Hii nadhani ungemtumia PM tu au ungemfuata kule facebook.
Mkuu huoni thread zakumhusu mtu mmoja zina flood server za jf. Nadhani wakati mwingine si vibaya tukaunganisha mawazo yetu kwenye thread ambazo tayari zimeshaanzishwa badala ya kila mtu kuja na yake kuhusu jambo hilo hilo moja. We unaonaje?Mkeshaji, umekerwa na nini kwenye thread ya CHUAKACHARA? Mtandao huu upo kwa ajili ya watu kusema mazuri na mabaya, sioni kosa lake!
Uhuru wa maoni uheshimiwe.Hii nadhani ungemtumia PM tu au ungemfuata kule facebook.
Mkuu soma post no. 5.Uhuru wa maoni uheshimiwe.
Hapa ni mahala ambapo mtu anaweka la moyoni mwake kwa uwazi, na bila bugdha.
Mkeshaji, umekerwa na nini kwenye thread ya CHUAKACHARA? Mtandao huu upo kwa ajili ya watu kusema mazuri na mabaya, sioni kosa lake!
Mkuu huoni thread zakumhusu mtu mmoja zina flood server za jf. Nadhani wakati mwingine si vibaya tukaunganisha mawazo yetu kwenye thread ambazo tayari zimeshaanzishwa badala ya kila mtu kuja na yake kuhusu jambo hilo hilo moja. We unaonaje?
Mkuu naona kama alisingiziwa kwa kuwa kama hakusingiziwa na alikuwa kinara wa masalia kwa nini wasimjadili na kumfuta? Iweje wafuasi wafutwe wakati kinara na mfadhili wao bado anaendelea kuwepo chamani? Naona kama Zitto alikuwa anasingiziwa tu na hao akina Mr 8 O'clock kwani waliothibitishwa na Chama kuwa wasaliti wamepata haki yao.
Mkuu na wewe naona unataka malumbano tu.Server space inakuhusu nini, wamiliki wa JF hawajalalama. We sema unapishana na Zitto, hivyo any good comment on Zito is an insult to you!!!!
yawezekana ikawa ni kweli ...ila yawezekana ikawa ni uongo pia....kimsingi hakuna aliyefanikiwa katika hiii dunia bila kuwa na uwezo wa kuishi na wasaliti miongoni mwake......Humjui ZITTO wewe?huyu dogo ameshanunuliwa muda mrefu sana,ni ndumila kuwili,kuna watu wanamtumia huyu.
Ina maana Mr Eight Oclock alikuwa anamsingizia na hata maelezo ya wana P7
yawezekana,lakini kwanini wamtumie yeye nasimtumwingine?basi anamadhaifu ajitahimini. CHADEMA inamhitaji akiwa (sane),akientertain (insanity)anakuwa hana umhimu tena.hasa katika mdahuu ambapo kila sekunde ina umhimu wake towards ujenzi wachama.
Ata kama Zitto kabanishwa kwenye vikao na jasho likamtoka unadhani ataacha kutumia strategy ya kusick sympathy ya wanachademaMkuu,
Mbona hili liko wazi. Hakuna aliyemsafi katika meza kuu ya CHADEMA. Kumjadili au Kumfukuza Zitto ni sawa na kuacha mlango wa nyumba wazi ili wapita njia waone kwa macho yao kilichoko ndani.
Huna haja ya kuzungusha kichwa kujenga hoja. Mambo yote yako wazi kwa kila mmoja kuona.
mkuuThank you God!
Chama kimeyashinda Mauti!
In Chadema we trust.
... Ndugu yangu.. siasa ni ushindani...ni ushindani wa kupata madaraka....vyama vya siasa vinashindana ili kupata madaraka ya kuongoza dola......wanasiasa ndani ya chama wanashindana ili kuongoza chama.....na siasa ni majungu, fitna na kuchafuana......Dah! tumuamini nani? Kila neno analoongea Zitto kama ni kweli vile. Tulioko nje hatujui kwa yakini ukweli ni upi na uongo ni upi. Tutajua tu