Zitto amburuza Kilewo polisi

Zitto amburuza Kilewo polisi

Status
Not open for further replies.
wacha kumdhalilisha mzee mandela kumfaninisha waganga njaa.

mke wa kilewo alisema kilewo amemzidi nyerere(baba ake yericko) kisa aliwekwa lupango. Chadema tunadhalilishwa sana na watu kama kina kilewo na wake zao
 
Mimi hapa ndio napozidi kumuona Zitto ndumi la kuwili,kwa sababu kwenye press conference hakukanusha wala kufafanua waraka huu wa yeye kuhongwa pesa na pia kushirikiana na TISS na hata hajazungumzia uhusiano wake na Jack Zoka na Ighondu na mnyumbuliko wa pesa hizo kutoka NMB kwenda Ujerumani kwa Andrea na pia kuwatumia wakina Kitila,Mwampamba,Mchange,Ben Saanane,Juliana Shonza etc.

Baadala yake kakimbilia Polisi na kufungua defamation case ili suala hili liishe kimya kimya na kuepusha kwa Zitto kufafanua bali Kileo na obviously Polisi inajulikana kwenye siasa inavyotumika!!

Ben Saanane upo kwenye waraka ule kuwa ulitumiwa pesa na Zitto,please tueleze ulipewa kwa minajili gani??!!

Yaani! Mimi hili la Ben Saanane limeniacha na simanzi nashindwa kuamini kama anaweza ku team up na mtu anayedaiwa alitaka kumuua kwa sumu akitumiwa na km cdm!!
 
Wacha kumdhalilisha Mzee Mandela kumfaninisha waganga njaa.

kuna mganga njaa kama Zitto? anajifanya mzalendo anatetea maslahi ya nchi lakini anakula na kulala CCM. anatetea maslahi ya nchi huku ni kibaraka wa chama kinachotetea sera za kuua tembo.
 
Naona ZZK anachanganya mambo zaidi.

Aondolewe kwenye chama tu labda ataenda CCM
 
chadema wataisoma namba,

mm chadema ikifa siwezi kulia nitaitupa mto kagera.

wabaguzi, wadini na wafitini mungu akiaangamizilie mbali chama cha wavuta bangi na malaya kama malay slaa na mbowe.

kazi kuchukua wake za watu na kuzaa nje ya ndoa zao

Hata kama unatoka pwani kwa mukuru, lakini punguza personal attacks kama hizi manake hapa tunajadili matukio sio watu.
Ni ushauri tu mkuu
 
Kilewo tupo pamoja na wewe kama ni hvyo mbona juzi hakukutaja mbele ya media?,ukweli hauwezi kufunikwa na neti ataumbuka tu
 
Kumbe aliyosema Ben saanane yalikuwa ya ukweli kwa sababu Zitto ameenda kushtaki kuwa hayo ya Kileo ni Uzushi dhidi yake!
 
Wanajf...
Ni kweli niliitwa na jeshi la polisi na mimi bila kusita nilipokea wito huwo kwa furaha kubwa sana. Tulifika makao makuu ya jeshi tukakubaliana tufanya hayo mahojiano kesho, jambo ambalo nimeitiwa ni moja tu, nilielezwa kuwa zitto kaenda kulalamika ila sikuambiwa kaenda kunilalamikia kwa kosa gani.

kwa hiyo baada ya kesho wakili wangu ataeleza umma wa watanzania kile kilichojiri kutokana na mahojiano hayo.

Ni weke wazi mambo kazaa ya msingi na kwaajili ya rekodi sahihi, sina hofu hata kidogo kuitwa na jeshi la polisi wala sintokaa niwe na hofu pale nitakapoitwa na jeshi la polisi kama sababu ni ukombozi wa nchi yangu na siyo ubakaji.

msiwe na hofu vitisho tutaletewa vikubwa zaidi ya kuitwa polisi au kufungwa jela, ila lengo letu ni lazima litimie la kukomboa nchi hii.

We shall overcome, never say never.

"Let every nation know, whether it wishes us well or ill, that we shall pay any price, bear any burden, meet any hardship, support any friend, oppose any foe to assure the survival and the success of liberty".
John F. Kennedy
 
Wakristo wanatumia hizi.....

productLanding_AntinDeo316-297696-300x242.png

Zinazidisha.
 
Kuna Dada /mama mmoja ni mjane au mtarikiwa humu, manake hoja zake anazotoa inaoneka ana stresses!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom