Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
- Thread starter
- #561
Jambo kama lipi ? Embu toa mfano.
Hapo nilikuwa namjibu mtu swali. Rudi kwenye hiyo post utapata majibu ya swali lako.
Jambo kama lipi ? Embu toa mfano.
Naam. Na nikatafuta kwenye Islamic sources (Al-Islam.org) ndipo nikapata hiki:
"....This 'marriage of mut'a' is referred to both in the hadith literature and, in much more detail, in the books on jurisprudence (fiqh).
the Qur'an itself refers to this kind of marriage employing a term derived from the same root. In the following verse, the word istimta', the tenth verbal form of the root m-t-', is translated as 'enjoy':
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).
......."
wapi Mwenyezi Mungu karuhusu kuwaingilia vijakazi/house girlHawa ni vijakazi wanaopatikana baada ya vita , hakuna zinaa kwenye hilo , labda utuambie Yakobo kwa kuzaa na vijakazi wake nae kavunja amri ya ngap?
Kumbe ulipatia hapa
Buhahahahah
Basi tafuta Islami source ya sawa
ni si hawa MASHIA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni nyingine mjibu afu Mrudishie kwenye madaMfia ukweli
Ulisema mada imekwisha,kwa kukubali kuwa hakuna Ndoa ya Mut-aa katika Uislam
nadhani umekuja na mada nyengine!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ipi?
wewe unaweza ukamuingilia mjakazi na ukaona ni agizo la MunguAccording to?! Ama kweli we jamaa unapumua uongo!! Hivi kweli ni Mkristo wewe?
Sasa kama aliyeruhusu hayo yote ni Allah ambaye anafuatwa na waislamu.tatizo lako liko wapi?
sababu ALLAH ALIKWISHA WEKA WAZI KWAMBA
Tatizo alla SIE ALLAHsababu ALLAH ALIKWISHA WEKA WAZI KWAMBA
View attachment 1001029
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam. Na nikatafuta kwenye Islamic sources (Al-Islam.org) ndipo nikapata hiki:
"....This 'marriage of mut'a' is referred to both in the hadith literature and, in much more detail, in the books on jurisprudence (fiqh).
the Qur'an itself refers to this kind of marriage employing a term derived from the same root. In the following verse, the word istimta', the tenth verbal form of the root m-t-', is translated as 'enjoy':
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).
......."
naomba umsaidie kunukuuSasa kaka hapa ushahidi wa mut'ah katika aya hii uko wapi ? Embusoma mtiririko wa aya mpaka kufikia aya hii ya 4 katikia surat an-Nisaa.
Naam. Na nikatafuta kwenye Islamic sources (Al-Islam.org) ndipo nikapata hiki:
"....This 'marriage of mut'a' is referred to both in the hadith literature and, in much more detail, in the books on jurisprudence (fiqh).
the Qur'an itself refers to this kind of marriage employing a term derived from the same root. In the following verse, the word istimta', the tenth verbal form of the root m-t-', is translated as 'enjoy':
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).
......."
naomba umsaidie kunukuu
Labda hajui pa kuanzia,maana ameona sehemu hiyo tu kwa Mashia,akaona amemaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha hizo Mkuu; ikiitwa ndoa inabaki kuwa ndoa. Kwani kuna ng'ombe sahihi na asie sahihi? Ama atakuwa ng'ombe au si ng'ombe. Hali kadhalika; ndoa au si ndoa.
Wewe si ndo yule unayejifanya Mfuasi wa Jehova wakati Jehova ameshasema wazi kwamba anachukizwa sana na Waongo?! Naona unafanya kazi ya kurukaruka tangu... narudia tena, weka hapa Aya ya Quran 4:24 yenye maneno ambayo wewe umeyasema kwamba ni from Quran... !!!
Halafu ona ulivyo hopeless... sasa hao Al Qaeda na Al Shabab ndio Quran? Ukiambiwa umeleta mada kwa ajili ya kukashifu dini unatuletea unafiki wako! Au unataka watu tuanze kulichambua hapa hilo dhehebu lako la Wasabato, ambalo tukianza hapa si ajabu hata Wakristo wenzako wakaanza kuwashushia makombora kwa kujifanya kwenu kujua na kuwaona wote ni watenda dhambi kasoro nyinyi?!
Anyway, don't worry siwezi kufanya hivyo kwa sababu, Quran 6:108 inasema:Lakini sio hivyo tu, bali naamini hapa JF wapo Wasabato wenye akili na busara ambao wanafanya staha kwa imani za wengine kwahiyo siwezi kuwakwaza wote hao kwa ajili mtu mmoja ambae anaenda kinyume hata na huyo Jehova anayedai anamfuata!!!
hebu sona ayat hii halafu kataa sio zinaa
mkuu wewe ni Muumini au muislamu![]()
hebu sona ayat hii halafu kataa sio zinaa
View attachment 1001038
Ref ingekuwa zama huzo unamkuta mkeo Muumini anajipodoa! Unamueleza bibie kunani? Anakujibu naenda JITOA BURE KWA MTUME akirudi utapiga TAKBIR sio![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
ThanksLOL! Mimi msabato???!!!
Mstari huo nimeuleta umpteenth times, unajifanya huoni. Nimekuambia hivi: hiyo trick yako ya kupotezea sio ngeni (na nilitoa mifano ya majina ya watu wanaoitumia - hadi nikapost video clip ya mmojawapo akifanya PRECISELY the same thing).
Tafuta mbinu nyingine (au kaitumie kwa watu ambao sio informed) hiyo kwangu imeshindwa kabla hata haijanza.
USHAURI WA BURE: Ukiona unakuwa embarrassed na facts zinazohusisha unachokiamini na unaona kabisa facts zilizopo zinapingana na common sense NI MUDA WA KUANZA KUTATHMINI UPYA HICHO UNACHOKIAMINI.