Zinaa katika uislamu....

Zinaa katika uislamu....

Alieruhusu kuwaingilia wake zako ni nani?

Na aliyeruhusu kuwaingilia waliomilikiwa na mkono wa kuume nani?
Aliye ruhusu kuwaingilia wake zako ni ALLAH na aliyerusu kuwaingilia UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI allah hapo KUNA HOJA KWA WAUMINI WA ALLAH ILAHA KWA WAUMINI WA allah yote ruksa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inatofauti gani na kuchukua kahaba kwa makubaliano yenu wawili? Kwahiyo ndoa ya mutah ni halali kwa waislamu hii inamaana kwamba kumbe makahaba wale wanafunga ndoa za mutah na ni halali kwa mujibu ya uislamu?

Logic ya hiki ulichokiandika hapa ndio chanzo cha mimi kuambiwa nimeleta hii maada ili kukashifu. Ila ukweli halisi ni hiki ulichokiandika. Ndio maana Al-Shabab, Al Qaida et al wanakifanya huku wakiamini pasi na shaka kuwa hawafanyi kinyume na uislamu. Hata wanapoteka wanawake/wasichana wanaamini ni halali kuwaingilia kwa kuwa wapo chini ya mikono yao na wamehalalishiwa.
Hatuzushi ila ni maandiko yao wenyewe.
 
Nimemsikia sheikh mmoja akisema kuwa Muislamu (mwanaume) anaweza kuingia ndoa ya muda maalumu (nikah mut'ah) na mwanamke halafu baada ya hapo akamtaliki. Kwa mfano mimi naishi Tanga lakini nikapata safari ya kikazi Kigoma ya wiki moja na huko nikakutana na binti basi tukikubaliana namwambia "bi mdogo nitakuoa kwa siku mbili au tatu maana nitarejea Tanga siku ya tano".

Unaliongeleaje hilo? Ni halali?
Hapa ndio ninapo ikubali dini ya haki.
 
Logic ya hiki ulichokiandika hapa ndio chanzo cha mimi kuambiwa nimeleta hii maada ili kukashifu. Ila ukweli halisi ni hiki ulichokiandika. Ndio maana Al-Shabab, Al Qaida et al wanakifanya huku wakiamini pasi na shaka kuwa hawafanyi kinyume na uislamu. Hata wanapoteka wanawake/wasichana wanaamini ni halali kuwaingilia kwa kuwa wapo chini ya mikono yao na wamehalalishiwa.
Hatuzushi ila ni maandiko yao wenyewe.
Wewe si ndo yule unayejifanya Mfuasi wa Jehova wakati Jehova ameshasema wazi kwamba anachukizwa sana na Waongo?! Naona unafanya kazi ya kurukaruka tangu... narudia tena, weka hapa Aya ya Quran 4:24 yenye maneno ambayo wewe umeyasema kwamba ni from Quran... !!!

Halafu ona ulivyo hopeless... sasa hao Al Qaeda na Al Shabab ndio Quran? Ukiambiwa umeleta mada kwa ajili ya kukashifu dini unatuletea unafiki wako! Au unataka watu tuanze kulichambua hapa hilo dhehebu lako la Wasabato, ambalo tukianza hapa si ajabu hata Wakristo wenzako wakaanza kuwashushia makombora kwa kujifanya kwenu kujua na kuwaona wote ni watenda dhambi kasoro nyinyi?!

Anyway, don't worry siwezi kufanya hivyo kwa sababu, Quran 6:108 inasema:
Wala msiwatukane wale ambao wanawaita kinyume cha Mwenyezi Mungu wasije wakamtukana Mwenyezi Mungu kupita kiasi bila kujua. Hivyo Tumewapambia kila watu vitendo vyao, kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao, naye
Atawaambia waliyokuwa wakitenda.
Lakini sio hivyo tu, bali naamini hapa JF wapo Wasabato wenye akili na busara ambao wanafanya staha kwa imani za wengine kwahiyo siwezi kuwakwaza wote hao kwa ajili mtu mmoja ambae anaenda kinyume hata na huyo Jehova anayedai anamfuata!!!
 
Unaweza kuweka ushahidi kuthibitisha ulichokiandika hapa? Kama ni kuandika kwa hisia au sentiment then hata na mimi naweza. Kwa mfano naweza kusema unalalamika hivi kwa kuwa wewe ni product ya mut'ah na kwa maana hiyo umeguswa personally; BUT AM NOT THAT IRRESPONSIBLE.

Kitu chochote ambacho ni academic lazima kiwe na references. Hakuna mahali nilipo-claim devine right or authority on this or any matter for that, sasa ni wajibu wako - hata kama haupo interested kunijibu directly lakini kwa faida ya wengine- kuja na references kuthibitisha otherwise.

Why can't you people see issues reasonably without being judgemental?

We jamaa mbona unazidi kujiaibisha
Kwani huoni maneno yako yanakuhukumu na yana reference zote kwamba wewe ni mnafiki

Au yawezekana wewe mwenyewe hujui tafsiri ya unachokiandika na hata unachokijadili kwasababu unafuata mlengo wa hisia zako ukidhani unapatia kumbe unakosea na sifa yako ya unafiki unazidi kuianika



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe si ndo yule unayejifanya Mfuasi wa Jehova wakati Jehova ameshasema wazi kwamba anachukizwa sana na Waongo?! Naona unafanya kazi ya kurukaruka tangu... narudia tena, weka hapa Aya ya Quran 4:24 yenye maneno ambayo wewe umeyasema kwamba ni from Quran... !!!

Halafu ona ulivyo hopeless... sasa hao Al Qaeda na Al Shabab ndio Quran? Ukiambiwa umeleta mada kwa ajili ya kukashifu dini unatuletea unafiki wako! Au unataka watu tuanze kulichambua hapa hilo dhehebu lako la Wasabato, ambalo tukianza hapa si ajabu hata Wakristo wenzako wakaanza kuwashushia makombora kwa kujifanya kwenu kujua na kuwaona wote ni watenda dhambi kasoro nyinyi?!

Anyway, don't worry siwezi kufanya hivyo kwa sababu, Quran 6:108 inasema:Lakini sio hivyo tu, bali naamini hapa JF wapo Wasabato wenye akili na busara ambao wanafanya staha kwa imani za wengine kwahiyo siwezi kuwakwaza wote hao kwa ajili mtu mmoja ambae anaenda kinyume hata na huyo Jehova anayedai anamfuata!!!

LOL! Mimi msabato???!!!
Mstari huo nimeuleta umpteenth times, unajifanya huoni. Nimekuambia hivi: hiyo trick yako ya kupotezea sio ngeni (na nilitoa mifano ya majina ya watu wanaoitumia - hadi nikapost video clip ya mmojawapo akifanya PRECISELY the same thing).

Tafuta mbinu nyingine (au kaitumie kwa watu ambao sio informed) hiyo kwangu imeshindwa kabla hata haijanza.

USHAURI WA BURE: Ukiona unakuwa embarrassed na facts zinazohusisha unachokiamini na unaona kabisa facts zilizopo zinapingana na common sense NI MUDA WA KUANZA KUTATHMINI UPYA HICHO UNACHOKIAMINI.
 
Aliye ruhusu kuwaingilia wake zako ni ALLAH na aliyerusu kuwaingilia UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI allah hapo KUNA HOJA KWA WAUMINI WA ALLAH ILAHA KWA WAUMINI WA allah yote ruksa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hata mfalme selemani alikua na wake wa ndoa na masulia ( wanawake wa kiwango cha chini) ambao mikono yake inawamiliki
 
LOL! Mimi msabato???!!!
Mstari huo nimeuleta umpteenth times, unajifanya huoni. Nimekuambia hivi: hiyo trick yako ya kupotezea sio ngeni (na nilitoa mifano ya majina ya watu wanaoitumia - hadi nikapost video clip ya mmojawapo akifanya PRECISELY the same thing).

Tafuta mbinu nyingine (au kaitumie kwa watu ambao sio informed) hiyo kwangu imeshindwa kabla hata haijanza.

USHAURI WA BURE: Ukiona unakuwa embarrassed na facts zinazohusisha unachokiamini na unaona kabisa facts zilizopo zinapingana na common sense NI MUDA WA KUANZA KUTATHMINI UPYA HICHO UNACHOKIAMINI.
Kuna wanawake wa ndoa na wanawake tunaomiliki mikono yetu ( hawa ni vijakazi wanawake wa hali ya chini) hawa ni ruksa kuwaingilia , swali lako lipo wapi nimefika
 
Unajua waislamu mnajitoa sana ugahamu na mnaamini sasa kwamba wasio waislamu hawasomi vitabu vyenu. Na mkiulizwa kupitia maandishi yenu mnakuwa wakali sana na kutokuwa na majibu kamili.
Rai yangu kama huwezi kujibu acha!!!
 
Nimemsikia sheikh mmoja akisema kuwa Muislamu (mwanaume) anaweza kuingia ndoa ya muda maalumu (nikah mut'ah) na mwanamke halafu baada ya hapo akamtaliki. Kwa mfano mimi naishi Tanga lakini nikapata safari ya kikazi Kigoma ya wiki moja na huko nikakutana na binti basi tukikubaliana namwambia "bi mdogo nitakuoa kwa siku mbili au tatu maana nitarejea Tanga siku ya tano".

Unaliongeleaje hilo? Ni halali?
Sheikh yupi huyo mkuu?
 
Unajua waislamu mnajitoa sana ugahamu na mnaamini sasa kwamba wasio waislamu hawasomi vitabu vyenu. Na mkiulizwa kupitia maandishi yenu mnakuwa wakali sana na kutokuwa na majibu kamili.
Rai yangu kama huwezi kujibu acha!!!
Uliza maswali mkuu nimefika mwanazuoni usiponielewa basi uelewi tena
 
Nyie huko mnapewa nini !? Vipande vya nguruwe na wine !? Usisahau 'Maria' pia ni bikira, usishangae akawemo kwenye hiyo hisabu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nguruwe mbona ruksa
IMG_20190121_105702_559.jpg
pretmetmohammed-cheers.jpg
ukiniwekea katazo Mimi mgen nisile NYAMA ya nguruwe Mimi nitaretardi na kuwa mchawi

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

Hata wanapoteka wanawake/wasichana wanaamini ni halali kuwaingilia kwa kuwa wapo chini ya mikono yao na wamehalalishiwa.
Hatuzushi ila ni maandiko yao wenyewe.
Waraka wa Mtume Paulo kupitia Wakolasi 3:22-25 huu hapa:
22 Nanyi watumwa, watiini mabwana wenu wa hapa duniani katika mambo yote; fanyeni hivyo kwa moyo safi mkimwogopa Mungu, na wala si kwa kutafuta upendeleo wakati wanapowatazama. 23 Lo lote mfanyalo, lifanyeni kwa moyo kama watu wanaomtumikia Bwana na siyo wanadamu. 24 Kwa maana mnafahamu kwamba mtapokea urithi wenu kwa Bwana kama tuzo yenu.
Paulo huyo ambae alikuwepo wakati wa Yesu anawaambia Watumwa wawatitii mabwana zao KATIKA MAMBO YOTE!
 
LOL! Mimi msabato???!!!
Mstari huo nimeuleta umpteenth times, unajifanya huoni. Nimekuambia hivi: hiyo trick yako ya kupotezea sio ngeni (na nilitoa mifano ya majina ya watu wanaoitumia - hadi nikapost video clip ya mmojawapo akifanya PRECISELY the same thing).

Tafuta mbinu nyingine (au kaitumie kwa watu ambao sio informed) hiyo kwangu imeshindwa kabla hata haijanza.

USHAURI WA BURE: Ukiona unakuwa embarrassed na facts zinazohusisha unachokiamini na unaona kabisa facts zilizopo zinapingana na common sense NI MUDA WA KUANZA KUTATHMINI UPYA HICHO UNACHOKIAMINI.
Kwanini unipe MSTARI wakati nimekuomba AYA, we vipi?! Hivi unaelewa maana ya Aya ya Quran wewe?! Hakuna cha kuwa embarrased kwa sababu hakuna popote ulipojibu swali nililokuuliza! Kama papo, onesha ni post namba ngapi ambayo umeweka hiyo Q 4:24!!!

That's one but two, HAKUNA FACT yoyote uliyoweka zaidi ya article kutoka Al Islam.org, website ya Mashia ambao tangu awali umeambiwa ni kweli Mashia wana-practice hiyo Mut'ah Marriage!

Lakini kwa uongo wako, bila kujali kwamba Jehova wako anawachukia watu waongo, wewe na hao wenzako, unadai ipo aya kwenye Quran inayohalalisha hiyo ndoa na umesema ni Quran 4:24... na hapo ndipo ninapokuambia weka hapa FULL VERSE ya hiyo aya!! Unaogopa nini?! Siwezi kukuomba aya ya Quran halafu unanilitea article... !!!
 
Tatizo liko wapi Chief?!
Logic ya hiki ulichokiandika hapa ndio chanzo cha mimi kuambiwa nimeleta hii maada ili kukashifu. Ila ukweli halisi ni hiki ulichokiandika. Ndio maana Al-Shabab, Al Qaida et al wanakifanya huku wakiamini pasi na shaka kuwa hawafanyi kinyume na uislamu. Hata wanapoteka wanawake/wasichana wanaamini ni halali kuwaingilia kwa kuwa wapo chini ya mikono yao na wamehalalishiwa.
Hatuzushi ila ni maandiko yao wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nimekwambia mpaka kitabu si usome mbona unapaniki hovyo hivi?
 
Back
Top Bottom