Zitto amburuza Kilewo polisi

Zitto amburuza Kilewo polisi

Status
Not open for further replies.
ni blog tu hiyo huwezi mshitaki mtu na yeye chini aliandika source mtandao mwingine so hamna kesi hapo, albeto anashindwa kumshauri zzk kweli
 
Jitayarishe uende ukasema ule uzi uliounzisha JF wa tuhuma kwa Zitto chanzo chake ni wapi. Au uliutunga mwenyewe?

madam faiza foxy, kwa nini ninyi manyinyiem mnamtetea sana mbunge wa kigoma kaskazini kwa usaliti alioufanyia chama chake? what is the reason behind madam faiza foxy?
 
Last edited by a moderator:
yaani mtu kwenda polisi/mahakamani kutafuta haki mnabeza?,nenda zito achana na wafuasi wasiojielewa.
 
madam faiza foxy, kwa nini ninyi manyinyiem mnamtetea sana mbunge wa kigoma kaskazini kwa usaliti alioufanyia chama chake? what is the reason behind madam faiza foxy?

Tanzania hakichaguliwi chama anachaguliwa mgombea. Zitto anakubalika popote awapo.
 
Last edited by a moderator:
magaidi wanajua kweli kumtaja mungu.

maskini kijana wa watu umemharibu kwa tindikali.

Wanajf...
Ni kweli niliitwa na jeshi la polisi na mimi bila kusita nilipokea wito huwo kwa furaha kubwa sana. Tulifika makao makuu ya jeshi tukakubaliana tufanya hayo mahojiano kesho, jambo ambalo nimeitiwa ni moja tu, nilielezwa kuwa zitto kaenda kulalamika ila sikuambiwa kaenda kunilalamikia kwa kosa gani.

kwa hiyo baada ya kesho wakili wangu ataeleza umma wa watanzania kile kilichojiri kutokana na mahojiano hayo.

Ni weke wazi mambo kazaa ya msingi na kwaajili ya rekodi sahihi, sina hofu hata kidogo kuitwa na jeshi la polisi wala sintokaa niwe na hofu pale nitakapoitwa na jeshi la polisi kama sababu ni ukombozi wa nchi yangu na siyo ubakaji.

msiwe na hofu vitisho tutaletewa vikubwa zaidi ya kuitwa polisi au kufungwa jela, ila lengo letu ni lazima litimie la kukomboa nchi hii.

We shall overcome, never say never.
 
Nimegundua watu wanachuki binafsi na Zito,hawataki ukweliii:vijana Wachadema si walisema Shibuda aliwaambia kipindi kile kesi ya Ugaidi,Waseme wametumwa na Mbowe na Slaa,ukitaka kujua ni unafiki wa kina Kileo na wenzao ndo huu,kwa akili ya kawaida kama yale maneno yana ukweli nani anakigawa CHAMA?????????
Tuache UNAFIKI
Samahani lakini,nirudi katika waraka nimeusoma huu waraka mara nyingi,sioni tatizo,zaidi ya kuwa na mambo mazuri kwa Chadema yenye afya kama yatafanyiwa kazi,bila hata Zito kuwa kiongozi,mimi kutoka Moyoni nataka Slaa na Mbowe waondoke katika Uongozi,pia Zito asiwe kiongozi wote wabaki kuwa washauri na wajumbe
Nakubali Zitto Kabwe ana Udhaifu wake lakini Mbowe na Slaa sio Malaika!
Swali kwa Wadau maana huu waraka tumejadili kumuhusu Zitto wakati yeye ajauandaa,Je ikitokea ukakamatwa waraka unamuhusisha Mbowe kutaka kusiwe na Ukomo katika nafasi ya Uenyekiti je mbowe achukuliwe Hatua gani????

Tanzania tukiwa na watu kama wewe tunaendelea sana
 
Polisi yetu hawana uwezo wa kushughulikia makosa ya mawasiliano ya kimtandao.

Badala ya kumuita Kilewo wangechukua court order kuchukua computer zake kuzifanyia forensic analysis.

Wameisha establish original source? Ili wachukue hizo IP address na data nyingine kama muda wa kupost huo waraka?.

This is a case of evidence, you can not convict someone on cyber crime without proving beyond reasonable doubt to be source. Tuhuma hizi ni ngumu kuzihakiki
 
Wanajf...
Ni kweli niliitwa na jeshi la polisi na mimi bila kusita nilipokea wito huwo kwa furaha kubwa sana. Tulifika makao makuu ya jeshi tukakubaliana tufanya hayo mahojiano kesho, jambo ambalo nimeitiwa ni moja tu, nilielezwa kuwa zitto kaenda kulalamika ila sikuambiwa kaenda kunilalamikia kwa kosa gani.

kwa hiyo baada ya kesho wakili wangu ataeleza umma wa watanzania kile kilichojiri kutokana na mahojiano hayo.

Ni weke wazi mambo kazaa ya msingi na kwaajili ya rekodi sahihi, sina hofu hata kidogo kuitwa na jeshi la polisi wala sintokaa niwe na hofu pale nitakapoitwa na jeshi la polisi kama sababu ni ukombozi wa nchi yangu na siyo ubakaji.

msiwe na hofu vitisho tutaletewa vikubwa zaidi ya kuitwa polisi au kufungwa jela, ila lengo letu ni lazima litimie la kukomboa nchi hii.

We shall overcome, never say never.

........Nondo paraghraph !!!! bravo Kamanda
 
Polisi yetu hawana uwezo wa kushughulikia makosa ya mawasiliano ya kimtandao.

Badala ya kumuita Kilewo wangechukua court order kuchukua computer zake kuzifanyia forensic analysis.

Wameisha establish original source? Ili wachukue hizo IP address na data nyingine kama muda wa kupost huo waraka?.

This is a case of evidence, you can not convict someone on cyber crime without proving beyond reasonable doubt to be source. Tuhuma hizi ni ngumu kuzihakiki

....ni sawa na kurusha ngumi hewani
 
Kama huyu Ben sanane hakupokea hela toka zzk basi zitto ni mkweli

bensanane toa ufafanuzi hukupoke pesaa????????????

Acha unafiki fafanua jambo hiliii!!!
 
Last edited by a moderator:
Polisi yetu hawana uwezo wa kushughulikia makosa ya mawasiliano ya kimtandao.

Badala ya kumuita Kilewo wangechukua court order kuchukua computer zake kuzifanyia forensic analysis.

Wameisha establish original source? Ili wachukue hizo IP address na data nyingine kama muda wa kupost huo waraka?.

This is a case of evidence, you can not convict someone on cyber crime without proving beyond reasonable doubt to be source. Tuhuma hizi ni ngumu kuzihakiki

ukichunguza ile website ya wordpress ambako kilewo alichukua ile taarifa, profile ya mmiliki wake haipatikani. Vilevile huwezi kutrace IP ikiwa alitumia public wifi.
 
Kileo ni mchaga??????? Basi hii janga ktka chama hikii
 
Wanajf...
Ni kweli niliitwa na jeshi la polisi na mimi bila kusita nilipokea wito huwo kwa furaha kubwa sana. Tulifika makao makuu ya jeshi tukakubaliana tufanya hayo mahojiano kesho, jambo ambalo nimeitiwa ni moja tu, nilielezwa kuwa zitto kaenda kulalamika ila sikuambiwa kaenda kunilalamikia kwa kosa gani.

kwa hiyo baada ya kesho wakili wangu ataeleza umma wa watanzania kile kilichojiri kutokana na mahojiano hayo.

Ni weke wazi mambo kazaa ya msingi na kwaajili ya rekodi sahihi, sina hofu hata kidogo kuitwa na jeshi la polisi wala sintokaa niwe na hofu pale nitakapoitwa na jeshi la polisi kama sababu ni ukombozi wa nchi yangu na siyo ubakaji.

msiwe na hofu vitisho tutaletewa vikubwa zaidi ya kuitwa polisi au kufungwa jela, ila lengo letu ni lazima litimie la kukomboa nchi hii.

We shall overcome, never say never.


U -over come na nani???

Unajua wewe jamaa ni mwehu sana??wewe wakati unanyea debe kule selo ulishamuona slaa,zitto,mnyika,lisu na mbowe wapo huko selo wananyea debe pamoja nawewe??au ushawahi kuona missukule wenzako wanaingia selo pamoja nawewe?sasa usiseme,"we shall",,siku zote unapoenda selo huwa unaenda pekeyako kama kawaida yako NDANDA KOSOVO MJELA JELA,JELA IPO SPECIAL KWA WATU MABWEGE NA MSIO JITAMBUA KAMA NYINYI....
 
Wanajf...
Ni kweli niliitwa na jeshi la polisi na mimi bila kusita nilipokea wito huwo kwa furaha kubwa sana. Tulifika makao makuu ya jeshi tukakubaliana tufanya hayo mahojiano kesho, jambo ambalo nimeitiwa ni moja tu, nilielezwa kuwa zitto kaenda kulalamika ila sikuambiwa kaenda kunilalamikia kwa kosa gani.

kwa hiyo baada ya kesho wakili wangu ataeleza umma wa watanzania kile kilichojiri kutokana na mahojiano hayo.

Ni weke wazi mambo kazaa ya msingi na kwaajili ya rekodi sahihi, sina hofu hata kidogo kuitwa na jeshi la polisi wala sintokaa niwe na hofu pale nitakapoitwa na jeshi la polisi kama sababu ni ukombozi wa nchi yangu na siyo ubakaji.

msiwe na hofu vitisho tutaletewa vikubwa zaidi ya kuitwa polisi au kufungwa jela, ila lengo letu ni lazima litimie la kukomboa nchi hii.

We shall overcome, never say never.

Hiyo nchi yako unayotaka kuikomboa inaitwaje? Kaskazini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom