Lakini huyu Zitto siku moja akiwa Jimboni kwake mwaka 2010 kwenye kampeni aliwahi kuwaambia wapiga kura wake kwamba wampigie Kura za Ubunge mwaka 2010 na mwaka 2015 wampigie kura za Urais.Huu mwaka ndio bado mchanga kama ameanza hivi (kwa style nzuri inayoonyesha kukomaa kifikra) ni dhahiri mapambano kuelekea ukombozi yatakuwa swafi.
Unaongea kimafumbo sana ,fafanua maana kila kitu siku hizi kipo wazi ndio maana kamanda Zitto ameweka wazi.mwaka upo salama kabisa tena unamakubwa sana huu mwaka.Muda si mrefu watanzania watashuhudia maajuabu kwa kile wanachokitegemea kuwa ni salama kumbe kijiwe cha machinjio
zittophobiasis wataishia kutoa povuuuu
Babu anatamani watu wenye kichuguu kama wewe hahahha!!!Pole sana naona zitto kakuzima unahaha na mm.
Historia ina tabia ya kuwahukumu watu ,ila kwa wanafalsafa wanaamini kuwa ni vyema kuikumbuka historia na kujirudi kuliko kuikwepa historia ije ikuhukumu. Hapa ni step 1 kwa jemedari Zitto.Let us hope for the best.Lakini huyu zitto siku moja akiwa Jimboni kwake mwaka 2010 kwenye kampeni aliwahi kuwaambia wapiga kura wake kwamba wampigie Kura za Ubunge mwaka 2010 na mwaka 2015 wampigie kura za Urais.Na mimi nilikuwepo amesahau au amewahi kufuta kauli hiyo?
Unajuwa wewe ni mjinga!! na nitakueleza ujinga wako ni nini, Zitto anawatumia kama Condom lakini alipoona mission yenu imefeshindwa yeye anarudi kwenye mstari anawaacha wajinga kama wewe muendelee kuumbuka na hatimaye mfutwe uanachama.zittophobiasis wataishia kutoa povuuuu
Kachukue Posho yako Lumumba.Ila tumeshakufahamu na huna muda mrefu utapotea na CDM yetu inazidi kuwa Juu.Mchumia Tumbo sasa Ben Saa Nane kashakuruka sijui Chakula na Vinywaji atawalipia nani wewe na Juliana.Polee yako.:majani7:Babu anatamani watu wenye kichuguu kama wewe hahahha!!!Pole sana naona zitto kakuzima unahaha na mm.
Haahaaahaaaaaahaaaa!
Must be looking for a "first lady to be" first..........:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
Akitoa ufafanuzi kwenye page yake ya FB muda mfupi uliopiita Zitto ameweka wazi sasa amefunga mjadala kuhusu kugombea urais 2015
Zitto Kabwe
¨Ngoja niweke wazi kabisa. Ninaulizwa sana kuhusu suala la Urais 2015 baada ya kauli za wanachama waandamizi wa CHADEMA kunukuliwa kuzungumzia suala hilo. Jibu langu kwa wote wenye kutaka kusikia kauli yangu ni kwamba 'katika moja ya maazimio yangu ya mwaka mpya 2013 ni kutoongelea kabisa suala la Urais 2015. Hivyo sitaongelea suala hili. Sitasema kitu kuhusu suala hili mpaka baada ya Katiba mpya kupatikana na chama changu kuweka utaratibu na mchakato wake¨
Coongrats Zitto