Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,355
- 1,984
- Thread starter
-
- #61
Hivi nani anaweza kuelezea kuanguka kiuchumi kwa Zimbabwe-kutoka ilivyokuwa chini ya wakoloni hadi walipopata uhuru na miaka michache baada ya uhuru na ilipo sasa bila ya kurudi kule kule kwa Waafrika Ndivyo Tulivyo? Yaani hawa Waafrika walipochukua madaraka wameichukua Zimbabwe kutoka moja ya nchi zenye uchumi mzuri Afrika na kuipeleka kuwa moja ya nchi vichekesho na sasa wameifikisha kuwa moja ya nchi zinazotia huruma duniani. Jamani nani anaweza kunieleza nikaelewa hii safari ya kinyume nyume?
Kuna watu watakwambia hiyo yote ni kwa ajili ya UK na USA!!
Mimi bado naamini kuwa Mugabe atashindwa hapo kesho.... Kinyume cha hapo inabidi Kikwete ajiandae.....
I beg your Pardon!!!
Mw.WK,Could you please Re-phase that Statement:-"Mimi Bado naamini kuwa Mugabe atashinda hapo kesho...na inabidi Kikwete ajiandae kwenda kwenye Sherehe za kuapishwa kwake"
**That's African Rulers for You!!
Nimejaribu kusoma hapa na pale kuhusu uchaguzi wa kesho Zimbabwe. Inafurahisha kwamba angalau watu wengi sasa hatimaye wameweza kuona ubaya wa Mugabe na inaonekana kesho wameamua liwe na lisiwe hawatampigia kura Mugabe. Katika somasoma yangu pia nimegundua kuwa bado kuna watu wa kutosha, japokuwa si kwa kiwango cha kumpa ushindi Mugabe, ambao bado wanampenda Mugabe. Sasa mimi najiuliza hivi hawa watu wanataka Mugabe awafanyeje ndio wamchukie maana ameshawatenda kila aina ya ubaya unaoweza kufikiria? Ninaamini kwa haya aliyokwisha kuyafanya Mugabe ingekuwa ni kwa wenzetu wazungu, hata kura za watoto na mke wake asingezipata. Sasa mimi ndio najiuliza sisi waafrika tuna matatizo gani inapokujwa kwenye kuchagua viongozi?
Ok, kwa Tanzania watu wanaoendelea kuipigia kura CCM wanatoa visingizio kwamba wapinzani wapo wachache wenye uwezo na hawana sera. Haya, na huko Zimbabwe? Mbona upinzani wameshusha kila aina ya sera na kila mwanasiasa hodari yupo kwenye upinzani, iweje basi watu waendelee kumpigia kura Mugabe na CCM ( or sorry I mean, ZANU-PF) yake?
Kibaya zaidi ni kwamba jeshi eti limesema halitatambua mshindi mwingine zaidi ya Mugabe! Sasa najiuliza tena hawa wanajeshi wa nchi zetu mafunzo yao yakoje kiasi kwamba wanashindwa kuelewa wajibu wao kwa kiwango hiki? Halafu lijamaa (Mugabe) limesema eti ikibidi litatumia style ya Kibaki huko Kenya, na limewaonya MDC ole wao wafuata mtindo aliotumia Odinga, watakiona cha mtema kuni-hii hapa soma: http://www.guardian.co.uk/commentisfree/2008/mar/28/zimbabwe
Sasa mimi ndio najiuliza, sisi wabongo (Waafrika) tuna matatizo gani hasa kwenye mambo haya ya kuchaguana?
Je, tunahitaji nadharia (theories) maalumu kwa ajili ya kuelewa siasa za Afrika?
Hivi nani anaweza kuelezea kuanguka kiuchumi kwa Zimbabwe-kutoka ilivyokuwa chini ya wakoloni hadi walipopata uhuru na miaka michache baada ya uhuru na ilipo sasa bila ya kurudi kule kule kwa Waafrika Ndivyo Tulivyo? Yaani hawa Waafrika walipochukua madaraka wameichukua Zimbabwe kutoka moja ya nchi zenye uchumi mzuri Afrika na kuipeleka kuwa moja ya nchi vichekesho na sasa wameifikisha kuwa moja ya nchi zinazotia huruma duniani. Jamani nani anaweza kunieleza nikaelewa hii safari ya kinyume nyume?
KWA KWELI MAONI MENGI YAMETOLEWA KUHUSU ZIMB.....YANGU NI HAYA......!
ZIMB NI NCHI HURU NA INAFANYA UCHAGUZI WA KIDEMOKRASIA......!
DEMOKRASIA KTK UCHAGUZI NI KUKUBALI MATOKEO NA SIO PALE TU UPANDE MMOJA UNAPOSHINDA...UPANDE HUO UKUSHINDWA UTASIKIA UTASIKIA UCHAGUZI HAUKUWA HURU NA HAKI.......!
WAZUNGU HUTAKA KUONGOZA KWA REMOTE(puppet leaders/regimes),IKITOKEA UKAWA AGAINST NAO WEWE UTAKUWA HUFAI,ADUI,DIKTETA(they will call you names)........!
HIVI HATUSHANGAI KWA NINI WAZIMB WENYEWE BADO WAPO NA ZANU-PF?SHUTUMA NYINGI ZINATOKA NJE YA ZIMB NA SIO NDANI TOFAUTI NA NCHI NYINGI......!(ukikuta shutuma za ndani ya zimb ni zile za vibaraka wachache)......!
AFRIKA INATAKA WATU KAMA MUGABE.....(sio viongozi yes boss)....WENYE KUJUA KUWA UINGIREZA IAMUE MAMBO YAKE,NA ZIMB NAYO IAMUE MAMBO YAKE......! SIO SYSYTEM YA CHAKO CHANGU CHANGU CHANGU......!
I HATE MUGABE....BUT I LOVE HIS POLICIES......!SIPENDI MUGABE AONGOZE ZIMB LAKINI KWA CANDIDATES WALIOPO MUGABE ASHINDE.....BTN THE TWO EVILS...CHOOSE THE LESSER....."
My Point Exactly!!,...Well said Lunyungu.Mimi naweza kukubaliana na MwK maana jeshi liko tayari kuua watu wakishinda na kuwaua pia wakiingia mtaani kama Kenya .
Mimi nimechoka kuona Wazimbabwe wakihangaika kimaisha! Kuna mtu kabandika picha hapa ya mama na mwanae wakivuka mpaka wenye barbed wire kwenda Afrika Kusini...Jamani huyu Mugabe mwenye miaka 84 bado anataka kuwa raisi kwa nini? Na kwa nini watu wamchague....aaaghhh yaani hawa Wazimbabwe wangekuwa wanafikiria kama mimi maisha yao yangekuwa na nafuu kushinda yalivyo sasa chini ya Mugabe
Kuna watu watakwambia hiyo yote ni kwa ajili ya UK na USA!!
Taizo la issue ya Zimbabwe mara nyingi watu huwa hawataki kudususs form both sides of the issue.
Zimbabwe haiongozi Africa kwa HUman rights violations lakini cha ajabu husikii nchi kama Egypt au Eitrea zikilalamikiwa
let alone DRC ambako zaidi ya watu milioni 4 washauwawa
this is where you see the British hypocrisy at its best
One minute Mugabe mbaya next minute wataongeza close relationship na China. Next minute Mugabe ni mbaya jioni wanamkaribisha King Abdulla ambaye Britain and Saudi Arabia wanashared values
The rule of law, democracy and good governance are indeed values that we cherish because we fought for them against the very same people who today seek to preach them to us - Robert Mugabe
Having pointed that out, I do believe it is time for change in Zimbabwe... Both within, and from the outside. A Shah, London,
The poverty in Africa is a direct result of Western Imperialism and neo colonialism. In the case of Zimbabwe, Mugabe is just a convenient scapegoat (and a bit of a thorn in the flesh as well to imperialist alliance who expect every African leader to be their stooge)
They are all drooling at the prospect of another puppet so they can once again sink their claws into Zimbabwe's wealth thus perpetuating the imbalance.
ZIMBABWE SHALL NEVER BE A COLONY AGAIN, ALUTA CONTINUA! Dambudzo Marechera, Kumaraini, Zimbabwe
Put all ideological conceptions aside. Robert Mugabe is a metaphor for Zimbabwe et al. Bill, Alabama, USA
Robert Mugabe and President George Bush of America should get together in how they both ruined their nations economies. Down with Mugabe. May the people of Zimabawe vote for someone other then the Black Hitler called Mugabe. John, Cumberland, United States/Maryland
Jin Burks, they may not have had political power under the white spremacist regime, but now - after almost three decades of black majority rule, the people of can't afford the basics of life, even though they have been empowered to make political choices via the ballot box. So how does an accelerating decline over three decades become the fault of the western world that oposed Ian Smith's UDI and supported black majority rule?
The simple truth is that Mugabe has taken away from the people of Zimbabwe any realistic possibility of making a true choice at the ballor box, and has mismanaged the country. Let's hope that he is voted out, and that he goes peacefully. Somwhow, I think he'll try to hang on to power at all costs whatever the result of the election. Richard, Manchester,
I do hope so! The next people to gain power will look to Great Britain holding out the begging bowl for funds and facillities. I hope that this nu labor Government does not throw good money after bad. Look up the history of this once great land. The African did not want the European there and with the help of the UK, America they installed a fool into the highest postion, this fool has cost the life of thousands and ruined want was once Gods own Country. Let the Africans sort their own problems out, but send back any Zimbabwean immigrants that are living in the UK. Brian , Ellesmere, Shropshire
If you are white and you began loving Black Zimbabweans and the Black race since the sacking of white farmers by Mugabe in 2000, you are naturally a white supremacist! Ezhi Opfu, Johannesburg, South Africa
I was in Harare, the Capital City of Zimbabwe just last week. I am a Zimbabwean citizen of mixed race origin , and whilst people may criticise and demonise Mugabe he is on trial by Western Governments primarily for the following reasons:-
( for the moment put aside the gross human rights abuses)
1) For taking from the White man, land which has been given to the black populace, to correct a grave historical injustice
2) For standing up for his people against the exploitation of Zimbabwe's massive mineral resources which include :- uranium , platinum and gold , diamonds , timber and wildlife resources
3) For demanding equality from an avaricious Capitalist West which abhors any sign of an Independent stance from a 3rd world country
4) For exposing the hypocrisy of the British Labour government who wanted lucrative Trade between Zim & the UK to continue on very favourable terms for the UK
5) For handing over the economy to its rightful owners: The PEOPLE of ZIMBABWE. Bertram T bertram tabbett, Milton Keynes, UK
The western politicians did indeed sell out Ian Smith's government, where most of the citizens of the old Rhodesia were so happy that terrorist such as Mugabe's mob had to kill and maim the many villagers to force them to join him with promises of riches and "freedom" (to starve and to die). I was living in that area and most readers will not know the facts.·
Ian Smith forecast what would happen and it has. The real racists are those who would not listen and instead judged by the skin colour, falling for the false propaganda, not the ability of the people concerned. By now under the original system, black politicians would be in a democratic, fair, mixed race government in a very prosperous country.
South Africa is next as we can see. Are you willing to continue to give massive aid to a continent that has self-inflicted woes? Only fools are because they must be forced to do the right thing to overcome the problems and aid only pushes this obvious solution further away. B J Deller, Marbella, Spain
Jim Burks, Memphis - I am SO fed up with people trying to pin the crisis in Zimbabwe on the west, this is Mugabe's fault. He ordered the invasion of the farms, he sent inflation through the roof, he ordered the beating and torturing of opposition politicians..
This has nothing to do with the West and everything to do with African politicians failing to live up to their responsibilities. Work it out. Owen, London, UK
Mugabe was put into power 28 years ago, Jim from Memphis, longer than many readers' lifetimes. You cannot keep blaming western politicians for everything and absolving Mugabe of the consequences of every corrupt, greedy, short-sighted and disastrous decision he has made since. Or are you saying that Africans are so disadvantaged and helpless that they have no power to change their own destinies whatsoever? I would call such an assumption racist in the extreme. Emma, Cambridge,
Do not blame Mugabe for the chaos that Zimbabwe has become.
Blame instead the UK and US politicians, like President Carter who put him in power.
The first two paragraphs of the article say it all. Go back and reread them. This is what you have reduced a once-prosperous country to. Jim Burks, Memhpis, US / TN
The really difficult fact to face about the situation in Africa generally is that it is almost impossible to become
enthusiastic about the end of any particular tyrant, such as Mugabe, as the next one up will almost certainly be the same, if not worse. The poverty of Africa remains leadership. roy, Ankara, Turkey
Ningekuwa Mzimbabwe ningempa kura yangu Mugabe kwa mbwembwe zote bila kusita.
Ukiangalia kwa undani sana utaona matatizo ndani ya Zimbabwe yameanza pale tu mgogoro wa Ardhi ulivyoanza. Lakini kabla ya mgogoro huo Zimbabwe ilikuwa shwari na ilikuwa kipenzi kikubwa cha nchi za Magharibi.
Hapa inaonesha wazi kwamba nchi za magharibi zinaangalia masilahi yao zaidi kuliko masilahi ya wananchi wa nchi husika. Nasisi Waafrica kama hatutaamka na kufungua macho katika hilo basi tujue wazi kwamba bado hatuko huru kama tunavyodhani. Tulipigania uhuru hapo awali ili tuweze kuwa na mamalaka ya kuendesha nchi zetu bila ya kuingiliwa na nchi nyingine, ila tutashirikiana na nchi nyingine tutakazo taka kushirikiana nazo bila ya kushurutishwa na mtu ama hali fulani.
Tuwe makini sana na vyombo vya habari vya nchi za magharibi kwani vinapenda sana kupotosha na kupaka matope yale yaliyo mazuri katika Africa ili yaonekane mabaya na tuanze kuichukia Africa yetu. Na hapo ndipo hawa watu wa magharibi wanapopata mwanya wa kutugombanisha sisi wenyewe kwa wenyewe, huku wakituuzia silaha zao.
Nimefika Zimbabwe miezi mitatu iliyopita, hakuna njaa kama vyombo vya habari vya nchi za magharibi vinavyotangaza. Chakula kipo ila kama kawaida ni pesa yako ndiyo inayoweza kukuchagulia nini ule na kwa wakati gani kama sehemu yoyote ile Duniani. Kila nchi duniani kuna watu masikini na pia kuna sehemu ambazo zinakaliwa na watu wenye kipato cha chini. Vyombo vya habari vya nchi za magharibi mara nyingi sana vinapenda kuonesha ama kutangaza sehemu hizo mbaya na masikini, havipendi kuonesha sehemu nzuri na safi. Hayo ndiyo yanayotendeka huko Zimbabwe.
Zimbabwe inaweza kuwa na uhaba wa chakula kuliko Somalia na Sudani?, hamwoni kama hii yote ni propaganda ya hawa watu wa magharibi?
Mnafikiri kwanini nchi nyingi duniani na wala si Africa tu zina muunga mkono na kumtambua Mugabe?. Kwanini Nelson Mandela amekaa kimya kuhusu suala hili?, kwani lingekuwa baya linalohusisha ubaguzi mzee huyu asingeona haya hata kidogo kumwambia ukweli Mugabe.
Hii yote ni kampeni ya nchi za magharibi zikiongozwa na UK+USA kuichafua Zimbabwe na kumchafua Mugabe, huku zikijaribu kuwataka na wengine pia kufuata mkondo huo.
Kumbukeni tulitawaliwa kiasi cha kutosha, tulinyanyaswa kiasi cha kutosha na sasa ni wakati muafaka wa kukataa mambo hayo.
Hivi nani anaweza kuelezea kuanguka kiuchumi kwa Zimbabwe-kutoka ilivyokuwa chini ya wakoloni hadi walipopata uhuru na miaka michache baada ya uhuru na ilipo sasa bila ya kurudi kule kule kwa Waafrika Ndivyo Tulivyo? Yaani hawa Waafrika walipochukua madaraka wameichukua Zimbabwe kutoka moja ya nchi zenye uchumi mzuri Afrika na kuipeleka kuwa moja ya nchi vichekesho na sasa wameifikisha kuwa moja ya nchi zinazotia huruma duniani. Jamani nani anaweza kunieleza nikaelewa hii safari ya kinyume nyume?
SIGNIFICANT INROADS
He said Tsvangirai had made significant inroads in Mugabe's rural strongholds by leading in the southern province of Masvingo and Mashonaland Central Province, north of Harare, where the MDC has not won a parliamentary seat since 2000.
Tsvangirai's winning trend had also extended to Mugabe's home province of Mashonaland West, where the MDC had taken a rural parliamentary seat, said Biti. He said that in Zimbabwe's second city of Bulawayo, another opposition power base, Tsvangirai had a slight edge over former Finance Minister and ruling ZANU-PF official Simba Makoni -- also standing against Mugabe.
But Makoni, whose decision to run was seen by many analysts as a sign of increasing unease in ZANU-PF ranks, was leading in Zimbabwe's southwestern Matabeleland South Province.
The Zimbabwe Electoral Commission said it would start to announce official results later on Sunday. Final results are not expected for several days from the presidential, parliamentary and local polls. Observers from the Pan-African parliament said in a letter to the commission they had found more than 8,000 non-existent voters registered on empty land in a Harare onstituency.
Most international observers were banned and a team from the regional grouping, the Southern African Development Community (SADC), did not comment on Saturday. Critics say the SADC, which has tried to mediate over Zimbabwe, is too soft on Mugabe.
The powerful heads of the security forces have backed Mugabe, and voters said they had seen patrolling police and army units with armoured vehicles and water cannon. Some security chiefs say they will not accept a Tsvangirai victory but the opposition leader told reporters: "I am not seeking the security chiefs
mandate but the people's mandate."
If no candidate wins more than 51 percent of the vote, the election will go into a second round.
Kula tano za chapchap...
Kuanguka kwa Mugabe itakuwa ni ushindi wa hypocrisy za UK na Marekani.Watu wengi hawaangalii issue ya Zimbabwe from both sides.
Mugabe kabla hajagusa interests za UK( kwa kuwanyang'anya mashamba wazungu)aliitwa kiongozi safi na mtu ambaye anajua kuleta maendeleo nchini mwake.Ila tu alipothubutu kuchukua mashamba yale ndipo alipoanzwa kupachikwa kila aina ya majina na isitoshe UK na Marekani zikaanza kupeleka mabilion ya pesa kwa wapinzani ili kuungusha utawala wa Mugabe.