Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Serikali wenyewe wanafurahia MagufuLi kuchaguliwa kwani wanaopanga hizo ratiba za kuchafua ni wapiga dilI akiwemi Zitto huku SSS AKIFUTAHIA KUMWAGIWA SIFA. LAKINI YA MUNGU MENGI..HUENDA UACHAFU WANAOMRUSBIA MWENDAZAKE UKAWARUKIA WAO
Andika vizuri
 
Nimefuatilia comment 398 za Uzi huu na zaidi ya 90 comment za Uzi huu zimeonyesha kuwa watu hawajapenda mjadala wa mh zitto kabwe na salama j hii inaonyesha dhairi kuwa Hayati JPM alikuwa kipenzi na chaguo la watanzania
Mawazo yako yatabakia kuheshimika
 
Kiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama Na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana.

Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.

Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto.

Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake.


Alitaka apendwe hahhaha. Aingie chama cha Lisu watamdaka vizuriiiiiiiii
 
Nimejiuliza hivi Salama na Zitto wote walijiamini nini? Kipindi cha leo Salama katoa airtime ya kutosha kwa Zitto kumsema Shujaa

Zitto anasema kama kuna Rais aliongoza kwa kujenga barabara basi ni Kikwete na sio Magufuli, hivyo watu waache kupotosha

Anasema Nyerere anakumbukwa kwa falsafa alizoziacha na sio miradi aliyojenga. Yaani leo Zitto kachafukwa mno
Hapo aliongea ukweli
 
Zitto alimchukia Magufuli kwa sababu alikuwa mkristo,Sasa hivi yupo ndugu wa Imani katulia tuli kama maji mtungini anajilia zake asali.
 
Kiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama Na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana.

Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.

Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto.

Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake.


Yule jamaa alikuwa na chuki mbaya mno kwa wakosoaji wake.
 
Back
Top Bottom