake siku ya postmortem.

Hii inaniambia kwamba, zitto anafahamu wanacho mfanyia., sasa sitaki kwenda huko sana kwa sababu hayo nayo sina hakika nayo, ila ninachofahamu nikwamba kwa hili la waraka wa ushindi zitto amekosea na CHADEMA kumuwajibisha ni sahihi kabisa as a matter of principle!
 
MPe Zitto siku chache sana atakuwa keshatapika uchafu wa kutosha mwonyesha kuwa ni mtu wa hovyo,mwenye shari km Idd Amin anayependa sana watu aliwa anasifiwa na kubebwa.Anapokuwa ktk hali halisi ya maisha basi atageuka kuwa ghaddafi...very soon utamsikia km ulivyowasikia akina mwampamba..na ataongezea kuwa siku zote alikuwa akiota lini atakuwa CCM..kwani moyo wake haukuwa CDM
 
Mtu ambaye unamaadili unatumiwa vipi kumzushia mtu? Halafu utegemee anayekutumia akuamini kuwa hutatumiwa na mwingine. Ndio maana sishangai kusikia waliamua kufuatilia nyendo zake.

Hapo kuomba radhi kwenye postmorten sijakuelewa, unaomba radhi maiti au? Ni dini gani inafundisha hivyo hizi za mapokeo au za asili?
 
waraka unaoutumia hauwezi kua authority ya kujengea hoja kwasababu haujathibitishwa na upande wowote kuwa kweli. Kuna kila dalili kwamba ni "hekaya" batili tu.
Hebu jaribu kujenga hoja yako kwakuonyesha evidence yoyote ya CCM kumtumia zitto.
Unasema waraka haujathibitishwa, lakini kwenye mkutano wa waandishi wa habari Kitila Mkumbo alikubali kuandika huo waraka na alikiri pia katika Cc ya CDM, hivyo kuusemea huo waraka ni sahihi.
 
MPe Zitto siku chache sana atakuwa keshatapika uchafu wa kutosha mwonyesha kuwa ni mtu wa hovyo,mwenye shari km Idd Amin anayependa sana watu aliwa anasifiwa na kubebwa.Anapokuwa ktk hali halisi ya maisha basi atageuka kuwa ghaddafi...very soon utamsikia km ulivyowasikia akina mwampamba..na ataongezea kuwa siku zote alikuwa akiota lini atakuwa CCM..kwani moyo wake haukuwa CDM

Zitto is wiser than that., hawezi kufanya hivyo hataingekuwa kweli ataondoka Chadema., lakini kwakua sijui ya ndani mwa moyo wake, niseme tu yakitokea hayo nitakuwa verily verily disappointed in Zitto and in siasa za Tanzania.,
 
Back
Top Bottom