Sasa hivi watafanya press conference watoe tamko lao CDM a.k.a UAMSHOChadomo vijasho vinawatoka
Karibuni sana mikoani mkutane na hali halisi ya maisha ya mtanzania,
wehu kweli nyie na hizo ziara zenu za unafiki,leo ndo mnashugulikia soko.wezi wakubwa.
Mzee wanakuja kuimarisha chama(kupambana na M4C), hali ngumu ya wananchi haijawahi kuwa agenda yao i.e haiwahusu
Una moyo mgumu wewe!bahati mbaya hautakiwi tuu ndani ya CCM nawe hulijui hilo.- Kidumu Chama Tawala, Kidumu CCM!! jana Uwanja wa Mnazi Mmmoja kila kitu kimewekwa kweupee, kwamba CCM sasa nginja nginja, asiyeweza mbio mpya akae pembeni, kuanzia sasa wale wote walioomba kuwa wa-NEC watapewa majukumu ya kusfika chini kwenye matawi na kila miezi mitatu CCM tutakaa chini na kuangalia Viongozi wetu wamefanya nini kukiimarisha Chama?
- Wapinzani it is not an ishu caus eit has never been one, tatizo letu CCM always limekuwa sisi against sisi wenyewe, sasa hili linaletewa dawa kabambe, na asiyetaka anaambiwa atupishe na Chama chetu aende huko kwa wapinzani, people jana tumeanza mambo mapya ya UMOJA NI NGUVU NA UMOJA NI USHINDI!!
LE Mutuz!!
Una moyo mgumu wewe!bahati mbaya hautakiwi tuu ndani ya CCM nawe hulijui hilo.
Nina hamu ya kufahamu jinsi huyo katibu mkuu atakavyoshughulikia tatizo la bei ya korosho kwa siku moja tu! Kama kweli anaweza kufanya hivyo, inaonekana kuwa hilo si tatizo kubwa sana
- Kidumu Chama Tawala, Kidumu CCM!! jana Uwanja wa Mnazi Mmmoja kila kitu kimewekwa kweupee, kwamba CCM sasa nginja nginja, asiyeweza mbio mpya akae pembeni, kuanzia sasa wale wote walioomba kuwa wa-NEC watapewa majukumu ya kusfika chini kwenye matawi na kila miezi mitatu CCM tutakaa chini na kuangalia Viongozi wetu wamefanya nini kukiimarisha Chama?
- Wapinzani it is not an ishu caus eit has never been one, tatizo letu CCM always limekuwa sisi against sisi wenyewe, sasa hili linaletewa dawa kabambe, na asiyetaka anaambiwa atupishe na Chama chetu aende huko kwa wapinzani, people jana tumeanza mambo mapya ya UMOJA NI NGUVU NA UMOJA NI USHINDI!!
LE Mutuz!!
- Kidumu Chama Tawala, Kidumu CCM!! jana Uwanja wa Mnazi Mmmoja kila kitu kimewekwa kweupee, kwamba CCM sasa nginja nginja, asiyeweza mbio mpya akae pembeni, kuanzia sasa wale wote walioomba kuwa wa-NEC watapewa majukumu ya kusfika chini kwenye matawi na kila miezi mitatu CCM tutakaa chini na kuangalia Viongozi wetu wamefanya nini kukiimarisha Chama?
- Wapinzani it is not an ishu caus eit has never been one, tatizo letu CCM always limekuwa sisi against sisi wenyewe, sasa hili linaletewa dawa kabambe, na asiyetaka anaambiwa atupishe na Chama chetu aende huko kwa wapinzani, people jana tumeanza mambo mapya ya UMOJA NI NGUVU NA UMOJA NI USHINDI!!
LE Mutuz!!
Sasa ni dhahiri CDM inakufa polepoleee SISIEM HOYEE WAMESHINDWA KUJENGA HOJA WAMESHAMIRI KWENYE UMBEYA
TULIWAMBIA SSM CHAMA KUBWA