Zitto Kabwe: ACT- Wazalendo, hatutajiunga na UKAWA

Zitto Kabwe: ACT- Wazalendo, hatutajiunga na UKAWA

Jamaa in Mnafiki na Opportunist wa Hatari kuwahi kutokea

Zito anafanya hivi baada ya kujishutukia Lowasa kajiunga chadema na kutupilia Act mbali .anawahi kujihami .
 
Kuna mchungaji alisema kuwa Lowassa asipokuwa raisi tumuue! Sijui anawaza nini saa hii. Angalia sana ndugu mambo ya kujiapisha haya!???
Tangu mchungaji atamke hadi sasa nani kachaguliwa kuwa rais?
 
Kiongozi mkuu wa chama cha ACT wazalendo Zitto Zubeir Kabwe amesema chama chake hakitajiunga na vyama vya siasa vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi (UKAWA)kutokana na miiko ya vyama hivyo kukinzana na ile ya ACT maendeleo.

INAMAANA KIPINDIKILE ANAADIKA BARUA KUOMBA KUJIUNGA KUKAWA ALIKUWA HALIFAHAMU HILO?.

NA JE? ANGEKUWA AMEKUBALIWA KUJIUNGA UKAWA KWA KIPINDI HIKI AMBACHO UKAWA WANAUMIZA VYICHWA KUPATA MGOMBEA
NA NI KIPINDI AMBACHO KUNA MANENO MENGI KUWA UKAWA IMEVUNJIKA
YEYE ANGEKUJA NA KUHOJA HIKI INGEKUWAJE?



ITV

USHAURI:Kuliko kuanza kuparamia watu wasiohusika na mambo ya chama chenu Ni vema mngejikita kushughulika na lowassa na kutoa ufafanuzi zaidi kwa Dr.slaa na kikundi chake waweze kuwaelewa kwanini mnaamini yeye "hafai" tena kugombea urais na badala yake mwanachama mpya bwana lowassa ndio anafaa ,muacheni zitto ajenge chama chake
 
Act fyekeni pori msiwe na shaka wananchi tuko pamoja tutawapigia kura za kutosha za uraisi na ubunge hivyo mjiandae kushika dola........SIZITAKI MBICHI HIZI...BAADA YA KUONA UKAWA HAWANA MPANGO NAO ETI WANAJIFANYA HAWATAJIUNGA PUUUUUUUUUMBAVUUUUUUUUUU
 
Hayo yote ni madhara ya safari ya matumaini. Laigwanan Lowasa amewavuruga wengi na bado wengine wengi wanakuja na wataweweseka sana.
Binadamu akizini,akiuwa,akiiba,na kila baya humsingizia shetani we ni typical
 
Zitto Kabwe
# ACTWazalendo Tutaingia kwenye uchaguzi
wenyewe. We will go it alone as a party to defend
our principles. Mkutano Mkuu wa Chama wa
Kidemokrasia ( National Convention) utafanyika
tarehe 10 Agosti 2015

Hiyo ni post aliyoiweka kwenye mitandao ya kijamii Twitter na Facebook.

Yes, talk about principles, sio mambo ya ntoke vipi kwa kusikilizia upepo unavumaje. Stand by your core values and principles kwa manufaa ya wananchi na sio matumbo ya viongozi wa chama.
 
Zitto is a great leader of our time. Only critical thinkers can understand this. He is the only leader with vision and who can articulate it to his followers. Big up Zitto
 
Zitto is a great leader of our time. Only critical thinkers can understand this. He is the only leader with vision and who can articulate it to his followers. Big up Zitto

Doh! Akili zingine ni shida kweli. Mimi si nabii lakini namwona Zitto miaka mitatu ama mitano ijayo akiwa design ya Mrema ama Cheyo.
 
Sielewi nini hasa mantiki yako mkuu,.siamini kama ni kweli umekaa na kutafakari kwa mda mpaka kufikia kuandika uzi huu au kwa sababu ya chuki zako tu umeamua kuandka. Kaka mimi sio shabiki wa Zitto bali mimi naamini katika umuhimu wa upinzani katika maendeleo ya nchi. Alichosema Zitto juzi ilikua UPINZANI kuwa na nguvu na kuondoa mfumo dhalimu wa chama tawala, UKAWA wamekaa wakasema hawamkaribishi Zitto kwao, ACT bado ni wapinzani, UKAWA bado ni wapinzani, Alichosema Zitto leo ni kuwa pamoja na kutokukaribishwa UKAWA bado chama chake kitaendelea kusimama kama miongoni mwa vyama vya upinzani. Sasa hapo kakosa nini? Jamani MNYONGE MNYONGENI, HAKI YAKE MPENI, Kuna wakati chuki zetu binafsi zinatufanya kutokuangalia katika ukweli na haki.

Usiwe unakurupa kwenye comments kabla hujasoma vizuri. Mimi sipo kwa ajili ya kumsema vibaya Zitto nimetoa kile alichokisema na kuandika kwenye mitandao. Hiyo ni copy and paste sijaongeza kitu. Sasa sikuelewi unataka niipambe vipi statement hiyo ili ufurahi?

Na tukiachana hiyo post yake iliyopo twitter and Facebook, taarifa ya habari jana Zitto alionekana akisema, " watu wasitegemee kuona ACT tukijiunga UKAWA, kwa sababu ACT ina miiko yake, inayotakana na Azimio la Tabora."

Usitake kisa unampenda Zitto basi tugeuze matamko kwa jinsi wewe unavyoona inafaaa. Hii thread imekuwa COPIED AND PESTED toka kwenye account zake za mitandao ya kijamii.
 
Misingi ndani ya UKAWA haiwezi kuifanya ikadumu.There is a problem.
 
Huna hoja mtoa Mada

Ni kweli sina hoja ila inaonekana wewe uko empty kichwani. Hiyo hoja niliyoiweka hapo sio hoja yangu ni hoja ya Zitto Kabwe. Hivyo unaposema sina hoja kwa nilichopost unamaanisha Zitto hana hoja. Sababu nilichofanya ni Paste and copy ya post za Zitto kwenye Twitter na nikaiacha statement bila kuongeza maneno yangu.

Usikurupuke kijana.
 
Act hakipamban na chama tawala hakina lengo la kukitoa chama tawala bal kupambana na wapinzan
 
Yes, ni bora kuwa na tumbo dogo lakini kichwa kikubwa, kuliko kuwa na tumbo kubwa na kichwa kidogo. Let us go alone.
 
Azimo la Tabora liliambata na hotuba yake ya hatari kwa usalama na umoja wa Taifa la Tanzania, Channel 10 walioonyesha kidogo hotuba ya S.L. Kutokana na hatari iliyokuwemo humo, huwezi kupata hotuba hiyo yote kwenye mtandao wa kijamii. Sana sana utapata vipande vipande visivyokamilika vya hotuba hiyo....!

Mtu na akili yako timamu kabisa unamfuatilia Zitto?Zitto na Mbowe wote ni wajasilia mali wa kisiasa,jaribu kufuatilia habari za wapinzani wanaokula pamoja na mafisadi na hutawakosa hawa wawili.Nadhani chanzo cha kutofautiana hawa wawili kitakuwa kinahusiana na kuzidiana akili katika dili.Ni kama ilivyo kwa Lowassa na Kikwete katika dili la Richmond.Sometimes ninawaza sana CHADEMA ingekuwa wapi bila Dr Slaa,anajitahidi sana kulinda misingi ya chama japo yupo peke yake kiaina.If anything hizi taarifa za Mbowe kumkaribisha Lowassa CHADEMA ndo zinamwonyesha Mbowe ni mtu wa namna gani linapokuja suala la msimamo na maslahi binafsi.
 
Si kuna kipindi Mwenyekiti wa ACT yule mwanamama alinukuliwa na vyombo vya habari akisema kuwa wameiandikia UKAWA barua ya kuomba kujiunga?
 
Zitto katoa kauli rasmi na sio kuchukua kauli za facebook ambazo mnahack. Zitto katoa msimamo rasmi wa chama chake hivyo tuchukue huo. Wanaomponda tumewazoea wala hatushangai.

Zitto na Samson Mwigamba, waliandika barua ya maombi ya kujiunga wakapotezewa.
Ngoja na wao waonje joto ya jiwe ktk siasa. Two yrs or 1 yr chaliii!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom