Zitto afunga mjadala kuhusu yeye kugombea urais

Zitto afunga mjadala kuhusu yeye kugombea urais

Hakuna ambaye anamchukia Zitto bila sababu, ila tatizo ni matendo yake ila naona Zitto kaanza kukomaa.

Pongezi kwako broda ila hatutafumba macho kwako.
Mungu akulinde Zitto.

Haki ya mama watanzania tuna vichwa tofauti na binadamu wengine. Zee zima above 30 years mnasema ndio linaanza kukomaa???. Sina hamu!
 
kaka yangu zito harakaharaka haina baraka subiri wakati utafika na mambo yatajipa tu,kikubwa ni kuomba uzima,nyota itawaka tu tulia kaka!:majani7:
 
ZITO is right the rest are just wapiga tarumbeta wa Slaa. Ni kituko kwa chama kinachojinadi kama CHAMA CHA DEMOKRASIA kujisahau mpaka kumtangaza wazi wazi Slaa kuwa ndiye mgombea Urais na kuwanyima watu wengine fursa ya kugombea eti tu hayo ndo matakwa ya mwenye CHADEMA babu yetu Edwin Mtei. Hii inaonesha hata CHADEMA ikipewa ridhaa ya kutawala nchi hii kama ndoto zao zingekuwa kweli basi uongozi wa nchi hii utapangwa na Edwin Mtei na Freeman Mbowe. Hahahaha hapa ni faraja kubwa kwa wa Tanzania kwani tumeielewa CHADEMA ninini na ikoje. Adanganwi mtu ZITO una haki ya kugombea ikishindikana njoo hapa NCCR mageuzi tutakupa tafu. Achana na hao jamaa walikwisha jipanga wao kwa wao wewe wanakutumia tu
 
tunawaelewa wala amuwezi kutubabaisha.wewe kwa hayo unayoyasema ni ccm damu,kama kweli wewe ni mwana chadema niambie kadi yako ni namba ngapi na umeikatia wapi?na watu kama nyinyi ndio mnaandika majina ya uongo
swali lako linajibiwa na title yangu...'Kamanda Kazi'. jeshini hatuna itikadi za vyama vya siasa ingawa tu wapenzi wa vyama vya siasa. wakati wa chaguzi kwani wananchi huwa wanakwenda kupiga kura na kadi zao za vyama vya siasa au na shahada ya kupigia kura? think big mr. ila usiwe shabiki wa viongozi wa vyama vya siasa bila kuwa analytical...
 
kamanda imarisha chama swala la urais mwenyekupanga ni mungu bado unao muda sana utagombea huko mbele
 
Bora akae kimya aache unafiki,Slaa tosha.
Slaa tosha kweli maana hata zama zake zimepita kama enzi zile za zama za mawe sasa ni mwendo wa Digitally kweli mzee Slaa ametosha na sasa apumzike alelee wajukuu wake
 
sijui akina Juliana na Mwampamba watafanya nini sasa, maana walikuja na kufungia ID humu kwa ajilo ya kuchafua chama, sasa jamaa kawacha kweupe!!!! kweli dawa ya mchawi ni fupi sana
 
Kusema hataongelea suala hili si kufunga mjadala.

To the contrary.

Ni kuchochea mjadala.

Kama asingetaka mjadala asingeuanzisha in the first place.

Is this how he envisioned handling the presidency? By inconsistent diction?

Hardly presidential.

Sarcastic?......

Calling by 2am in the midnight and still asking are you sleeping?.......no am just picking beans ...hahaha.Huo ni mjadala tayari.It betrays your statement!

Again,is this not sarcastic?


Does my complexion cloud the colour of my character?
Does my location limit the lengths of my liberty?
Does the spirit of my conviction shackle my soul
Does my mien maim the mine of my mind
 
wewe sio mwana chadema ila unajifanya mwana chadema kumlaumuZeto kwa kutaka kutuchanganya sisi wana chadema. sisi wana chadema kabwe zito anatufaa na aliyosema ndio msimamo wa wana chadema wote. kinyume cha hayo ni uccm

TUNTEMEKE bhana! We umepigwa ban ila bado 2 unakomaa.
 
Last edited by a moderator:
Haki ya mama watanzania tuna vichwa tofauti na binadamu wengine. Zee zima above 30 years mnasema ndio linaanza kukomaa???. Sina hamu!

Mkuu ndiyo zitto kaanza kukomaa kwani namfananisha na mtoto wa kidato cha kwanza.
 
swali lako linajibiwa na title yangu...'Kamanda Kazi'. jeshini hatuna itikadi za vyama vya siasa ingawa tu wapenzi wa vyama vya siasa. wakati wa chaguzi kwani wananchi huwa wanakwenda kupiga kura na kadi zao za vyama vya siasa au na shahada ya kupigia kura? think big mr. ila usiwe shabiki wa viongozi wa vyama vya siasa bila kuwa analytical...
unahabari kwamba Nd. mchemba anasema chadema ndio wanaopanga mauaji ya yanayofanyika kwenye maadamano yao na bado wana mipango ya kuuwa watu na ushahidi anao.uoni kama hili ni zito sana kuliko hilo la kabwe zito? unasemaje kwahilo

 
swali lako linajibiwa na title yangu...'Kamanda Kazi'. jeshini hatuna itikadi za vyama vya siasa ingawa tu wapenzi wa vyama vya siasa. wakati wa chaguzi kwani wananchi huwa wanakwenda kupiga kura na kadi zao za vyama vya siasa au na shahada ya kupigia kura? think big mr. ila usiwe shabiki wa viongozi wa vyama vya siasa bila kuwa analytical...

Mkuu usibishane na TUNTEMEKE koz kaja kivingine baada ya kula ban.
 
Last edited by a moderator:
Slaa tosha kweli maana hata zama zake zimepita kama enzi zile za zama za mawe sasa ni mwendo wa Digitally kweli mzee Slaa ametosha na sasa apumzike alelee wajukuu wake
wanachadema sisi tunaona anafaa,linalokupasa wewe kufanya ni kujitahidi kutafuta mtu bora kutoka ccm alafu uamuzi uwe kweye kupiga kara
 
Zitto kama kweli umejirudi kwa mapenzi mema ya kukipigania chama karibu,bt kama unampango wako nyuma ya pazia aisee laana za watanzania wenye imani na cdm zitakufuata mpaka kaburini.
 
Sarcastic?......

Calling by 2am in the midnight and still asking are you sleeping?.......no am just picking beans ...hahaha.Huo ni mjadala tayari.It betrays your statement!

Again,is this not sarcastic?


Does my complexion cloud the colour of my character?
Does my location limit the lengths of my liberty?
Does the spirit of my conviction shackle my soul
Does my mien maim the mine of my mind

I doubt the capacity for sarcasm, as the lower end of wit, it takes some capacity you know. More like lack of coherence in some quarters.

And a tendency to think like a spineless sponge.

The temerity to even think of the presidency!
 
Mkuu usibishane na TUNTEMEKE koz kaja kivingine baada ya kula ban.
Asante sana mkuu lakini lazima tuwaeleze maana wanajifanya wanachadema,na kwa nini watupangie list yetu,sisi tunayo list yetu ya ushindi, na wao wapange list yao ya ccm
 
unahabari kwamba Nd. mchemba anasema chadema ndio wanaopanga mauaji ya yanayofanyika kwenye maadamano yao na bado wana mipango ya kuuwa watu na ushahidi anao.uoni kama hili ni zito sana kuliko hilo la kabwe zito? unasemaje kwahilo

[/SIZE]

:A S angry: mimi si msemaji wa MCHEMBA wala viongozi wa Chadema. in short katika politics kuna dirty games zinachezwa. sasa wanaomiza vichwa ni wananchi wa kawaida! kama ana hiyo video si aitoe hadharani. binafsi siamini kama ana kitu kama hiyo maana kama angekuwa nayo CCM wangekuwa na silaha ya maangamizi ya kuimaliza kabisa Chadema! ndio hivyo ila kama unafanya ushushushu humu JF...POLE sana!:A S angry:
 
Mkuu usibishane na TUNTEMEKE koz kaja kivingine baada ya kula ban.
Asante sana mkuu lakini lazima tuwaeleze maana wanajifanya wanachadema,na kwa nini watupangie list yetu,sisi tunayo list yetu ya ushindi, na wao wapange list yao ya ccm
 
Back
Top Bottom