Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Hapa wewe ndio umekurupuka,maana huyo bwana ana maswali ya ,msingi sana,kati ya ben na zitto kuna mmoja nimtu hatari sana kuendelea kuachwa akitamba ndani ya chadema,acha watupatie ufafanuzi zaidi nani ni mtu hatari kati yao na kwanini zitto anaonekana kama ni untouchable ndani ya cdm,aliwaponza kina kafulila yeye akaendelea kupeta leo hawa kina shonza sijui yeye bado yumo ,kuna nini hapa,je zitto ni mkubwa kuliko chadema au?
Nakuarifu kuwa Zitto sio untouchable ndani ya Chadema!