Ziara za Kinana (Katibu Mkuu wa CCM) Mikoani

HIMARS

JF-Expert Member
Jan 23, 2012
69,373
94,566
Kutoka ukurasa wa Nape Nauye haya ndiyo aliyoandika.


Nimetoka kuongea na vyombo vya habari juu ya ziara za Katibu Mkuu na zinazotarajia kuanza, ni ziara za kusukuma utekelezaji wa Ilani.

Ziara zinategemea kuanza tarehe 21 Mkoani Mtwara, 22 Sumbawanga na 23 geita na 24 Arusha...!

Tunaanza Mtwara kushughulikia tatizo la soko la koro,kisha Sumbawanga kukagua miradi ya barabara,kisha Geita kushughulikia masuala ya migodi.

Na Mkoa wa nne ni Arusha ambako Katibu Mkuu atakagua Viwanda na kutatua tatizo la wawekezaji walioodhi viwanda bila kuvifanyia kazi...!



Pia Nape alisema hayaaaa kwenye account yake

THIS IS CCM..,WE DO WHAT WE WANT, WHEN WE WANT..,ALWAYS AT RIGHT TIME...!"

OUR TIME IS NOW....! Hii speed is beyond there imagination.,sijui kama watani wataweza mbio hizi.?!?"

 
wehu kweli nyie na hizo ziara zenu za unafiki,leo ndo mnashugulikia soko.wezi wakubwa.
 
mwambie akumbuke kuwaelezea jinsi alivyosingiziwa kuwa kampuni yake ndiyo inauwa tembo wetu kwa kutoa kibali cha kusafirisha pembe kwenda huko Asia ili wanachama waweze kumwelewa maana akiwa kimya watajua kuwa anahusika

CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Huyo msomali akifika Arusha awaeleze wananchi kuwa mashine za kufua nakukausha nguo alizopora kama msaada kwa ajili ya hopsital za jeshi na mount meru anazirejesha lini?.

Pia Muumulize maagizo ya Nape alipokuwa Songea kwenye Serikali yamefikia wapi?.Ngoja wale per diem tu hawana lolote wezi wakubwa ccm
 
Ziara za Katibu mkuu wa ccm kukagua viwanda na waziri wa viwanda anafanya kazi gani au ndo kutojua mipaka ya utendaji wa serikali na chama
Mr Rocky kama unakumbuka walisema CCM sasa inarudi kufanya kazi ya kuisimamia Serikali kwa hiyo wakiona utendaji usioridhisha watamwajibisha waziri husika kupitia vikao vya chama
 
Last edited by a moderator:
Arusha? Atapona mtu kweli hapo,bwana Nape na viwanja vya sahara mwanza mtakuwepo lini?
 
Kama chama kitaamua kuanza kuikumbusha serikali kutumikia wananchi walio wengi badala ya kutumika kama daraja la wachache kujineemesha basi itakuwa tofauti kubwa. Ngoja tuone mambo yatakavyoenda.
 
Sasa ni dhahiri CDM inakufa polepoleee SISIEM HOYEE WAMESHINDWA KUJENGA HOJA WAMESHAMIRI KWENYE UMBEYA
TULIWAMBIA SSM CHAMA KUBWA
 
Mtwara wanaenda Kushugurikia soko la Korosho kivipi? Si Bodi ya Korosho imeisha Tangaza Bei ya kununulia Korosho? Na si injulikana Mununuzi pekee ni Vyama vya Ushirika? Au wamepata Mnunuzi mwingine?

Arusha wanakuja kukagua Viwanda Vipi? cha Mataili? si wamekiuua CCM? vipi wamepata mwekezaji Mpya? Songea wanakagua Barabara wakiwa kama nani? Je Kinana amesomea Mambo ya Ujenzi? Je anataka aone kama kuna Nyufa Barabarani?

Hii nchi inamalizwa na Siasa, Mambo ya Kitalaamu inaingizwa Siasa,
 
mimi sio pro-chadema wala sio ccm mafisadi
ila niweke angalizo hili suala la korosho kulifanya kuwa ni ajenda ya kisiasa mnafanya dhulma kubwa sana,,na hata ile bodi ya korosho wale jamaa mudhhihir na anna abdalah hawana weledi wowote wa kazi zaidi ya kuendelea kuididimiza bodi ile
wakulima kila siku wanalalamika na kukata tamaa
hili nalo mnalifanya kuwa ni ajenda ya kisiasa??
 

Nikukumbushe tuu ndugu ya Chasha serikali ya CCM imerekebisha mambo mengi kupitia sauti au jukwaa la wapinzania na kwa kazi hiyo vyama vya upenzani vimetokea kupata wafuasi kwa kuwasemea matatizo yao. CCM sasa inakwenda kufanya hivyo hivyo "performance evaluation against yardstick" - ilani ya uchaguzi. Mimi siyo mali ya chama chochote nachangia tuu kuchangamsha jukwaa.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…