ndulazi ndula
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 515
- 94
ZITO wa sasa ni mzito hata fikra ameishiwa kabisa.
Kama ni kweli hawajajibiwa wana uhalali ya kufanya yao. Huenda pia ukawa ikavunjika lakini jiondoe katik kufikiria sababu ni nini na ni nani (kwa sababu ulishasema mwanzo hawakujibiwa - sijui umetoa wapi "nani" ni kikwazo).
Ni vema ungetambua pia kuwa UKAWA una wanajumuia kama NCCR, CUF na NLD pia. Je hao walikuwa tayari kushirikiana na ACT?? Katika mambo yapi na kwa ukubwa gani? Kuna tatizo kubwa na la msingi kati ya CDM na ACT na haitakuwa vema kukubali kuwa kuna tatizo au kuona ni rahisi tu kumaliza tatizo hilo. Vyama hivo havisikilizani na haviaminiani.
Zitto ameweka msimamo wake kuwa hawez jiunga na ukawa na kwamba anawashangaa wanatafuta mgombea humo ndani hadi leo kwani anatoka mbinguni! Kaka yuko vizuri hajabadili msimamo wake tangu atoke bungeni. Zitto katika ubora wake. Go go brother....
Ni Zitto huyu huyu aliyewahi kusema "Usimuamini mwanasiasa yeyote, awe chama tawala au cha upinzani". amethibitisha maneno yake.
Kwani kuna mtu amemuomba aende UKAWA na yeye? Au basi kujitia jeuri eti hawawezi kwenda UKAWA, wakati UKAWA wenyewe hawawataki ACT!
ubongo wako bado una safar ndefu ili kuweza kukua vizur-kwahiyo UKAWA kumpata Lowassa ndio mafanikio? ZZK ana haki ya kuondoka UKAWA iwapo akili zenu zinawaza kumsafisha mtuhumiwa wenu mpk afae kuongoza nchi-mnaonesha ninyi kama ninyi mna ombwe kubwa la watu wanao wakubali-poleni, Mh ZZK ana haki ya kujiondoa na kusimamia mising ya ACT -sio double standard za CDM, Lowassa wa CCM ni fisadi ila akija CDM ametubu
Zitto mpaka anaboa na hilo azimio lake la Tabora. Kila mahali yeye analitaja tu. Kwani mtu akishataja mali na madeni yake automatically anakuwa kabatizwa na kuachana na ufisadi wake!?
Amechoka kweli asee ameshindwa hata kunyoa ndevu? Midevu kibao imemjaa pyee
Zitto, mnafiki sana, opportunist, and why last two days alisema Historia mpya ya siasa ya nchi yetu inaenda kuandikwa...!? Hii inaonyesha, alikuwa aungane na UKAWA..akaleta ujinga na upuuzi wake ukawa i hope, na masharti yake sijui ya Tabora sijui nn, sijui taja mali, blafaken, blalful, hili jamaa jinga kweli...
Sasa asumamishe utumbo wake sasa kama atapata kitu, badala akubali kuunganisha nguvu, analeta masharti ya police UKAWA... akwendeeeee kuleeeeee, tupa Zitto kuleeeeee, akafie mbali sisi tunataka Ukombozi, full stop...!!