Zitto: CCM inachonganisha viongozi wa CHADEMA

Zitto hawez kuhama chadema anajua alkotoka na chama,kaka kaza buti nawaaminia viongoz wangu,hoja zako zmesimama
 
wabunge wa upinzani (waliowengi) wanajenga chama katika mikoa yao, ZZK anajenga chama gani Kigoma?
 
Siasa za kiTanzania ni rahisi sana kama kumsukuma mlevi vile. Kuna mambo huwa yanafanywa na hawa tunaowaita wanaSiasa huwa najiuliza ingekuwa ni Marekani, Japan, Uingereza au China ingekuwaje?

Elimu ni msingi wa maisha.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
acheni kurumbana... chadema chama makini.. tulikuwa tunakosoana tu sasa tupo kwenye mstari na tunadhamiria kushinda 2015
 
"Huwezi kuwa mshabiki au mfuasi wa Zitto alafu uchadema na ukamanda wako ukabaki salama"

Zitto ni wa kuogopwa kama ukoma yani ni heri mtela shonza au shibuda kuliko huyu an enemy of the people"
 
Last edited by a moderator:
Ntaendelea kuamini Zitto na Mbowe ndo msingi wa uimara wa Chadema, nakubaliana na zitto kwamba Chadema ikivunjika leo itachukua miaka 20 mingine mbele kwa watu kukiamini chama cha upinzani kufikia imani hii waliyonayo leo kwa Chadema..
Ni rahisi sana kukipasua Chadema kuliko wengi wanavyodhani, ukitaka kukimaliza hiki chama fukuza kati ya hawa wa3, Zitto, mbowe au dr slaa, basi! Umeshinda.
Mie niko kijijini na pia nazungumza sana na vijana juu ya siasa za Chadema kwahyo nafahamu nguvu ya hawa watu kwenye fikra za vijana wengi wasiotumia mitandao na tv, kwao siasa za upinzani ni Chadema ya Zitto,slaa na mbowe..
Ondoa mmojawapo umeua upinzani kwa nusu ya wapenda mabadiliko nchini..
 
kwa hiyo ndo mmemsamehe zitto kirahi hivyo? jamani huyo ni kirusi kwa chadema fukuzeni?
 
CCM badala ya kutafuta mbinu ya kukuza uchumi kama chama tawala wanatafuta mbinu za kuua vyama vya upinzani.
Mbinu hizi zitaendelea kudumaza fikra za watawala na hatimaye uchumi wa nchi.
 
Back
Top Bottom