Zitto Kabwe: ACT- Wazalendo, hatutajiunga na UKAWA

Zitto Kabwe: ACT- Wazalendo, hatutajiunga na UKAWA

Amani iwe kwenu wana ukumbi:

Mkuu wa chama cha ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema hawana mpango wa kujiunga na ukawa kwa kuwa chama chake kina sera tofauti.

Ameyasema hayo leo ndani ya kikao chao cha ndani na kusisitiza kuwa azimio lao la Tabora linamtaka kila mtu kutangaza mali na madeni yake ndo ajiunge naye.

Chanzo ITV taarifa ya habari ya saa 2 usiku.

namkubali zito kwa msimamo wake. I believe one day atakuwa great leader wa tz act ndo chama chenye ilani nzuri kuliko vyama vyote tz. go & google mtanielewa kuwa act ni chama cha wasomi
 
Hapa mbowe akigeuka na kusema Zitto msafi misukule yote inahama, mmekaa kama mijuha tu, hamjielewi kama mko ndani ya box, Leo mbowe kavuta mshiko anawaambisha wimbo wa mapambio kwa lowassa misukule yote inaitikia, kweli bavicha ni zaidi ya baa ya vichaa
 
namkubali zito kwa msimamo wake. I believe one day atakuwa great leader wa tz act ndo chama chenye ilani nzuri kuliko vyama vyote tz. go & google mtanielewa kuwa act ni chama cha wasomi

Kama ni wasomi ndani ya vyama ccm inaongoza. Kajipange tena siku nyingine nitakuelewa.
 
namkubali zito kwa msimamo wake. I believe one day atakuwa great leader wa tz act ndo chama chenye ilani nzuri kuliko vyama vyote tz. go & google mtanielewa kuwa act ni chama cha wasomi

Wote ni kina kwangu pakavu hamna lolote
 
Hakuna mtu ana chuki na zitto hapa tunasema ukweli mchungu bila chenga; ila pole sana, umma umejua Chadema walifanya maamuzi sahihi.

Acha kujitoa ufahamu ndg. huo ukweli mchungu uko wapi ikiwa Zitto kasema ACT hatutajiunga na UKAWA tatizo ni nini, au kauli ya Zitto ndio ukweli mchungu?
 
Last edited by a moderator:
Ndio tumjue kuwa huyu jamaa ni tapeli wa kisiasa


Ona mtu mwenyewe anavyojikanganya. Kwenye taarifa ya habari kasema vingine, kwenye FB vingine, maana yake ni nini kama siyo uhuni? Huu ndio uhuni, ulaghai na utapeli ninaosema kila siku. Wao wafanye kazi yao waliyotumwa na bwana mkubwa wao CCM. Mwaka huu lazima waumbuke
 

Attachments

  • 1437937241074.jpg
    1437937241074.jpg
    82.4 KB · Views: 126
Kiongozi mkuu wa chama ananisikitisaha sana.

Hakuna kitu kibaya kama kutoa taarifa kwa uma bila kuzichuja ni namna gani watazipokea (kwa maana ya kuiangalia -ve ama +ve ya mapokeo ya habari inayotolewa).

Kuangaka kwa mwanasiasa ni rahisi zaidi ya mwanasiasa kujijenga, waswaili wanasema "Ukiwa mwongo yakupasa kuwa na kumbukumbu". Kutokuwa na kumbukumbu nzuni kwa kiongozi ni ishara ya kuwa kiongozi huyo haamini kwenye dhana ya ushirikishwaji-Hashirikiani na wenzake katika mambo anayoyatoa hadharani.

Zitto kwa hili umeteleza, ungepitia matamko yako ya hivi karibuni na hichi ulichokifanya sina sababu ya kutokuita TRAITOR.
 
Last edited by a moderator:
Kama UKAWA wako tayari kumpokea Lowassa pamoja na kumkashifu more kule basi ni dhahiri hakuna watakayemkataa.
 
Amani iwe kwenu wana ukumbi:

Mkuu wa chama cha ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema hawana mpango wa kujiunga na ukawa kwa kuwa chama chake kina sera tofauti.

Ameyasema hayo leo ndani ya kikao chao cha ndani na kusisitiza kuwa azimio lao la Tabora linamtaka kila mtu kutangaza mali na madeni yake ndo ajiunge naye.

Chanzo ITV taarifa ya habari ya saa 2 usiku.
Hivi Mbowe anaweza kutangaza mali zake hadharani?
Wakuu JF,

Amani iwe Nanyi.
Ninajaribu kuoanisha kauli za Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Zitto Kabwe za Juzi na Leo.

Juzi alikaririwa kwenye Mitandao ya Kijamii akibashiri Mapinduzi Makubwa katika Siasa za Upinzani Tanzania,alienda Mbali zaidi na Ku refer Kilichotokea Kenya,2002 Pale Chama cha KANU kili0ong'olewa na Muungano wa Vyama vya Upinzani chini ya Mwai Kibaki.

Leo baada tu ya Mkutano wa UKAWA kuahirishwa the same Zitto anakuja kutoa tamko kuwa ACT itasimama kama yenyewe na haitajiunga na UKAWA.

Maswali

1. Kauli ya juzi kuwa tutashuhudia Mabadiliko Makubwa kwenye Siasa za Upinzani Kesho Jumatatu 27/7/2015 na kufananisha na Kenya 2002 ilikuwa na Maana gani hasa ?

2. Ni nani hasa aliyeihitaji ACT UKAWA Mpaka leo Kiongozi wao aseme hawana Mpango wa kwenda UKAWA.

2. Ni lini ameanza kuwa Msemaji wa Vyama vya Upinzani ?

3. He,tukisema kuwa ni Opportunist aliyekuwa ana expect leo Lowasa Kutangaza kuhamia upinzani/UKAWA na yeye kualikwa UKAWA tutakuwa tumekosea ?,Kuwa ameona Opportunity imeota Mbawa ?
Kwa hiyo alitakiwa kuto ongea kwa kuwa UKAWA(FUTUHI) wameahirisha mambo yao?
 
Hili genge la ukawa ni la wapiga dili watupu. Kama kweli wote wana nia moja ya kuiong'oa ccm basi siku nyingi wangekuwa wameungana. Lakini wao akili zao ni kuhusu mgao wa fedha(ruzuku) utakavyokuwa. Kweli hawa ndiyo wakuwapa dola?? Noo BIG NO. Wakafie mbele huko!
 
Ona mtu mwenyewe anavyojikanganya. Kwenye taarifa ya habari kasema vingine, kwenye FB vingine, maana yake ni nini kama siyo uhuni? Huu ndio uhuni, ulaghai na utapeli ninaosema kila siku. Wao wafanye kazi yao waliyotumwa na bwana mkubwa wao CCM. Mwaka huu lazima waumbuke

Wanachanganyikiwa jinsi ya kurudisha 700m,maana wameshindwa kuibomoa cdm,na Mwenyekiti mwenyewe kama ndiyo huyu tingatinga wamekwisha
 

Attachments

  • 1437937968684.jpg
    1437937968684.jpg
    23.4 KB · Views: 151
namkubali zito kwa msimamo wake. I believe one day atakuwa great leader wa tz act ndo chama chenye ilani nzuri kuliko vyama vyote tz. go & google mtanielewa kuwa act ni chama cha wasomi

Ile barua ya kuomba kujiunga ukawa aliiandikia facebook? ina maana alikuwa hajui misingi ya chama?
 
Back
Top Bottom