Zitto Kabwe: ACT- Wazalendo, hatutajiunga na UKAWA

Zitto Kabwe: ACT- Wazalendo, hatutajiunga na UKAWA

ACT ikipata wabunge 4 kwenye uchaguzi mkuu 2015 mi ntatembea na chupi tumbo wazi kutoka mbezi mpaka posta kwa miguu
 
msaliti na mnafiki kwangu wote sawa tu,zitto ni msaliti ,slaa ni mnafiki,
 
Hiyo ACT ni kijiwe cha walioshindwa kuendana na mfumo na pia ni kimbilio la wenye tamaa wakidhani ni ajira
 
Zitto katoa kauli rasmi na sio kuchukua kauli za facebook ambazo mnahack. Zitto katoa msimamo rasmi wa chama chake hivyo tuchukue huo. Wanaomponda tumewazoea wala hatushangai.

Mjinga atabaki kuwa mjinga kwani aliyeandika barua ya kuomba kujiunga #UKAWA ni nani?
 
ACT ikipata wabunge 4 kwenye uchaguzi mkuu 2015 mi ntatembea na chupi tumbo wazi kutoka mbezi mpaka posta kwa miguu

Sio tatizo lako kwasababu ushazoeea kutembea uchi kwhyo hutushtui kivile.ACT wakipata hao wa wakilishi wao wa4 huko bungeni vaa vzr tu, ss hatuna hamu ya kuona ch*p yko ndg.
 
Bavicha: CDM members and fans your leaders might be wrong learn to think for yourself
 
Kiongozi mkuu wa chama cha ACT wazalendo Zitto Zubeir Kabwe amesema chama chake hakitajiunga na vyama vya siasa vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi (UKAWA)kutokana na miiko ya vyama hivyo kukinzana na ile ya ACT maendeleo.

INAMAANA KIPINDIKILE ANAADIKA BARUA KUOMBA KUJIUNGA KUKAWA ALIKUWA HALIFAHAMU HILO?.

NA JE? ANGEKUWA AMEKUBALIWA KUJIUNGA UKAWA KWA KIPINDI HIKI AMBACHO UKAWA WANAUMIZA VYICHWA KUPATA MGOMBEA
NA NI KIPINDI AMBACHO KUNA MANENO MENGI KUWA UKAWA IMEVUNJIKA
YEYE ANGEKUJA NA KUHOJA HIKI INGEKUWAJE?



ITV
Jamaa in Mnafiki na Opportunist wa Hatari kuwahi kutokea
 

Attachments

  • 1437945866110.jpg
    1437945866110.jpg
    27.2 KB · Views: 398
  • 1437945901579.jpg
    1437945901579.jpg
    48.2 KB · Views: 384
  • 1437945924340.jpg
    1437945924340.jpg
    21.5 KB · Views: 366
ZZK alipokua CHADEMA alidai kua atagombea Urais lakini Leo hii hana hio nia.

Huyu dogo ni Kigeugeu. Hana msimamo thabithi.
 
ACT ikipata wabunge 4 kwenye uchaguzi mkuu 2015 mi ntatembea na chupi tumbo wazi kutoka mbezi mpaka posta kwa miguu
Kuna mchungaji alisema kuwa Lowassa asipokuwa raisi tumuue! Sijui anawaza nini saa hii. Angalia sana ndugu mambo ya kujiapisha haya!???
 
Mkuu ukipunguza Mihemko utamuelewa vizuri ndugu Zitto yeye kasema uchaguzi huu hawatashirikiana na UKAWA na sababu kubwa aliyotoa ni kwamba toka mda mrefu walishatuma barua ya kuomba wajulishwe utaratibu wa kujiunga na UKAWA ila hadi leo barua hiyo haijajibiwa sasa katika hali ya namna hiyo ulitegemea wafanye nini? au ulitaka wasiingie kwenye uchaguzi kisa wamekataliwa kujiunga na UKAWA?
 
Mawio limekuwa likimtukana na kumpa shutuma mbalimbali bwana zito kabwe,gazeti hilo ambalo mwandish wake ni kubenea limesababisha mtafaruku na kushindwa kutangazwa kwa mgombea ukawa kweny kikao cha Jana baada ya zito wanatakaje sapot take wakati hilo gazet LA chadema linamsimanga?? inakuwaje wanataka ushirikiano ghafla wakat hawakujibu barua ya April 24 namna ya kujiunga ukawa? Lowassa amesisitiza hawez kugombea bila wapinzan kuwa wamoja.mbowe kamaind vibaya kubenea
 
Kwani nani alikuwa anamtaka huyo msaliti wenu?

Alidhani UKAWA watamkaribisha baada ya kuona wako bize na issue zao kaanza kujisemesha semesha mwenyewe eti sijiungi, nani alimwita? aende zake.
 
Back
Top Bottom