Zijue Most Powerfull Intelligence Agencies duniani

Zijue Most Powerfull Intelligence Agencies duniani

Kwenye issue ya Bin Laden, CIA waliuziwa taarifa na mmoja wa jasusi wa Marekani kwa donge nono sana. Ndio maana baada ya assassination hiyo, the Pakistan govt reacted fiercely kwa US na kukatokea timua timua.
Pale Pakistan hususan kwenye miji yao mikubwa kama vile Karachi, Lahore na Islamabad, kuna uwingi sana wa watu tena wenye fujo nyingi na mipango mingi sana haramu.
Lakini, kwa kiasi kikubwa sana wanadhibitiwa kupitia ISI na sio jeshi. Ila ni moja ya nchi za Kiislam yenye jeshi imara zaidi kuliko zote ktk ulimwengu huo. Wa kiislam.

Hivi unajua kuwa ISI iko chini ya Jeshi la Pakistani? na mkuu wa ISI ana report kwa mkuu wa Jeshi la Pakistani Gen Kayani, ambaye pia kabla ya kuwa mkuu wa majeshi alikuwa mkuu wa ISI
 
Mossad inapewa sana shavu na jews walioko kwenye nchi nyingine. Adolf heichman alikamatwa as a result of the tip from very senior jew in german government. Ila they took the tip to the next level. Hata hivyo recently they have killed so many iran nuclear scientists
 
Mossad is my number one from these facts.. Successfull carry out Operation spring of youth, operation Wraph of God, The capture of Adolph Eichman ( nazi war criminal ) in argentine, several succefull assasinations to masterminders they consider enemies of jewish state includin The dubai massacre (head of hamas military wing), Mohamed rantinsi (hamas chief), ali hassan salameh (munich masterminder), sheikh yassin assasination (hamas spiritual leadr), capturing of russian KGB data and share it with CIA on russian spyn missions against USA, breakin arab intelligence agencies and acquire their millitary secreats which enabled Israel supremacy during 1967 six days war, and 1973 Yom Kipur war.. Though wana weakness zao pia.
 
awwww bongo ni kama ya china na russia kazi yake kulinda serikali na chama ......yaaani mambo yanavyoendeshwa bongo hamna tofauti na urusi na china ...........ila it all depends nani kaandaa hii list ........wamarekani wanapropaganda sana
 
Hapa kwenye red ni taugh sana mkuu kupaelewa. Hivi ni uccomunist wa CCM au ni TISS wenyewe!!!!!!!!!!!

awwww bongo ni kama ya china na russia kazi yake kulinda serikali na chama ......yaaani mambo yanavyoendeshwa bongo hamna tofauti na urusi na china ...........ila it all depends nani kaandaa hii list ........wamarekani wanapropaganda sana
 
I think TISS wenyewe labda historia yao kutokana na ule ukomunisti wa zamani waliamini sana kucopy system za warusi/cuba/china kuliko ya nchi za magharibi ushahidi ni wazee wa zamani wa TISS wengi walienda wapi .....na ukiangalia jinsi system ya kirusi ilivyomweka putin rais afu baadae waziri mkuu kisha tena rais ......huko china ndo balaa tupu i think kile chama kimekaa zaidi kama cha ccm ......muundo sijui kamati kuu ...etc..hivi vitu huwezi ona nchi za magharibi nyingi hata ka vipo si sana ....vyama vya upinzani wanaweka watu wao hata vikishinda ni wao......
 
Mayahudi mnaowasifia mbona walishindwa kumkamata Hitler (supposedly escaped to Argentine by a submarine) na manazi wengine waliokimbilia sehemu nyingine, wengine as close as Egypt with protection of Muslim Brotherhood?
 
Mayahudi mnaowasifia mbona walishindwa kumkamata Hitler (supposedly escaped to Argentine by a submarine) na manazi wengine waliokimbilia sehemu nyingine, wengine as close as Egypt with protection of Muslim Brotherhood?

Utuambie ww kwanza hao unaowasema walikamatwa na nani? na kama muslim brotherhood waliwaficha hiyo ndo sifa? Joseph Mengele (concetration camp masterminder) alijificha Brazil mpka kifo chake Mossad walijua ila hawakupata approval mapema ya kumuua mpka akafa ndo dunia ikajua kumbe kuna mtu kama huyu brazil list ya War criminal.waliouawa na Mossad sehem mbali mbali dunian unaijua? ni ndefu kias kwamba taifa la ujeruman lilimwandikia barua David ben Gurion (the then prime Minister) kumwomba Israel isiendelee na assasinations za raia wake ila waingie kwenye makubaliano maalum (Memorandum) hao wahalifu wote washtakiwe either German au Israel. Hakuna kusifiwa hapa tunaangalia facts ndo tunatoa assesment hakuna habar ya Mayahud wala Muslimbrotherhood hapa ni facts tu! ndo mana nikasisitiza pamoja na hayo yote pia wana weaknes zao lakini kiujumla wako on top na vigezo nikaweka na ww uweke bas!
 
awwww bongo ni kama ya china na russia kazi yake kulinda serikali na chama ......yaaani mambo yanavyoendeshwa bongo hamna tofauti na urusi na china ...........ila it all depends nani kaandaa hii list ........wamarekani wanapropaganda sana

BVM,
Si kweli intelligence servise za Russia na China kazi kulinda viongozi, hivi economic achievement ya China ni nani anacheza? Technological espionage wanayofanya kwa wamarekani unajua? ha ha ha

Unakuja Russia, anzia tu walipo anza kutaifisha viwanda, nini KGB ilifanya mali zisichukuliwe au kumilikiwa na watu wa nje? achilia mbali modernisation ya viwanda vyao inavyokwenda kwa kasi sasa hivi, na ni SVR ndo inafanya kazi hiyo.

Tatizo wengi tunadhani ili kuwa na idara maaarufu ni pale inapokwenda kuokoa watu, au nini hivi kuna idara inawajua waarabu na imejipenyeza kupita kiasi kama SVR na Mossad?

Juzi hapa mauaji ya Boston si yameleta mjadala kwa watu wengi baada ya kubainika SVR waliwaonya FBI na CIA kuhusu hawa vijana mpaka watu wanafikia wanajiuliza alaa hawa jamaa wanajua kinachoendelea Boston kuliko sisi wenyewe, ha ha ha ha

Au mnakumbuka sakata la Umaru Diko wa Nigeria? Nigeria Intelingence service si walikuwa wamefanikiwa kumtorosha jamaa, na je walikuwa M15 na M16?
 
mi nataka kujua, double agents wanapatikana vipi. yani inakuaje unakuwa recruited kwenye secret agency mbili
 
mi nataka kujua, double agents wanapatikana vipi. yani inakuaje unakuwa recruited kwenye secret agency mbili

sasa mkuu mbona inakuwa kama vile masnitch huwafahamu aisee....kwani we tokea ukiwa huko primary hadi sekondari hujawahi kukutana na wale ndumila kuwili aisee wanaojifanya viherehere alafu ndo wapeleka taarifa kwa uongozi wa shule??na madouble agents wanacharacteristics kama hizo hizo toa habari huku peleka kule na kule leta huku.......he he he he he
 
Utuambie ww kwanza hao unaowasema walikamatwa na nani? na kama muslim brotherhood waliwaficha hiyo ndo sifa? Joseph Mengele (concetration camp masterminder) alijificha Brazil mpka kifo chake Mossad walijua ila hawakupata approval mapema ya kumuua mpka akafa ndo dunia ikajua kumbe kuna mtu kama huyu brazil list ya War criminal.waliouawa na Mossad sehem mbali mbali dunian unaijua? ni ndefu kias kwamba taifa la ujeruman lilimwandikia barua David ben Gurion (the then prime Minister) kumwomba Israel isiendelee na assasinations za raia wake ila waingie kwenye makubaliano maalum (Memorandum) hao wahalifu wote washtakiwe either German au Israel. Hakuna kusifiwa hapa tunaangalia facts ndo tunatoa assesment hakuna habar ya Mayahud wala Muslimbrotherhood hapa ni facts tu! ndo mana nikasisitiza pamoja na hayo yote pia wana weaknes zao lakini kiujumla wako on top na vigezo nikaweka na ww uweke bas!

hii ilikuwa kazi ya mossad miaka ya 60s, 70s hadi 80s walikuwa wananifurahisha sana aisee....no compromise ni assasinations kwenda mbele aisee...
 
Mossad is my number one from these facts.. Successfull carry out Operation spring of youth, operation Wraph of God, The capture of Adolph Eichman ( nazi war criminal ) in argentine, several succefull assasinations to masterminders they consider enemies of jewish state includin The dubai massacre (head of hamas military wing), Mohamed rantinsi (hamas chief), ali hassan salameh (munich masterminder), sheikh yassin assasination (hamas spiritual leadr), capturing of russian KGB data and share it with CIA on russian spyn missions against USA, breakin arab intelligence agencies and acquire their millitary secreats which enabled Israel supremacy during 1967 six days war, and 1973 Yom Kipur war.. Though wana weakness zao pia.

da we mossad007 uchambuzi wako wa mossad though ni kwaufupi yaani mtiririko wako nimeupenda maana unarefrect history nzima ya baadhi tu ya mission za mossad ambazo ni success na zilizotingisha dunia yote enzi hizo aisee......
 
Hivi unajua kuwa ISI iko chini ya Jeshi la Pakistani? na mkuu wa ISI ana report kwa mkuu wa Jeshi la Pakistani Gen Kayani, ambaye pia kabla ya kuwa mkuu wa majeshi alikuwa mkuu wa ISI

ISI nao ni noma aisee nahisi katika waarabu anaweza kuwa ndo kinara maana ishu zao da ni za kuvulia kofia kabisa aisee.....
 
ISI nao ni noma aisee nahisi katika waarabu anaweza kuwa ndo kinara maana ishu zao da ni za kuvulia kofia kabisa aisee.....

Asante dav22 na karibu lakini nina swali kdgo tu hawa wapakistan wanarecord gan ya kuuteka ulimwengu tafadhali naomben darasa hapa manake mimi katika kufuatilia kwangu naona ugaidi na shuguli haram (drug cartel) zimeweza kujiimarisha sna pakistan na records zilizopo ni kua kila mwaka suiccide bombs zinacost hundreds of lifes bas kutokana na haya naomben darasa wakuu japo na mimi nijikomboe kidgo.
Ntashkuru!
 
fafanua mkuu hapo

Kuhusu matatizo ya Banking sector,I will quote Aton,''There shall come the financial collapse of your world. You will then be placed under the total control of the evil ones who have carefully planned it to be exactly this way''
Watu wa Usalama ndio bodyguards,they are the ones who guard this system,wao ndio wanahakikisha haya mambo yote yanatokea kama yalivyopangwa.
Pia kuna tendency ya Intelligence Community kufanya mambo independetly,kufanya mambo ambayo hata Ikulu haijaruhusu.[Hapa naongelea kuhusu Ikulu zote Duniani]
Tatizo lingine ni kwamba yule security agent ni mlinzi,analazimika kumlinda boss wake hata kama zipo gross imperfections katika character ya boss wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom