Historia fupi ya marehemu.Siku wenye chama chao wakiamua kuondoka na jengo lao chama kitakufa Zitto atabaki na makaratasi ya Msajili wa vyama vya siasa tu. Jifunze kutoka kwa Lipumba na CUF yake.
Najua wafuasi wa Zitto hawapendi kusikia haya lkn, Ukweli ndio huo.
Zitto and others, Keep this short Thread you will thank me later.
Hawa ni wamoja wana jambo laoZito Hana tofauti na halima mdee.hakuna kitu anafanya zaidi ya masirahi yake binafsi.
Acheni maneno cdm jengeni ofisi mnatuchangisha sana aisee wafuwasi wenu sio wajinga acheni mapambio
Masnitch katika ubora waoHawa ni wamoja wana jambo laoView attachment 2453414View attachment 2453415