Zitto Kabwe More Than Meets the Eye!

Zitto Kabwe More Than Meets the Eye!

Mjadala umefungwa na tunasubiri siku ziishe haya yote unayohubiri yatapata muafaka!!!!!!!

You never step on a snake and relax on there!!!!
Kama mjadala umefungwa, mbona viongozi wanaendelea kutoa matamko na wanasambaza ripoti ya siri juunya zitto kabwe
 
Character X, naomba nikuulize jambo moja tu; kama leo uchaguzi huru ungefanyika Chadema na upande wa MM, M1, M2 na M3 usiibuke kidedea, unadhani huo upande ungekubali kubaki ndani ya Chadema chini ya uongozi ule ule walioushutumu kwenye waraka na kupanga njama za siri kuuondoa madarakani?

Nivigumu kusema, ila nimeiona hoja yako, japo natamani kama zitto atafanikiwa kuonyesha kwamba hakuwa anafahamu mpango huo, au kama chadema tutashindwa kuonyesha pasipo shaka kwamba zitto alihusika kwa namna yoyote kwenye uandaaji wa mkakati huo basi hao waliokiri kuuandaa wafukuzwe, lakini zitto avuliwe madaraka abaki mwanachama.,

Ni matamanio yangu tu kwamba angalau asipoteze uanachama.,
Lakini kama chadema tutafanikiwa kuonyesha pasipo shaka kwamba Zitto alihusika be it directly or indirectly katika uandaaji wa mkakati huo, au yeye zitto akikiri kuupanga mkakati huo na akaombaradhi basi tupime dhati ya apology yake naikiwezekana tumpe nafasi ya mwisho ya kujirekebisha lakini sikama kiongozi ila mwanachama wa kawaida., ila kama ataukubali waraka na kukubali kuhusika nao na asiombe radhi wala kuonyesha kujutia kwa dhati aliyo yafanya basi aende tu.,

Na akifika hapo basi hata heshima niliyo mpatia kwa kipindichote hiki itakua mashakani kuondoka.
 
Last edited by a moderator:
Chadema ni ya zitto bila zitto hakuna chadema wakumfukuza chadema hayupo hoja zake hakuna kiongozi yoyote wa chadema anawezazipangua hoja zake.
 
Inawezekana kabisa una hoja, ila umeiua hoja yako mwenyewe kwa kufanya uchambuzi wa upande mmoja (biased analysis) ambao bila shaka yoyote hitimisho lako litaegemea upande mmoja. Kwa nini nasema hivyo; ni kwa kuwa uchambuzi wako umeegemea katika maelezo na utetezi unaoaminika umetoka kwa mtuhumiwa Mh. Zitto Zuberi Kabwe!

Kwa haraka haraka niseme sijaona umechambua vipi tuhuma alizoelekezewa; kwa mfano kupokea pesa kutoka serikali inayoongozwa na chama pinzani, kuzigawa pesa hizo kwa baadhi ya watu ndani na nje ya chama wanaoaminika ni mamluki, kuwa na mawasiliano ya siri na taasisi nyeti za usalama mawasiliano yanayothibitisha mipango ya siri ya kukihujumu chama, n.k.

Pengine ungejaribu kuzichambua tuhuma zinazomkabili angalau nusu yake, ukaleta uchambuzi wa utetezi alioutoa kwa kila tuhuma aliyoelekezewa, kisha ukatoa hitimisho (conclusion) binafsi ningeona thread yako iko neutral kama nilivyo neutral (sina upande) katika kinachoendelea ndani ya CDM lkn sina upande katika siasa za nchi hii, bali kukweli wa moyo wangu nina upande katika maslahi mapana ya nchi yangu na watu wake.

Hayo uliyoandika ni tuhuma tu anazozushiwa Zitto na hazina uthibitisho wowote. Ni sawa na wewe ukaibuka na kusema Mbowe na Tundu Lissu wajiuzulu kwa vile ni mashoga na CDM haikubali viongozi mashoga, wakati huna ushahidi wowote.
 
waraka unaoutumia hauwezi kua authority ya kujengea hoja kwasababu haujathibitishwa na upande wowote kuwa kweli. Kuna kila dalili kwamba ni "hekaya" batili tu.
Hebu jaribu kujenga hoja yako kwakuonyesha evidence yoyote ya CCM kumtumia zitto.

Niliwahi kuona hiii.... Sijui na yenyewe ni hekaya au vipi lakini nimegundua kuwa wanasiasa ni watu wa ajabu kuliko watu wengine duniani.
 

Attachments

  • Zitto.jpg
    Zitto.jpg
    80.7 KB · Views: 61
What do you mean taifa zima? Hakuna chama cha taifa zima. Zitto is a perfect child of two worlds- ya upinzani na chama tawala the reason why anakuwa msaliti. Either he belongs to the ruling party or to the opposition. If he is in both worlds he must be a traitor. You cannot serve two masters.

Sio kila mwanainchi ni mfuasi wa chama kimojawapo cha siasa.....bado kuna mamilioni ya wanainchi wapo nje ya siasa na hiyo sio kusema hawana upeo wa kuona nani anafanya nini kuwapigania.

Kwa ishu ya zito kuna kila dalili ana uungwaji mkono wa wengi hata wasio na hizo itikadi za chama na ndio maana nasema ni wa taifa zima na sio chadomo pekee.

Na hilo mnalolazimisha la usaliti ni tafsiri zenu binafsi....tupo tunaoamini Zitto ni wa cdm anayewavutia hata wasio cdm...sihitaji kuwa mwanachadomo ili nimkubali Zitto.

Ndio maana nasisitiza Zitto ni wa taifa hata kama yupo ndani ya chadomo.
 
Ndugu yangu niliiona hiyo pia kipindi flani kilichopita., Mwingulu akaulizwa na akasema ni uzushi mtupu, lakini haiondoi uwezekano wa hayo kuwa kweli, chombo kilicho na nguvu ya kusema ukweli halisi hasa inapokuja kwenye maswala ya kimawasiliano ya namna hii ni mamlaka ya mawasiliano, na hao ndio wenye taarifa hizi kwa uasilia wake, lakini wamekaa kimya,. na kama CHADEMA tunadhani tunahujumiwa mimi nadhani tulitakiwa kubisha hodi huko nakupata maelezo sahihi na ukweli wa habari hizi kitu ambacho sijui kama kimefanyika.
lakini kabla Mamlaka hiyo haija sema wazi nini ukweli wa taarifa hizi basi bado si authority sahihi kujengea hoja wala kufanyia maamuzi.
nimtazamo wangu.
 
Nimekuwa najiuliza maswali mengi kuhusu huyu msaliti Zitto. Kama kweli kigoma kwa ujumla ni ngome ya Zitto ni kwa nini jimbo lake tu ndilo linaloongozwa na cdm?. Inaonyesha hata kigoma wenyewe hawamkubali kwani kama wana mkubali basi cdm ingekuwa hata na majimbo matatu. Huu ni upungufu wa kufikiri kusema eti zitto ataondoka na wafuasi wengi labda wa kule jimboni kwake. Ccm ina maslahi na anachokifanya zitto cdm. Ni hatari sana kumwacha Zitto aendelee kubaki cdm kwani ataendelea kuwatumikia mabwana zake ccm. Ni faida kubwa sana kumuondoa ili ccm wakampe hiyo nafasi ya uenyekiti anayoitafuta. Narudia tena kusema kumtimua zitto ni faida kuliko kumwacha. Nawasilisha.
 
Niliwahi kuona hiii.... Sijui na yenyewe ni hekaya au vipi lakini nimegundua kuwa wanasiasa ni watu wa ajabu kuliko watu wengine duniani.

Ndugu yangu niliiona hiyo pia kipindi flani kilichopita., Mwingulu akaulizwa na akasema ni uzushi mtupu, lakini haiondoi uwezekano wa hayo kuwa kweli, chombo kilicho na nguvu ya kusema ukweli halisi hasa inapokuja kwenye maswala ya kimawasiliano ya namna hii ni mamlaka ya mawasiliano, na hao ndio wenye taarifa hizi kwa uasilia wake, lakini wamekaa kimya,. na kama CHADEMA tunadhani tunahujumiwa mimi nadhani tulitakiwa kubisha hodi huko nakupata maelezo sahihi na ukweli wa habari hizi kitu ambacho sijui kama kimefanyika.
lakini kabla Mamlaka hiyo haija sema wazi nini ukweli wa taarifa hizi basi bado si authority sahihi kujengea hoja wala kufanyia maamuzi.
nimtazamo wangu.
 
Mkuu, akishatimuliwa CHADEMA ndio atajua kuwa yeye si lolote katika siasa za Tanzania, tunamuweka kundi moja na Karamagi.
MM- Msaliti Mkuu
 
Hayo uliyoandika ni tuhuma tu anazozushiwa Zitto na hazina uthibitisho wowote. Ni sawa na wewe ukaibuka na kusema Mbowe na Tundu Lissu wajiuzulu kwa vile ni mashoga na CDM haikubali viongozi mashoga, wakati huna ushahidi wowote.

Nashukuru sana, nadhani umelieleza vizuri hilo.
 
And just for the record...ningependa kushea hii:-

Jana nilipita mahali...tukiwa na kikao kidogo...tulikuwa watatu...mmoja wetu alikuwa ni mwanamama mjasiria mali wa mazao, asiyefuatilia saaana maswala ya siasa.

Mmoja wetu alitoka kidogo...wakati tukiendelea na mazungumzo huku tukisindikiza na------baridi...tv (sikumbuki vizuri ilikuwa ni itv au star tv...ila ni kati ya hizo) wakati wa taarifa habari ya saa mbili alionekana Tundu Lisu.

Yule mama alashauti...simpendi huyu baba...kwa kuwa mimi ni mfuasi mwaminifu wa chadomo nilishtuka na kumgeukia...nikamuuliza...kwa nini ?

Akasema...bungeni anajifanyaga anajua kila kitu...huku nikiendelea kumsikiliza akaendelea....nasikia amemfukuza Zitto ubunge kwa sababu aliwauliza pesa walizokula.....huku nikiendelea kuduwaa, akaendelea....masikini Zitto...yule kijana alivyo mchapa kazi..haogopi mtu...(akauliza)..kwa hiyo haingii tena bungeni ?.....nikalazimika kuchangia huku nikijua kuwa sihitaji kwenda ndani sana kwa sababu nitamuacha njiani......hajafukuzwa ubunge...wamempoka nyadhfa zote ndani ya chama.....akanitwanga swali lingine...kwa hiyo hayupo tena chadema ?....Nikarudia kwa msisitizo...yupo chadema ila wamemnyanga'nya nyadhfa alizokuwa nazo....huku akionekana ameduwaa akaniuliza....nyadhfa ni nini ?...kwa bahati nzuri mwenzetu aliyetoka akarudi tukaendelea na ajenda ya kikao chetu.

Ila meseji niliipata...na kama wazee walivyomwambia Mwalimu aruke beberu walilokuwa wamechinja wakati ule wa kutafuta uhuru...huku wakisema Twaining umekwisha......

Na mimi nasema kwa hili la Zitto...... CHADOMO MMEKWISHA.
 
Chadema ni ya zitto bila zitto hakuna chadema wakumfukuza chadema hayupo hoja zake hakuna kiongozi yoyote wa chadema anawezazipangua hoja zake.

Namuheshimu sana Zitto, naheshimu sana uwezo wake, nina ukubali na ningetamani kukuwa ndani ya chama akiwepo zitto. lakini nataka nikuhakikishie, SIKWELI HATA KIDOGO kwamba hakuna CHADEMA bila zitto, nakuhakikishia "Mungu amejisazia manabii elfu wasiopigagoti kwa baali" if you know what i mean.
Asante
 
Chadema ni ya zitto bila zitto hakuna chadema wakumfukuza chadema hayupo hoja zake hakuna kiongozi yoyote wa chadema anawezazipangua hoja zake.

Mbowe analijua hilo la uwezo mkubwa wa Zitto na linamtia woga sana, maana nyota ya Zitto inaongezeka kung'ara wakati ya kwake inaonekana imeshachokwa. Tatizo ni kuwa, kwa Mbowe, CHADEMA ni sawa na Bilcanas, yaani ni mali ya familia na hayuko tayari kuiachia mtu mwingine nje ya familia aiongoze.
 
Mtu ambaye unamaadili unatumiwa vipi kumzushia mtu? Halafu utegemee anayekutumia akuamini kuwa hutatumiwa na mwingine. Ndio maana sishangai kusikia waliamua kufuatilia nyendo zake.

Hapo kuomba radhi kwenye postmorten sijakuelewa, unaomba radhi maiti au? Ni dini gani inafundisha hivyo hizi za mapokeo au za asili?

ha ha., sasa hapo ukipata nafasi ya kuzungumza na zitto muulize atakuelezea., lakini ndivyo alivyo andika kwenye thread yake ile.. ila nadhani point ya msingi pale ni kwamba aliomba radhi tena mara mbili kwa makosa aliyo mfanyia marehemu.
 
Kwa mtazamo wangu ZZK is no longer a truly revolutionary and focused politician to depend on. Mimi ni mtz nayefanya kazi ktk shirika kubwa hapa nchini. Kwa maoni ya wafanyakazi wenzangu wengi ZZK hana tena ushawishi kama zamani kutoka na mtazamo wa watu mbalimbali. Kwa ufupi ZZK haelewi kwa maana hiyo ana madhara/impact kidogo sana hata akifukuzwa uanachama. Ila Ushauri wangu kwa CDM ni kuwa ZZK apewe onyo kali na aendelee kama mwanachama wa kawaida kwa sababu he is no longer entrusted member kupewa majukumu ya uongozi ndani ya CDM. To me anamuona ZZK kama mtz mwingine mbali na sifa nyingi anazopewa na magazeti. Maana kwa tz kuwa maarufu huitaji kufanya jambo kubwa sanaaaa ila ni pale utakapoweza kucheza na vyombo vya habari. That is it.
 
Tatizo kuna vitu vinakuwa too ugly..hadi hata marafiki waamue kukupa pole n akusema masikitiko yao.Zitto kaamua fanya kila kitu too ugly.

Kwa jinsi CDM wamejitahidi kumkwepa ili amalize yote kwa akilo yake,bado aklifikisha hapa.Hakuna njia Zitto lazima atoke kabisa.Pengine wanachoweza fanya CDM na km nimelisikia ni kukata mjadala wa kumdhalilisha Zitto zaidi km sehmu ya kujali ile kumbukumbu nzuri waliyo nayo.


Hapa ndio huwa siwaamini sasa na.kuwaona kama.wanafiki nyie hao hao mnamuita muhaini na msaliti halafu moto umekolea sasa tunataka kujua A to Z mnaanza ngonjera za kukata mjadala sababu mnazuia kumdhalilisha zaidi eti...double standard you!!!!!

Kama ni msaliti beyond reasonable doubts na ni muhaini why the hell do you care sparing him????!!!!!Huu ni unafiki wa hali ya juu sana na nyie ndio wasaliti wa Taifa sababu mnamtoa kwenye chama sababu hamumuamini lakini mnataka umma umuamini na kumuheshimu!!!!!! How do you draw this thin line????!!!!

You can not be this smart not to be caught of guard;come.out clean or shut the gob up and we close the session you dudes spin this shet for long now,this Nation deserve some respects despite the fact that you now run the sphere but never undermine peoples capacity to think and straighten facts!!!!!
 
Back
Top Bottom