Mimi sifi Leo Sina kumbukizi umebakiza siku ngapi ufikishe 100 days at state house? JE, katiba mpya i-wapi mama?
Je umefanya nini ndani ya siku 100?
Jitokeze ubonge nasi wajuba
We utakuwa unachanganyikiwa, hauko sawa!.Siku 100 ni ndogo Sana kufanya Yale mambo na sio 100 hata akipewa miaka 5 hatoweza kuyafikia
Kosa ni pale unapoamini maneno ya mwanasiasa .
Ukiwa mfatiliaji mzuri utagundua 99% ya ahadi ambazo wanasiasa huwa wanahidi huwa hazitekelezeki na sio Tanzania duniani kote wanasiasa hutekeleza mambo ambayo hwakuahidi kuliko waliyohadi .
Atataka atawale milele na chawa watamkubaliaMimi sifi Leo Sina kumbukizi umebakiza siku ngapi ufikishe 100 days at state house? JE, katiba mpya i-wapi mama?
Je umefanya nini ndani ya siku 100?
Jitokeze ubonge nasi wajuba