Zitto amburuza Kilewo polisi

Zitto amburuza Kilewo polisi

Status
Not open for further replies.
Kwa awamu hii ni vema kileo akafungwa jela tumechoka kukaa na vijana waharifu mtaani.
 
Kwa awamu hii ni vema kileo akafungwa jela tumechoka kukaa na vijana waharifu mtaani.
mbona ccm imejaa wahalifu ( wezi majangili, wabakaji, wang'oa kucha and others of the same nature ) wapo uraiani?????
 
ZZK hawezi kupatikana sasa hivi, simu zake anazo Bi Mkubwa!
 
This is good ZZK, wamekuchafua sana sasa ngoja haki itendeke!
 
nadhani kileo alipost kwenye blog yake ule waraka uliokuwa jf kuhusu zito alivokuwa akipokea hela crdb na german
kama ni huo anajua kabisa kilewo sio mhusika wala mwandishi wa huo waraka
ni watu wa usalama na zito anawajua
...angeshtaki na jf pia

point... Ikiwa tarahe ya kilewo kupost kwenye blog yake ni baada ya jf kuuweka hapa basi hana kesi ya kujibu.
 
Mkuu mbona mnaonekana kama mwaogopa. Ulivyo sidhani kama unaweza kumtakia jema ZZK ni bora umuache apotee cku zote mwisho wa Ubaya ni aibu.
 
Zzk kama anataka kwenda ccm aende anasubiri nn?mtela na juliana shonza wanakusubir zzk cdm haikutaki tena hata uende mahakamani kukudastbin n lazima kugombea urais sahau labda uanzishe chama chako na ccm hupati nafasi ya kugombea akuchague nani?timuen msalt huyu anatapatapa kwenye media na police kutafuta msaada !
 
hahahahahaha leo Henry Kilewo maji yamefika shingoni una jifanya ujui report ya siri uliyo hibandika kwenye blog yako.
Nakuonea huruma sijui utapanda makarandinga mangapi.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom