feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,805
- 12,669
Katika hali isiyokua ya kawaida mwananchi wa sengerema amejikuta mikononi mwa polisi kwa kitendo chake cha kuidai serikali huduma ya maji,hii imetokea baada ya kuwataja viongozi wa serikali hasa Rais wa Tanzania katika suala zima la kudai maji.
NB# Namshukuru Mungu sina rafiki wala ndugu polisi kwa sasa.
NB# Namshukuru Mungu sina rafiki wala ndugu polisi kwa sasa.