Ziara za Kinana (Katibu Mkuu wa CCM) Mikoani

Mi mfuatiliaji mkubwa wa hoja mbalimballi za great thinker waliopo JF na kiukweli I love the dialogue. The way Le Mutuz anavyojibu hoja ni jambo la ajabu sanaa, ukilinganisha na profile yake. I admire your energy brother, ila nashangazwa sana na ulivyo narrow minded. Every comments raised against CCM is from CDM, really? Kazi unayoifanya ni kubwaaa, ila unaifanya kwa kujichafua sanaaaa. I know my comments are bit personal but from my own opinion "upo Jf kuvuruga majadiliano ya Great thinkers'' So kwa watizamaji kama mimi unanikosesha uhondo wa kupata elimu. And offcourse your entitled to your own opinion
 
- Chama cha Dume la Mbegu, kinazalisha wabunge 257 na kinatawala miaka 50 bila tatizo na bado 50 mingine!, ndio maana yake!!

Le Mutuz!

HOJA ZAKO ZINAUDHI SANA, TATIZO MITOTO ILOZALIWA NA KULELEWA IKISHUHUDIA MZAZI WAKE AKIFANYA UDOKOZI, UKWAPUAJ NDO UTAIKUTA IKIFURAIA LICHAMA LILOJAA MATENDO YA KIFISAD, WALA RUSHWA, WEZI WA RASILIMALI ZA TAIFA UWEZI TOFAUTISHA NA MAJAMBAZ SUGu
 
Watu wa CCM siku zote wanawaza umaarufu wa zamani, Kinana kama ni maarufu Arusha na alifungua kampeni za ubunge wa Batilda baada ya hapo ilikuwaje, Batilda alishinda au alishindwa.

Hii ina maana kuwa sio kweli kwamba Kinana ni maarufu Arusha, kama alikuwa maarufu ni wakati wa Kidumu Chama cha Mapinduzi na Zidumu Fikra za Mwenyekiti wa CCM.

Siku zote tunamini mchawi mpe mtoto wako amlee.

Tungoje ya hapo Arusha mara atakapo tinga.

yetu macho.
 
mwaka huu wataisomaaaa
ikulu tunaingiaaaaaa

Ni baadhi ya maneno ktk nyimbo
 
Mr Rocky kama unakumbuka walisema CCM sasa inarudi kufanya kazi ya kuisimamia Serikali kwa hiyo wakiona utendaji usioridhisha watamwajibisha waziri husika kupitia vikao vya chama
Si wasubir kumuwahibisha huyo wazir ukaguz c o kazi ya ccm na makada wake ni kazi ya serikali ya jamhuri muende mkawajibishane dodoma "
 
Kutoka ukurasa wa Nape Nauye haya ndiyo aliyoandika.


Nimetoka kuongea na vyombo vya habari juu ya ziara za Katibu Mkuu na zinazotarajia kuanza, ni ziara za kusukuma utekelezaji wa Ilani.

Ziara zinategemea kuanza tarehe 21 Mkoani Mtwara, 22 Sumbawanga na 23 geita na 24 Arusha...!

Tunaanza Mtwara kushughulikia tatizo la soko la koro,kisha Sumbawanga kukagua miradi ya barabara,kisha Geita kushughulikia masuala ya migodi.

Na Mkoa wa nne ni Arusha ambako Katibu Mkuu atakagua Viwanda na kutatua tatizo la wawekezaji walioodhi viwanda bila kuvifanyia kazi...!



Pia Nape alisema hayaaaa kwenye account yake

THIS IS CCM..,WE DO WHAT WE WANT, WHEN WE WANT..,ALWAYS AT RIGHT TIME...!"

OUR TIME IS NOW....! Hii speed is beyond there imagination.,sijui kama watani wataweza mbio hizi.?!?"

Kama mmewakea speed governor wataweeeeza?
 
Back
Top Bottom