kwa kuwa wewe ni mwana ccm hayo ndio maneno yenu.ila sisi wana chadema tunamuona mtu safiZito ni kigeugeu. si mtu wa kuaminika kwa kauli zake!
kwa kuwa wewe ni mwana ccm hayo ndio maneno yenu.ila sisi wana chadema tunamuona mtu safiZito ni kigeugeu. si mtu wa kuaminika kwa kauli zake!
kwa kuwa wewe ni mwana ccm hayo ndio maneno yenu.ila sisi wana chadema tunamuona mtu safi
kwa kuwa wewe ni mwana ccm hayo ndio maneno yenu.ila sisi wana chadema tunamuona mtu safi
kwa kuwa wewe ni mwana ccm hayo ndio maneno yenu.ila sisi wana chadema tunamuona mtu safiZito ni kigeugeu. si mtu wa kuaminika kwa kauli zake!
tunawaelewa wala amuwezi kutubabaisha.wewe kwa hayo unayoyasema ni ccm damu,kama kweli wewe ni mwana chadema niambie kadi yako ni namba ngapi na umeikatia wapi?na watu kama nyinyi ndio mnaandika majina ya uongomimi sio CCM ila nimesema fact! habu fuatilia ishu ya Zito kutamka kuwa atagombea urais. haikuanza hivi karibuni. amekuwa akiitoa...inapoleta mjadala katika chama chake mara anaibuka na kauli za kupoza moto...kunakuwa kimya..then baada ya muda anaibuka tena na kauli hiyo hiyo! hapo wewe huoni ukigeugeu wa Zito? i like CDM a lot lakini na-hate watu wanaotengeneza migogoro ndani ya CDM
Akitoa ufafanuzi kwenye page yake ya FB muda mfupi uliopiita Zitto ameweka wazi sasa amefunga mjadala kuhusu kugombea urais 2015
Zitto Kabwe
¨Ngoja niweke wazi kabisa. Ninaulizwa sana kuhusu suala la Urais 2015 baada ya kauli za wanachama waandamizi wa CHADEMA kunukuliwa kuzungumzia suala hilo. Jibu langu kwa wote wenye kutaka kusikia kauli yangu ni kwamba 'katika moja ya maazimio yangu ya mwaka mpya 2013 ni kutoongelea kabisa suala la Urais 2015. Hivyo sitaongelea suala hili. Sitasema kitu kuhusu suala hili mpaka baada ya Katiba mpya kupatikana na chama changu kuweka utaratibu na mchakato wake¨
ANYWAY,,
WITHOUT A FURTHER DO,,TUJIULIZE KWA UMAKIN WA HALI YA JUU SANA,,
YEYE KASEMA MIONGONI MWA MAADHIMIO YAKE YA MWAKA HUU NI KUTOLIZUNGUMZIA HILO JAMBO,KWANI HAPO KAFANYA NINI??
utakuja kuona tatizo la watanzania tulio wengi ni kukosa tafakuri ya kina na kupenda ushabiki usio na tija na bendera fuata upepo,kipi anachopongezwa zitto hapo??
juzi alikuja kupiga ramli hapa jamvin na kuomba msamaha wake wa kinafiki me nilipoanzisha mjadala wa kumtaka aje afanye clarification ya ile radhi na msamaha wake mods wakautoa ule mjadala ulikopotolea wala hakujulikaniki
kila tunaloliona na kuliskia tutafakari kwanza
wakati wengine wapo kupigania haki za walalahoi wengine kama zitto wapo hapo kupigania matumbi yao by any means necessary ikiwezekana hata kwenda kwa sangoma kwenda kuloga
HOLDING ONTO SOMEONE WHO IS NOT ADDING ANY POSITIVE VALUE TO OUR PARTY LIKE ZITTO IS NOT LOYALTY TO OUR CHADEMA,ITS A SIGN OF FEAR,HYPOCRISY AND STUPIDITY
AACHWE TUH ZITTO AJIFIE ZAKE,SI KAAMUA MWENYEWE KUJIUA NA KUNYWA SUMU??
leo anatuomba sisi maziwa ili iweje??
kwa kuwa wewe ni mwana ccm hayo ndio maneno yenu.ila sisi wana chadema tunamuona mtu safiZito ni kigeugeu. si mtu wa kuaminika kwa kauli zake!
wewe sio mwana chadema ila unajifanya mwana chadema kumlaumuZeto kwa kutaka kutuchanganya sisi wana chadema. sisi wana chadema kabwe zito anatufaa na aliyosema ndio msimamo wa wana chadema wote. kinyume cha hayo ni uccmzzk msimamao kitu cha maana sana leo hili kesho hili nini ndugu yangu,kipi tukiamini hili linatudhihirishia kuwa bado huja komaa kisiasa bado kidogo na hautatufaa kwa nafasi kubwa na nyeti kama hiyo la badaye sana.
Haahaaahaaaaaahaaaa!
Pole samson kwa yaliyokukva pale makao makuu, hayo hamtaki yaongelewe humu kwakuwa yanatoa picha halisi ya chama chenu na hasa utendaji wa babu,haya ila demokrasia ina pande mbili,tamu na chungu sa usizuie chungu ifike mitandaon kwakuwa tamu zenu zinafika,mbona ya ccm yanafika na mnayashabikia,mwaka wenu huu ati,tutayajua mengi,asante kwa masalia.
Akitoa ufafanuzi
kwenye page yake ya FB muda mfupi uliopiita Zitto ameweka wazi sasa
amefunga mjadala kuhusu kugombea urais 2015
Zitto
Kabwe
¨Ngoja niweke wazi kabisa. Ninaulizwa sana kuhusu suala
la Urais 2015 baada ya kauli za wanachama waandamizi wa CHADEMA
kunukuliwa kuzungumzia suala hilo. Jibu langu kwa wote wenye kutaka
kusikia kauli yangu ni kwamba 'katika moja ya maazimio yangu ya mwaka
mpya 2013 ni kutoongelea kabisa suala la Urais 2015. Hivyo sitaongelea
suala hili. Sitasema kitu kuhusu suala hili mpaka baada ya Katiba mpya
kupatikana na chama changu kuweka utaratibu na mchakato
wake¨
Coongrats Zitto
sometimes jokes zinakubaliwa ktk issue makini ndo maana wengine wameipenda big up ila ukweli unasisima nao pia mtu huyohuyo kaupenda .Umeonaee!.. Ni mkweli Saaaana ndiyo maana anasifiwa tu humu mtandaoni!.. Atagombea urais kupitia chama chake! .. CHAUMA!.... Alibadili uamuzi wa kugombea ubunge GEITA na kwingineko!.. Akishinda Kafulila waziri mkuu, Mchange Spika, na masalia woote vyeo viwiliviwili!
Haahaaahaaaaaahaaaa!
Kiboko ya Slaa huyoUnacheka nin?huyo Zitto humjui?
Mbowe na Slaa ndio maana wanatangaza hadharani hawana chuki wala mgogoro katika top management ambayo zitto ni mmoja wapo. wenzenu Mbowe na Slaa wanamgwaya nyie watoto walito ndio kila kukicha mnatokwa mapovu mitandaoni kumponda zitto mkiongozwa na Ben Saanane, yeriko nyerere cjui nyerere wawapi huyu na malimbukeni wengine wa siasaWANACHADEMA GANI WANAEMUONA ZITTO NI MSAFIM KAMA SIO NYINYI MASALIA??
usafi wa mshirikina unapatikana vipi??