hivi kirefu cha TISS ni nini?
na
USALAMA WA TAIFA TANZANIA
kazi yake ni kuhakikisha CCM inabakisha madarakani milele.
pamoja na pakistani kuonekana kuwa most powerfull lakini inaonekana kuwa ni agency yenye mamluki wengi sana na wanao vujisha siri. hata ukiangalia kwa swala la Osama bin laden ni wazi Pakistani walikuwa wamemficha lakini walikataa kukubali baada ya kuzidiwa akili na CIA na hii ili wezekana baada ya CIA kupandikiza watu wao ndani ya inteligencia ya pakistani na ikawa rahisi kwa marekani kumshika Osama.
Na inteligencia ya pakistani imeendelea kuwa dhaifu kutokana na mambo yanayo endelea nchini humo. Ni ukweli ulio wazi kuwa umuhimu wa inteligency agency ni amani na usalama wa nchi. hakika kwenye swala la usalama hii inteligency yao imeonesha kushindwa kwa kiasi kikubwa sana.
Mfano kipindi MAREKANI wamekwenda kuvamia Pakistani kumteka Osama hii inteligency agency ilikuwa wapi kushindwa kujua hayo? ubora wake uko wapi? walibaki wakilaumu amerika kwa uvamizi na hii lilikuwa pigo kubwa kwa hii Agency ambayo inaonekana ni most powerfull.
Sipingi hii reseach lakini nina maswali mengi kwa hii inteligency agency ya pakistani naona imekuwa dhaifu sana pamoja kuonekana kuwa na watu wake wengi sana duniani kolte, nini umuhimu wa hii agency kama inashindwa kuhakikisha usalama wa nchi husika.
usalama ni enzi za baba wa Taifa,siyo hawa wang‘oa kucha.Zamani ilikuwa mtu kabla hajaingia TISS anafanyiwa scouting kali na makini,kupima welewa wake,ujasiri wake,uzalendo wake kwa nchi,lakini kinyume na sasa watu wanaapply kwa mabwana wakubwa,matokeo yake ndo tabia za kung‘oa kucha watu,utekaji wa wazi wazi,kuuwa watu muhimu ambao ni rasilimali ya Taifa...
wahindi noma kumbe!
wazee wa kung'oa kuchaUmesahau TISS
to me ISI is the best due to.....I hv doubt in ur informatiom. How bt TISS?