Yaani wewe ni moja ya watu ambao nimewadharau sana tena sana hapa JF, na nimekudharau kitambo tu, and I know you know it!mkuu wewe ni Muumini au muislamu![]()
hebu sona ayat hii halafu kataa sio zinaa
View attachment 1001038
Ref ingekuwa zama huzo unamkuta mkeo Muumini anajipodoa! Unamueleza bibie kunani? Anakujibu naenda JITOA BURE KWA MTUME akirudi utapiga TAKBIR sio![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekudharau kwa sababu wewe mijadala yako sio ya kutaka kuelimishana bali ni kukashifiana!! You sound kama bwana mmoja anayejiita MaxShimba ambae hapa JF alikurupushwa miaka ya nyuma baada ya kuibuliwa kashifa yake ya utapeli!!
Which means, nikitaka kujadiliana na wewe ina maana na mimi itabidi nianze kukashifu Ukristo na kitabu chao! And trust me, I know Bible pengine kuliko unavyoijua kama unaijua basi manake wewe kila siku hapa ni reference yako ni Quran!
Lakini kwa bahati mbaya sana, huwezi kunikuta nakashifu imani za watu na vitabu vyao, never ever unless niwe provoked jambo ambalo ndilo unafanya! Siwezi kukashifu Ukristo na kitabu chao kwa sababu nafahamu miongoni mwa Wakristo, kuna wengine waungwana wanaoheshimu imani za wengine na katu hutawaona wakifanya unayofanya wewe!!
Kwa heshima ya watu kama hao, usitarajie kwamba itatokea siku nika-argue na wewe ambae huna lolote la maana zaidi ya kashifa... sijui unamtumikia Mungu na Yesu Kristo yupi manake kwa huyu tunayemjua wengine, am sure wewe ni mmoja wa wakosefu wakubwa mbele yao hata kama unajidai Ukristo!
Nakumbuka nilishawahi kukuambia siku za nyuma suala hili, na kama ulisahau, naomba nikukumbuse! Ndugu, I don't have time to argue with you! I don't have time kwa sababu, mosi, mie sio mfuasi wa mijadala ya kidini lakini hata ninapoamua kujadili, huwa napenda kujadili kwa staha na heshima kwa imani za wengine!
Hapa JF wapo watu wengi sana Wakristo kwa Waislamu wanaopenda kukashifu imani za wenzao... look for them but not me, kwa sababu sie kwetu tumejifunza kuwa waungwana wa kuheshimu imani za watu!
Hata ukiangalia mjadala wangu, kuna sehemu zingine Mfiaukweli nimemtolea maneno ya kukera lakini maneno hayo niliyalenga kwake yeye binafsi na sio kwenye Ukristo wake wala Biblia yake!
Labda nikuulize jambo moja: Tangu uanze kukashifu Uislamu (nimekuona muda mrefu sana), ni faida zipi za kiroho ambazo umeshazipata kupitia hizo kashifa?!
Stay blessed!!!

hebu sona ayat hii halafu kataa sio zinaa

sababu ALLAH ALIKWISHA WEKA WAZI KWAMBA 
I stay blessed