Kwa huu upepo unavyovuma wapinzani wamebaki solemba
Wamekosa cha kupinga, kila wanapishika wanaishia kupuuzwa tu na Wananchi
Umeme kila kona ya Nchi,Magufuli amepeleka
Barabara kila kona ya Nchi Magufuli amepeleka, tena anepeleka hadi majimbo ya upinzani
Tunakuombea afya njem,Jemadari wetu Magufuli kuikomboa Tanzania
Kikubwa ni kwamba siku hizi Magufuli hawajibu, amewaacha anafanya yake, wanaompinga wamebaki kubweka bila kumtisha kwa lolote, yeye amekomaa kwenye kuboresha maisha ya Watanzania.
Walichobaki nacho ni kuungana na mabeberu!
Inawezekana wewe ni mzazi na hii ndiyo ajira inaweka mezani chakula na ada ya watoto wako. Ninakusamehe.
Haya ndiyo matatizo makubwa ya Praise team yaani timu ya kusifu na kuabudu wana matatizo makubwa sana maana mara zote kwenye masuala ya kitaifa wao huvaa miwani ya mbao.Hawaoni kabisa hata yanayoendelea kwenye zoezi zima la chaguzi linavyoendelea wao wanasubiri tu kusema wameshinda kwa KISHINDO!!!!!!Hii ni hatari sana huwezi kujivunia umeme wakati wananchi haki zao zinaminywa.Hata majimbo ya upinzani yananyimwa haki wananchi wakilalamika wanaambiwa na mkuu wa kaya eti kuwa walikosea kuchagua Upinzani wakati ni wajibu wa serikali iliyoko madarakani kupeleka huduma kwa wananchi wake haijalishi jimbo liko upinzani au la.Kwa huu upepo unavyovuma wapinzani wamebaki solemba
Wamekosa cha kupinga, kila wanapishika wanaishia kupuuzwa tu na Wananchi
Umeme kila kona ya Nchi,Magufuli amepeleka
Barabara kila kona ya Nchi Magufuli amepeleka, tena anepeleka hadi majimbo ya upinzani
Tunakuombea afya njem,Jemadari wetu Magufuli kuikomboa Tanzania
Wewe ni kifaranga cheupe Mwewe ni rahisi sana kukuona na kukunyakua hivyo lazima uunge mkono hoja tu!!!Naunga mkono hoja.
P
Bora wajinga wanaweza kuelimishwa, hawa ni mataahira.Naisikitia Nchi yangu unaendelea kuzalisha wajinga wengi kama we
Naunga mkono hoja.
P
Wana bweka?? Labda ni kweli.Kikubwa ni kwamba siku hizi Magufuli hawajibu, amewaacha anafanya yake, wanaompinga wamebaki kubweka bila kumtisha kwa lolote, yeye amekomaa kwenye kuboresha maisha ya Watanzania.
Walichobaki nacho ni kuungana na mabeberu!
Praise Team aka MATAGA endelea kusifu tu , kila awamu inakuja na wapiga pambio wake.Kwa huu upepo unavyovuma wapinzani wamebaki solemba
Wamekosa cha kupinga, kila wanapishika wanaishia kupuuzwa tu na Wananchi
Umeme kila kona ya Nchi,Magufuli amepeleka
Barabara kila kona ya Nchi Magufuli amepeleka, tena anepeleka hadi majimbo ya upinzani
Tunakuombea afya njem,Jemadari wetu Magufuli kuikomboa Tanzania
Kabisa unasema umeme kila kona ya nchi?? Hapa hapa DSM umeme tu hakuna mimi tangia mwaka 2016 tuliambiwa tunaletewa umeme mpaka sasa haujafika na ni DSM.Kwa huu upepo unavyovuma wapinzani wamebaki solemba
Wamekosa cha kupinga, kila wanapishika wanaishia kupuuzwa tu na Wananchi
Umeme kila kona ya Nchi,Magufuli amepeleka
Barabara kila kona ya Nchi Magufuli amepeleka, tena anepeleka hadi majimbo ya upinzani
Tunakuombea afya njem,Jemadari wetu Magufuli kuikomboa Tanzania
Unahitaji kuwa psychiatrict ward kwa sasa hivi
You are insane!
Katika hoja za kijinga ni pamoja na hii. Samahani sijasema wewe ni mjinga bali hoja ni ya kijinga mno. Labda mtoa hoja unaweza kusema una nufaikaje na wapinzani wanapompinga rais? Hata umeamua kuja na hoja hii ni nini kimekukereketa hasa? Je, kama wapinzani hawana cha kumpinga rais nawe huoni hawampingi, ungenyamaza kuna ubaya gani? Rais asipoungana na wapinzani anashindwa nini?
Jenga hoja usishambulie maoni yake.Kwa nini Tunuunge mkono au tusimuunge mkono Magufuli
Una wazimu