Mshenzi wewe,nia yako ni kukashifu mjaa laana wewe.
uislamu una njia kuu mbili za mafundisho.
1.Qurani.
2.Hadithi(mwenendo/utaratibu/vitendo/maneno aliyosema Mtume Muhammad SAW).
Sasa wewe unaambiwa hiyo ni hadithi ya mtume wewe hutaki kukubali na unadai aya.
Wewe si muislami na huujui uislamu,unafundishwa na waislamu wenyewe unakataa,maana yake ni nini kama siyo kukashifu ?
Ulianza vizuri sana hapo mwanzo kwa kuuliza swali ambalo ni la msingi sana watu kufahamu na nadhani wengi walikuwa hawafahamu.
Unaquote aya fupi ili kuleta maana unayoitaka wewe.
Naomba Allah akulaani na akuingize motoni,
panya wewe
Sent using
Jamii Forums mobile app