Zitto afunga mjadala kuhusu yeye kugombea urais

Zitto afunga mjadala kuhusu yeye kugombea urais

Unajuwa wewe ni mjinga!! na nitakueleza ujinga wako ni nini, Zitto anawatumia kama Condom lakini alipoona mission yenu imefeshindwa yeye anarudi kwenye mstari anawaacha wajinga kama wewe muendelee kuumbuka na hatimaye mfutwe uanachama.

Hebu Msome Samson Mwigamba hapa.


Samson Mwigamba Mwampamba, I'm your friend and you know it. Mimi huwa si mnafiki. Nachukua fursa hii kushauri kwamba hiyo vita unayopigana lazima iwe na mipaka. Hata ungemchukiaje, Mbowe is still our party national chairman and some how the symbol of the party. Jaribu kuwa na heshima kidogo, si vizuri kupambana na viongozi kwenye mitandao. I did the same to Mamuya. Nilimwambia hata mkimuuliza leo. Sikubaliani na kitendo cha yeye kuja kwenye mitandao na kumtaja Naibu Katibu mkuu wa chama kwamba ni msaliti. Kama ana ushahidi angeupeleka kwenye vikao. Nilimwambia kama mwenyekiti wake wa mkoa kwamba hatafika mbali kwa staili hiyo. Na ningekuwa na uwezo leo ningefuta uanachama Mamuya, Ben Sanane, wewe, Gwakisa, and everybody anayefanya vita vya kichama kwenye mitandao. This is unacceptable. Wewe unajua nimeumizwa sana pale makao makuu huenda kuliko wewe. Kama wewe ulizuiwa kugombea mimi niliharibiwa maisha yangu na familia yangu. Mpaka leo sina kazi miezi minane sasa naishi kwa kuomba omba. But sijawahi kuingia kwenye mitandao na kumtukana kiongozi aliyenitenda. Huo ndo utu uzima Mwampamba. My young brothers, kuna maisha beyond uenyekiti wa BAVICHA taifa. Why are you driven mad to such extent. Kama mlionewa Mngetulia na kujipanga upya mkawa mnajieleza ndani kwa vijana ndani ya chama i'm sure next time mngepata hata kura za sympathy. Lakini hii vita yenu nilishawaambia msidhani mnamuumiza Slaa ama Mbowe bali mnatuumiza hata sisi kwa maana ya kuharibu chama. Mwisho wa siku mtafutwa uanachama na ndiyo itakuwa end of your story in CHADEMA. It's just a piece of advice from your dear brother. Mnaweza kuuchukua ama kuupuzia lakini msianzishe tena vita na mimi. Time will tell my young brothers!!!

Ushauri Mzuri sana huu.
 
Unaanzisha mada wewe unajijibu wewe kisha unajipongeza wewe,

Daaah hii kali,

TUNTEMEKE

nice 2:

Mwakalinga Y.R

Na wengine wote = = ZITTO.

Na bado, mtaweweseka kwa kujirudi mpaka myatupe majini yote!

Nguvu ya Mungu haishindani na nguvu za gizi abadani hasilani!

Karibu kukijenga chama kwa gharama ya damu na maji, kwa faida ya mamilioni ya watanzania waleo na wakesho!
 
Hahahaa hii dunia wanayoishape are very few,veeery few!...naamini huge pressure kaitoa hapa JF ambapo ina watu wlijirejista laki moja plus, na wachangiaji kama 200 tu ambao wanago against to ZZK politics..naanza kuamini maneno ya watu mtaani kua JF ni mhimili usio rasmi ndani ya CHADEMA.. BTW hiyo kauli ya ZZK alipokua amefikia hata angemfata teja anaeshinda pale mwinyi mkuu magomeni angemshauri the same thing to me sioni jipya hata! muungwana ni vitendo na sio maneno.
 
Babu anatamani watu wenye kichuguu kama wewe hahahha!!!Pole sana naona zitto kakuzima unahaha na mm.

...Damage Control...Zitto umejiharibia na kuharibu credibility yako mwenyewe kwa tamaa, ego, ulimbukeni, kiburi, undumilakuwili na majivuno...mabaya yako yana overide mazuri yako...jua kuwa tulikuamini tukakupaisha ktk medani za kisiasa na sasa mioyo yetu imevia baada yakugundua kuwa wewe siriziki n all our effort ilikuwa bure! ...unakazi ya ziada kurejesha matumaini tuliyokuwa nayo juu yako...Good Luck...
 
275673_100000321189166_1444157301_q.jpg
Zitto Kabwe

¨Ngoja niweke wazi kabisa. Ninaulizwa sana kuhusu suala la Urais 2015 baada ya kauli za wanachama waandamizi wa CHADEMA kunukuliwa kuzungumzia suala hilo. Jibu langu kwa wote wenye kutaka kusikia kauli yangu ni kwamba 'katika moja ya maazimio yangu ya mwaka mpya 2013 ni kutoongelea kabisa suala la Urais 2015. Hivyo sitaongelea suala hili. Sitasema kitu kuhusu suala hili mpaka baada ya Katiba mpya kupatikana na chama changu kuweka utaratibu na mchakato wake¨



Coongrats Zitto
analiona hilo leo,hii inathibitisha wote waliokaa kimya wanaoutaka urais wana busara
na wamemwacha Zitto kiuongozi
 
Last edited by a moderator:
Unaanzisha mada wewe unajijibu wewe kisha unajipongeza wewe,

Daaah hii kali,

TUNTEMEKE

nice 2:

Mwakalinga Y.R

Na wengine wote = = ZITTO.

Na bado, mtaweweseka kwa kujirudi mpaka myatupe majini yote!

Nguvu ya Mungu haishindani na nguvu za gizi abadani hasilani!

Karibu kukijenga chama kwa gharama ya damu na maji, kwa faida ya mamilioni ya watanzania waleo na wakesho!
Hii tabia ya kusema hii id ni ya Zitto sijui nini?siku hizi kureveal ID humu JF ni sawa tu?mods leteni mwongozo
 
Hii tabia ya kusema hii id ni ya Zitto sijui nini?siku hizi kureveal ID humu JF ni sawa tu?mods leteni mwongozo
Mbona unaweweseka, tulia mtanyolewa wote mwaka huu na hakuna atakayesalia, i mean hakutokuwa na Masalia tena. manyang'au kabisa nyinyi.
 
Pole samson kwa yaliyokukva pale makao makuu, hayo hamtaki yaongelewe humu kwakuwa yanatoa picha halisi ya chama chenu na hasa utendaji wa babu,haya ila demokrasia ina pande mbili,tamu na chungu sa usizuie chungu ifike mitandaon kwakuwa tamu zenu zinafika,mbona ya ccm yanafika na mnayashabikia,mwaka wenu huu ati,tutayajua mengi,asante kwa masalia.
s://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-snc7/369138_100002238809024_1016623688_q.jpg[/IMG][/URL] Samson Mwigamba Mwampamba, I'm your friend and you know it. Mimi huwa si mnafiki. Nachukua fursa hii kushauri kwamba hiyo vita unayopigana lazima iwe na mipaka. Hata ungemchukiaje, Mbowe is still our party national chairman and some how the symbol of the party. Jaribu kuwa na heshima kidogo, si vizuri kupambana na viongozi kwenye mitandao. I did the same to Mamuya. Nilimwambia hata mkimuuliza leo. Sikubaliani na kitendo cha yeye kuja kwenye mitandao na kumtaja Naibu Katibu mkuu wa chama kwamba ni msaliti. Kama ana ushahidi angeupeleka kwenye vikao. Nilimwambia kama mwenyekiti wake wa mkoa kwamba hatafika mbali kwa staili hiyo. Na ningekuwa na uwezo leo ningefuta uanachama Mamuya, Ben Sanane, wewe, Gwakisa, and everybody anayefanya vita vya kichama kwenye mitandao. This is unacceptable. Wewe unajua nimeumizwa sana pale makao makuu huenda kuliko wewe. Kama wewe ulizuiwa kugombea mimi niliharibiwa maisha yangu na familia yangu. Mpaka leo sina kazi miezi minane sasa naishi kwa kuomba omba. But sijawahi kuingia kwenye mitandao na kumtukana kiongozi aliyenitenda. Huo ndo utu uzima Mwampamba. My young brothers, kuna maisha beyond uenyekiti wa BAVICHA taifa. Why are you driven mad to such extent. Kama mlionewa Mngetulia na kujipanga upya mkawa mnajieleza ndani kwa vijana ndani ya chama i'm sure next time mngepata hata kura za sympathy. Lakini hii vita yenu nilishawaambia msidhani mnamuumiza Slaa ama Mbowe bali mnatuumiza hata sisi kwa maana ya kuharibu chama. Mwisho wa siku mtafutwa uanachama na ndiyo itakuwa end of your sto
 
hii ni baada ya mboye kusema hatogombea urais 2015 ama?
 
sisi hatumpingi zito kugombea tunapinga uropokaji,ukurupaji,kutokuwa karibu na wenzake kujenga chama na pi kutotabilika....ndo maana kwenye fasihi msimamo wa mtoa falsafa ni kitu muhiimu sana
 
hii ni kauli ambayo naitafakari kwa undani sana mimi

Dena Amsi I must admit....... you have sense of humor! unavyolifikiria ndio ninavyolifikiria mimi tofauti na watu wanavyo-comment! kweli sometimes common sense is not common.
 
Kama ni kweli, hiyo pia ni busara.Sasa ni wakati wa kupambana ili kukiimarisha chama ili kuwakomboa wanyonge wa tanzania kutoka katika limbwi la umaskini.Big up.
Akitoa ufafanuzi kwenye page yake ya FB muda mfupi uliopiita Zitto ameweka wazi sasa amefunga mjadala kuhusu kugombea urais 2015

275673_100000321189166_1444157301_q.jpg
Zitto Kabwe

¨Ngoja niweke wazi kabisa. Ninaulizwa sana kuhusu suala la Urais 2015 baada ya kauli za wanachama waandamizi wa CHADEMA kunukuliwa kuzungumzia suala hilo. Jibu langu kwa wote wenye kutaka kusikia kauli yangu ni kwamba 'katika moja ya maazimio yangu ya mwaka mpya 2013 ni kutoongelea kabisa suala la Urais 2015. Hivyo sitaongelea suala hili. Sitasema kitu kuhusu suala hili mpaka baada ya Katiba mpya kupatikana na chama changu kuweka utaratibu na mchakato wake¨



Coongrats Zitto
 
Huu ni wakati wa kuchenga chama,mambo ya urais tutayajadili baadaye!
 
The damage is done..someone can no longer be trusted,ben saanane keep your surveillance camera on this dude 24/7/365..
He can go tell that to the marines but not me!!!
 
Mbona unaweweseka, tulia mtanyolewa wote mwaka huu na hakuna atakayesalia, i mean hakutokuwa na Masalia tena. manyang'au kabisa nyinyi.
wewe hebu toa pumba hapa,uinazidiwa na mwanangu aliyeko daycare.
 
Dena Amsi I must admit....... you have sense of humor! unavyolifikiria ndio ninavyolifikiria mimi tofauti na watu wanavyo-comment! kweli sometimes common sense is not common.

Kwanza kauli yenyewe ya kupitia FB.....na amesema hatazungumzia sio hatagombea??? Mmmhhhh hapo pagumu kidogo
 
Joseph Sila Msangi Pamoja daima... M4c @zitoSee Translation
hii ni moja ya comment from facebook what does it mean nisaidieni
 
Back
Top Bottom