Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Kwa huu upepo unavyovuma wapinzani wamebaki solemba
Wamekosa cha kupinga, kila wanapishika wanaishia kupuuzwa tu na Wananchi
Magufuli amepeleka umeme kila kona ya Nchi. Pia, amepeleka barabara kila kona ya nchi hata kwa yale majimbo ya wapinzani.
Tunakuombea afya njema Jemadari wetu Rais Magufuli kuikomboa Tanzania
Wamekosa cha kupinga, kila wanapishika wanaishia kupuuzwa tu na Wananchi
Magufuli amepeleka umeme kila kona ya Nchi. Pia, amepeleka barabara kila kona ya nchi hata kwa yale majimbo ya wapinzani.
Tunakuombea afya njema Jemadari wetu Rais Magufuli kuikomboa Tanzania