Zinaa katika uislamu....

Zinaa katika uislamu....

Thibitisha madai yako,ili dhambi ya Uongo isikuandame Chief

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi SIJAONGOPA KITU. Proof: hakuna mtu Hata mmoja aliekuja hapa na akatoa ushahidi wa kile nilichozusha, watu walionipa maelezo (ambayo hata kama mtu anaweza
Thibitisha madai yako,ili dhambi ya Uongo isikuandame Chief

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi SIJAONGOPA KITU. Proof: hakuna mtu Hata mmoja aliekuja hapa na akatoa ushahidi wa kile nilichozusha, watu walionipa maelezo ambayo (hata kama mtu anaweza kuwa na maoni tofauti nayo) angalau yana mantiki ni culture gal na Safuha.
 
Wataka uongope mara ngapi Chief

au tuseme

umeteleza tu kwa bahati mbaya
kwasababu
si adabu kumuambia mtu mzima ww ni muongo,si adabu kabisa

Shukran chief
Mimi SIJAONGOPA KITU. Proof: hakuna mtu Hata mmoja aliekuja hapa na akatoa ushahidi wa kile nilichozusha, watu walionipa maelezo (ambayo hata kama mtu anaweza


Mimi SIJAONGOPA KITU. Proof: hakuna mtu Hata mmoja aliekuja hapa na akatoa ushahidi wa kile nilichozusha, watu walionipa maelezo ambayo (hata kama mtu anaweza kuwa na maoni tofauti nayo) angalau yana mantiki ni culture gal na Safuha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kila uma una namna yao na sheria yao , lakini hakuna maana kuwa Mungu hawezi kurudia sheria ndio maana adamu alioa mpaka wewe leo unaoa, vilevile amri kumi alipewa musa lakini mpaka Yesu alizitumia hivyo usikariri elewa wewe

Sasa ndio ujiulize kwa nini allah afute kwa kipunjo Amri ya.7 lat qarab zina
IMG_20190121_124507_361.jpg
Aliye Tukaririsha hadi Tusisahau Amri zake ni Mungu Mwenyewe kupitia DHAMIRA NJEMA Aliyo Tuumbia ndani Yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kubadilisha upepo?!

Sisi ndio tunahaki ya kututhibitishia ww hayo unayoyasema

Sisi tumekanusha na kusema

HAKUNA KATIKA DINI YETU NDOA YA MUT-A

lkn ww unalazimisha kuwa ipo

Ni nani katika yetu,atakakiwa kuthibitisha?!

jawabu la karibu

ni ww

Tunakusubiri Bro

Acha utapeli wako hapa jamaa yangu. Wewe umeleta tafsiri, lakini mimi naomba aya ambayo tafsiri hizo ulizoleta hapa inahusika nazo. Kumbuka tafsiri inafafanua aya.
Haya; leta aya mkubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wapi haya maneno umeyapata kichaa wangu?!

mbona huwa hamueleweki

Maskio mnayo,lkn hamsikii
macho mnayo,lkn hamuoni
akili mnazo,lkn hamzitumii

ajabu kweli

Waendewni fidubur mbele quburiha nyuma. Yaani allah ameruhusu watu wawe wanasodomiana ndio maana wengine wana mu question ni Mungu kweli?
Mfiaukweli nakushukuru kwa hoja hii nzito. Unzinzi katika ulimwengu wa kiislamu ni mkubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ulipo msikia huyo sheikh,alikutajia aya ya kuruhusu ndoa ya Mut'a ?

Naam. Na nikatafuta kwenye Islamic sources (Al-Islam.org) ndipo nikapata hiki:

"....This 'marriage of mut'a' is referred to both in the hadith literature and, in much more detail, in the books on jurisprudence (fiqh).
the Qur'an itself refers to this kind of marriage employing a term derived from the same root. In the following verse, the word istimta', the tenth verbal form of the root m-t-', is translated as 'enjoy':

'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).

......."
 
Nimeomba nione palipoharamisha. Na ndugu yangu Safuha kaandika hapo kabla kuwa nikah mut'ah bado inatumika na Mashiah ILA KWAKE YEYE HAIFAI. Ikimaanisha haijakatazwa ila SI LAZIMA kila muislamu aifanye lakini aifanyae SI DHAMBI.

Kwani kaka MASHIA ni waislamu ?
 
Back
Top Bottom