Unajuwa wewe ni mjinga!! na nitakueleza ujinga wako ni nini, Zitto anawatumia kama Condom lakini alipoona mission yenu imefeshindwa yeye anarudi kwenye mstari anawaacha wajinga kama wewe muendelee kuumbuka na hatimaye mfutwe uanachama.
Hebu Msome Samson Mwigamba hapa.
![]()
Samson Mwigamba Mwampamba, I'm your friend and you know it. Mimi huwa si mnafiki. Nachukua fursa hii kushauri kwamba hiyo vita unayopigana lazima iwe na mipaka. Hata ungemchukiaje, Mbowe is still our party national chairman and some how the symbol of the party. Jaribu kuwa na heshima kidogo, si vizuri kupambana na viongozi kwenye mitandao. I did the same to Mamuya. Nilimwambia hata mkimuuliza leo. Sikubaliani na kitendo cha yeye kuja kwenye mitandao na kumtaja Naibu Katibu mkuu wa chama kwamba ni msaliti. Kama ana ushahidi angeupeleka kwenye vikao. Nilimwambia kama mwenyekiti wake wa mkoa kwamba hatafika mbali kwa staili hiyo. Na ningekuwa na uwezo leo ningefuta uanachama Mamuya, Ben Sanane, wewe, Gwakisa, and everybody anayefanya vita vya kichama kwenye mitandao. This is unacceptable. Wewe unajua nimeumizwa sana pale makao makuu huenda kuliko wewe. Kama wewe ulizuiwa kugombea mimi niliharibiwa maisha yangu na familia yangu. Mpaka leo sina kazi miezi minane sasa naishi kwa kuomba omba. But sijawahi kuingia kwenye mitandao na kumtukana kiongozi aliyenitenda. Huo ndo utu uzima Mwampamba. My young brothers, kuna maisha beyond uenyekiti wa BAVICHA taifa. Why are you driven mad to such extent. Kama mlionewa Mngetulia na kujipanga upya mkawa mnajieleza ndani kwa vijana ndani ya chama i'm sure next time mngepata hata kura za sympathy. Lakini hii vita yenu nilishawaambia msidhani mnamuumiza Slaa ama Mbowe bali mnatuumiza hata sisi kwa maana ya kuharibu chama. Mwisho wa siku mtafutwa uanachama na ndiyo itakuwa end of your story in CHADEMA. It's just a piece of advice from your dear brother. Mnaweza kuuchukua ama kuupuzia lakini msianzishe tena vita na mimi. Time will tell my young brothers!!!
Ushauri Mzuri sana huu.