Icadon
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 3,581
- 196
Swali zuri sana ilo mwanakijiji, nina hamu sana ya kujua nini kinachoendelea baada ya ziara ya kikwete na huu mkutano wa SADC maana wakati mwingine viongozi wa Kiafrica wako two faced, kwa kupenda kuridhisha wazungu wanaweza kugeuka wtv they decided behind closed doors(kama walikubaliana kumback Mugabe)