The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 4,780
- 8,155
Chale za wanga ni aina ya mihuri ambayo huwa anawekwa mtu usoni na wachawi. ukishawekwa mihuri hiyo huwa ni ngumu kutibika na huishia kuumwa mpaka uifute mihuri hiyo ambayo ni alama ndogo sana na hujulikana nakuonekana kwa wenye ujuzi.
Mtu kwenda kwa mtaalam na kuchanjwa chale ni ishara ya kusimikwa antena za kichawi na kuweka maagano ndani yake ambayo yatamsumbua sana yeye na kizazi chake.
Wengi wa wenye chale wanamatatizo makubwa kiroho iwe ulichanjwa kwa mtaalam ama usiku na wachawi na wale ambao huota ndoto chafu ni ishara ya chale ndani yao.
1)) CHALE ZA KUFANYWA MSUKULE
Ukiwekea alama hizi, huwa utashangaa unaumwa sana na maumivu yasiyo eleweka,na ndoto zako ni kuota ukifanya kazi ngumu na kuamka umechoka sana na homa isiyo tulia,kama ukienda kwa waganga utaambiwa kuwa una mambo ya kimila ufanyiwe lakini ikiwa unaota ndoto za kukimbizwa ama kupanda ngazi ukikaribia kufika juu unarudishwa chini, wengine huota akifukuzwa na mtu ama mnyama wa aina yoyote.
2 )) CHALE ZA KUKARIBISHWA UCHAWINI
Tambua kwamba wachawi huwa kuna watu watamani wajiunge na uchawi,na hivyo huwaalika uchawini, na kuwafanya watu hao wawe na ndoto za kuota wakiwa katika mikusanyiko ya watu na kupika vyakula,na ikitokea umeonekana hutaki uchawi utapewa maradhi ya matumbo na mwili kuwaka moto pamoja na kukosa usingizi,maradhi ya pressure na homa zisizo kwisha hasa mgongoni kuota vipele bila sababu na kupata ndoto za kuwa shule wakati ulimaliza ama kufanya mtihani.
3 CHALE ZA MWILI WA KUFUNDISHIA
Kuna mtu ambaye mwili wake ni kama uwanja wa mazoezi kwa kufundishia uchawi wanafunzi wao, huyu huwa na ndoto za kula kula usiku,pia huwa magonjwa ya ajabu sana, na hospital hawaoni ugonjwa japo mtu anaumwa sana na hupendelea sana kuvaa pete zisizo za nyota yake na mtu huyu mara nyingi akiamka asubuhi anakuta mistari mwilini mwake.
.Whatsapp group
4)) CHALE ILI KIVULI CHAKE KITUMIKE
Kuna mtu ambaye kivuli chake kinatumiwa na wachawi, mtu huyu huwa na ndoto za kusafiri safiri sana,pia anakuwa akishutumiwa uchawi mtaani na ndugu pia hali ya kuwa yeye hajawahi kuroga na hajui uchawi, pia ana kuwa kama mtu mwenye nuksi na mikosi na kutopendwa na watu pamoja na kusemwa ana maringo na hali haringi na hawa huwa vigumu kuota ndoto na wakiota husahau.
Watu hawa ni wale waliowaendea waganga na kuchanjwa chale bila kujua kwamba chale zao n maagano kuzimu.
5 )) CHALE ZA WATOTO WA WACHAWI
Kuna mtu wazazi wake au shina lake ni wachawi, huwa na mihuri ya kumjuza kwa wachawi wenzao kuwa na mwana wao, mtoto huyo huharibikiwa maisha na kushindwa kupata masomo na kuwa na uelewa mbaya darasani, iwapo ameukataa uchawi baada ya kuwa alikwisha ruka na kula baadhi ya nyama za watu. pia huweza kupewa ugonjwa wa kuanguka na kuwa kama zezeta ambaye ugonjwa hauonekani hospital
Ukisha kuwa na CHALE unaweza kuonekana una maradhi mengi ya ajabu ikiwamo UVIMBE TUMBONI au hata BUSHA, MATENDE YA GHAFLA nk..
Whatsapp
+255710452826
ili utibiwe lazima ufutwe chale za wanga na za kiganga kwa maa
na mwili hauitaji chale ndipo upatiwe dawa za kutibu ugonjwa utakao dhihiri baada ya kufutwa chale
TATIZO LA CHALE NI KWAMBA UTAKULA DAWA ZA KUONDOA SIHRI AU MAJINI bila mafanikio ima kubeba DAWA NA KUHARIBIKIA NJIANI sababu zile chale ni kama KITOA HABARI ( TRACKING ) kwa MLOGAJI wako anakuwa anajua hatua zote unazo fanya
Mtu kwenda kwa mtaalam na kuchanjwa chale ni ishara ya kusimikwa antena za kichawi na kuweka maagano ndani yake ambayo yatamsumbua sana yeye na kizazi chake.
Wengi wa wenye chale wanamatatizo makubwa kiroho iwe ulichanjwa kwa mtaalam ama usiku na wachawi na wale ambao huota ndoto chafu ni ishara ya chale ndani yao.
1)) CHALE ZA KUFANYWA MSUKULE
Ukiwekea alama hizi, huwa utashangaa unaumwa sana na maumivu yasiyo eleweka,na ndoto zako ni kuota ukifanya kazi ngumu na kuamka umechoka sana na homa isiyo tulia,kama ukienda kwa waganga utaambiwa kuwa una mambo ya kimila ufanyiwe lakini ikiwa unaota ndoto za kukimbizwa ama kupanda ngazi ukikaribia kufika juu unarudishwa chini, wengine huota akifukuzwa na mtu ama mnyama wa aina yoyote.
2 )) CHALE ZA KUKARIBISHWA UCHAWINI
Tambua kwamba wachawi huwa kuna watu watamani wajiunge na uchawi,na hivyo huwaalika uchawini, na kuwafanya watu hao wawe na ndoto za kuota wakiwa katika mikusanyiko ya watu na kupika vyakula,na ikitokea umeonekana hutaki uchawi utapewa maradhi ya matumbo na mwili kuwaka moto pamoja na kukosa usingizi,maradhi ya pressure na homa zisizo kwisha hasa mgongoni kuota vipele bila sababu na kupata ndoto za kuwa shule wakati ulimaliza ama kufanya mtihani.
3 CHALE ZA MWILI WA KUFUNDISHIA
Kuna mtu ambaye mwili wake ni kama uwanja wa mazoezi kwa kufundishia uchawi wanafunzi wao, huyu huwa na ndoto za kula kula usiku,pia huwa magonjwa ya ajabu sana, na hospital hawaoni ugonjwa japo mtu anaumwa sana na hupendelea sana kuvaa pete zisizo za nyota yake na mtu huyu mara nyingi akiamka asubuhi anakuta mistari mwilini mwake.
.Whatsapp group
4)) CHALE ILI KIVULI CHAKE KITUMIKE
Kuna mtu ambaye kivuli chake kinatumiwa na wachawi, mtu huyu huwa na ndoto za kusafiri safiri sana,pia anakuwa akishutumiwa uchawi mtaani na ndugu pia hali ya kuwa yeye hajawahi kuroga na hajui uchawi, pia ana kuwa kama mtu mwenye nuksi na mikosi na kutopendwa na watu pamoja na kusemwa ana maringo na hali haringi na hawa huwa vigumu kuota ndoto na wakiota husahau.
Watu hawa ni wale waliowaendea waganga na kuchanjwa chale bila kujua kwamba chale zao n maagano kuzimu.
5 )) CHALE ZA WATOTO WA WACHAWI
Kuna mtu wazazi wake au shina lake ni wachawi, huwa na mihuri ya kumjuza kwa wachawi wenzao kuwa na mwana wao, mtoto huyo huharibikiwa maisha na kushindwa kupata masomo na kuwa na uelewa mbaya darasani, iwapo ameukataa uchawi baada ya kuwa alikwisha ruka na kula baadhi ya nyama za watu. pia huweza kupewa ugonjwa wa kuanguka na kuwa kama zezeta ambaye ugonjwa hauonekani hospital
Ukisha kuwa na CHALE unaweza kuonekana una maradhi mengi ya ajabu ikiwamo UVIMBE TUMBONI au hata BUSHA, MATENDE YA GHAFLA nk..
+255710452826
ili utibiwe lazima ufutwe chale za wanga na za kiganga kwa maa
na mwili hauitaji chale ndipo upatiwe dawa za kutibu ugonjwa utakao dhihiri baada ya kufutwa chale
TATIZO LA CHALE NI KWAMBA UTAKULA DAWA ZA KUONDOA SIHRI AU MAJINI bila mafanikio ima kubeba DAWA NA KUHARIBIKIA NJIANI sababu zile chale ni kama KITOA HABARI ( TRACKING ) kwa MLOGAJI wako anakuwa anajua hatua zote unazo fanya