tunalazimika
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,098
- 259
Wakuu JF,
Amani iwe Nanyi.
Ninajaribu kuoanisha kauli za Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Zitto Kabwe za Juzi na Leo.
Juzi alikaririwa kwenye Mitandao ya Kijamii akibashiri Mapinduzi Makubwa katika Siasa za Upinzani Tanzania,alienda Mbali zaidi na Ku refer Kilichotokea Kenya,2002 Pale Chama cha KANU kili0ong'olewa na Muungano wa Vyama vya Upinzani chini ya Mwai Kibaki.
Leo baada tu ya Mkutano wa UKAWA kuahirishwa the same Zitto anakuja kutoa tamko kuwa ACT itasimama kama yenyewe na haitajiunga na UKAWA.
Maswali
1. Kauli ya juzi kuwa tutashuhudia Mabadiliko Makubwa kwenye Siasa za Upinzani Kesho Jumatatu 27/7/2015 na kufananisha na Kenya 2002 ilikuwa na Maana gani hasa ?
2. Ni nani hasa aliyeihitaji ACT UKAWA Mpaka leo Kiongozi wao aseme hawana Mpango wa kwenda UKAWA.
2. Ni lini ameanza kuwa Msemaji wa Vyama vya Upinzani ?
3. He,tukisema kuwa ni Opportunist aliyekuwa ana expect leo Lowasa Kutangaza kuhamia upinzani/UKAWA na yeye kualikwa UKAWA tutakuwa tumekosea ?,Kuwa ameona Opportunity imeota Mbawa ?
ubongo wako bado una safar ndefu ili kuweza kukua vizur-kwahiyo UKAWA kumpata Lowassa ndio mafanikio? ZZK ana haki ya kuondoka UKAWA iwapo akili zenu zinawaza kumsafisha mtuhumiwa wenu mpk afae kuongoza nchi-mnaonesha ninyi kama ninyi mna ombwe kubwa la watu wanao wakubali-poleni, Mh ZZK ana haki ya kujiondoa na kusimamia mising ya ACT -sio double standard za CDM, Lowassa wa CCM ni fisadi ila akija CDM ametubu