Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,153
Kumezuka na wimbi jipya ingawa kwangu la zamani kidogo
Ukienda sehemu ya kula na kunywa wakati wa kulipa unapewa billi
Kwa juu imeandikwaa namba yanguu ni hii hapa.
Kuna mdada leo amepatata kazi.
Nilijaribu kumwombea kazi sehemu mbali mbali leo alipiga mchana njoo sehemu nikauliza kuna shida dada akasema hapana mungu kaniona wooh, kufika nikamkuta ana nguo za moja ya mabasi yaendayo Moshi.
Nikamwambia umeanza lini akajibu leo ndio nimeingia na safari naanza jumatatu ijayo.
Ilikuwaje nilipita sehemu mwezi na nusu uliopita huyu mdada aalikuwa anatoa huduma baadae akanipa karatasi ya bill kusoma nkaona namba nkawaza huyu sijamwomba namba wacha nijue ana shida gani. Nkaongea nae akasema atanipigia kesho yake.
Alipopiga niilikuwa busy nkamwomba ntampigia..Nilipopiga akajieleza sana akaomba msaada amesoma mpaka form four ametafuta kazi kila sehemu amekosa wapo waliojaribu kumtumia kumpa kazi wakamtosa....
Nikamweleza ntakujulisha lii uje sehemu na vyeti vyako mdada alifanya hivyo ..Nikapeleka w kwenye mabasi mbali mbali wakasema wakihitaji watampigia.
Hamada nilishassaahau kabisa niliposikia hili nilisema msidharau zile namba sio kila mmoja anataka ukamtumie wengine wana shida wanashindwa kujieleza wakiwa kazini.
Otherwise msaidie mwenzie uje kusaidiwa mbele ya safari, tenda wema uende zako ...Nimemhaidi ntatumia basi yako kwenda na kurudi na familia yangu December.
Styblsd
Letslovelead
Ukienda sehemu ya kula na kunywa wakati wa kulipa unapewa billi
Kwa juu imeandikwaa namba yanguu ni hii hapa.
Kuna mdada leo amepatata kazi.
Nilijaribu kumwombea kazi sehemu mbali mbali leo alipiga mchana njoo sehemu nikauliza kuna shida dada akasema hapana mungu kaniona wooh, kufika nikamkuta ana nguo za moja ya mabasi yaendayo Moshi.
Nikamwambia umeanza lini akajibu leo ndio nimeingia na safari naanza jumatatu ijayo.
Ilikuwaje nilipita sehemu mwezi na nusu uliopita huyu mdada aalikuwa anatoa huduma baadae akanipa karatasi ya bill kusoma nkaona namba nkawaza huyu sijamwomba namba wacha nijue ana shida gani. Nkaongea nae akasema atanipigia kesho yake.
Alipopiga niilikuwa busy nkamwomba ntampigia..Nilipopiga akajieleza sana akaomba msaada amesoma mpaka form four ametafuta kazi kila sehemu amekosa wapo waliojaribu kumtumia kumpa kazi wakamtosa....
Nikamweleza ntakujulisha lii uje sehemu na vyeti vyako mdada alifanya hivyo ..Nikapeleka w kwenye mabasi mbali mbali wakasema wakihitaji watampigia.
Hamada nilishassaahau kabisa niliposikia hili nilisema msidharau zile namba sio kila mmoja anataka ukamtumie wengine wana shida wanashindwa kujieleza wakiwa kazini.
Otherwise msaidie mwenzie uje kusaidiwa mbele ya safari, tenda wema uende zako ...Nimemhaidi ntatumia basi yako kwenda na kurudi na familia yangu December.
Styblsd
Letslovelead