Marco Seth
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 4,865
- 5,969
Inamaanisha Kupewa msamaha wa Dhambi kupitia damu yakePale msalabani biblia inadai kwa kupigwa kwake tumekombolewa, na kuwa alikuja kutukomboa kwenye dhambi,
Je mbona maovu bado yapo, magonjwa? Dhuluma na mambo mengine?
Ikavunja pazia la Hekalu
ili tunapotubu Damu ya Yesu inapotutakasa unakuwa hauna Dhambi
Tofauti na zamani Damu za wanayama hazikuwa na Nguvu Mungu kaz yake ilikuwa kumficha mtu asionekane na Dhambi kwa Mungu Lakini bado haikuwa na nguvu
Maovu yanaendelea bado shetani yupo anatafuta wafuasi wake ili siku ya mwisho apate wengi wa kuenda na nao
Na Mungu yeye anatafuta wafuasi wake
Wafike mbinguni Kwa sababu dunia ishaharibika na maovu