JackisonDubai
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 537
- 1,274
Ni masaa sSasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa Serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?
Twitter Zitto Kabwe yuko kimya kabisa au ndiyo kusema asali tamu sana?