na CCM JE?
Hakuna uhakika wa taarifa za mtoa mada soma link zifutazo:
1.Hii inasema India ndio ya kwanza
World's Most Powerful Intelligence Agencies
2.Hii inasema Australia ndio ya kwanza:
Top 10 â Worldâs powerful intelligence agencies : RAW, India
3.Hii inasema USA ndio ya kwanza
10 Best Intelligence Agencies in the World
4.Hii inasema Pakistani ndio ya kwanza
10 most powerful Intelligence Agency in the World (*) | thinsoul
===>Nafikiri umeona hapo.
Very good Question.Aisee ktk ma genius na wewe ni mmoja wao. halafu naona humu ndani wapo wanaokandia TISS eti kwakulinganisha na intelligence Organisation kama CIA, MOSAD na nchi nyingine za ulimwengu wa 1. Nadhani tulinganishane na wenzetu wa 3rd World na tukilinganisha hivyo basi tutagundua kuwa tiss ni kati ya walioketi hightableBado cjawa clear hapo ni most powerful in terms of what, secrecy, finance, ability ya intelligence
Hao jamaa ni balaa, wamemficha Osama tangia 2001 hadi alipouawa/
hivi ya tanzania inaitwaje?