Ziara ya Rais Samia nchini Ufaransa: Nini maana ya Uchumi wa bluu, Je, ni muhimu kuhudhuria? Pata shule fupi

Mwanamaji

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
2,896
4,495
Utangulizi:

Kijiografia bahari zinachukua takriban 71% ya eneo lote la uso wa Dunia yetu na kwa nadharia za kisayansi inaaminika kwamba maisha ya viumbe yalianzia baharini. Hivyo basi, kwa vyoyote vile iwavyo, bahari imekua sehemu muhimu kabisa ya maisha ya kila siku ya binadamu. Binadamu anafanya shughuli zake mbalimbali katika mazingira ya maji au bahari, nyingine ni za kiuchumi na nyingine si za kiuchumi.


Uchumi wa bluu:

Huu ni mkusanyiko wa shughuli zote za kiuchumi ambazo zinafanyika katika mazingira ya maji hasa bahari. Shughuli hizo ni pamoja na uvuvi (fishing), ukuzaji viumbe maji (aquaculture), utalii (tourism), usafiri na usafirishaji (transportation and shipping), uvunaji wa mafuta na gesi (oil and gas exploration), uzalishaji nishati (energy generation), uchimbaji madini (minerals extraction) na mengineyo mengi. Ukienda mbele zaidi, uchumi wa bluu unajumuisha pia shughuli za utunzaji na uhifadhi wa mazingira ya bahari (conservation and management activities).

Ili kuleta uwiano mzuri kati ya matumizi ya rasilimali za baharini na kuzitunza au kuzihifadhi ndipo inakuja dhana nzima ya matumizi endelevu ya rasilimali bahari (Sustainable utilization of marine resources).

Kwa sababu bahari imeenea kwenye eneo kubwa sana katika uso wa dunia, jitihada za kuhakikisha kunakua na uhifadhi na matumizi endelevu ya bahari zinapaswa kuwa ni za pamoja baina ya mataifa mbalimbali (collaborative approach of marine resources management).

Jitihada hizo hufanyika kwa namna mbalimbali kama vile mikutano na makongamano (summits, conferences and conventions) ili kujadiliana, kuweka mikakati ya pamoja na wakati mwingine kusaini mikataba na kupitisha sheria mbalimbali. Lakini pia hatua nyingine za kiutekelezaji zinajumuisha kufanya miradi ya uhifadhi pamoja, kupeana misaada ya rasilimali kadha wa kadha, kubadilishana taarifa za tafiti na mambo mengine “chungu nzima”.

Mkutano wa Kimataifa wa Rasilimali za Bahari: The One Planet Summit for The Oceans

Ni mkutano wa kimataifa unaojumuisha mataifa ya Ulaya na mataifa mengine kwa lengo la kuchukua hatua dhidi athari hasi zinazoyakabili mazingira ya bahari. Mwaka huu 2022, mkutano huu unafanyika mjini Brest nchini Ufaransa chini ya uenyeji wa Rais wa nchi hiyo bwana Emmanuel Macron. Pamoja na wahudhuriaji wengine mkutano huu unajumuisha wakuu wa nchi, wakuu wa taasisi mbalimbali za kimataifa pamoja na wadau wengine wanaoguswa moja kwa moja na masuala ya mazingira ya bahari.

Lengo kuu la mkutano huu ni kutafuta suluhu ya pamoja ya kukabiliana na changamoto “za kesho” ya bahari ambazo kwa uchache ni kama vile uchafuzi (pollution), uharibifu wa maeneo muhimu ya bahari (degradation of keystone habitats), madhara ya mabadiliko ya tabia ya nchi (marine induced climate changes) na mengineyo mengi. Masuala mengine yanayoangaziwa macho ni pamoja na kuweka mikakati ya pamoja ya kuendeleza uvuvi endelevu bila kusahau hatua nyingine za uhifadhi na utunzaji wa bayoanuai (biodiversity).

Katika mkutano huo, Tanzania imewakilishwa na Rais Mh. Samia Suluhu Hassan.
 
11 February 2022
Paris, France

LIVE : Mh. Rais Samia Suluhu Hassan ndani ya mkutano wa One Ocean Summit

Mh. Rais Samia Suluhu Hassan akiwa ndani ya mkutano wa One Ocean Summit unaoendelea jijini Paris Ufaransa unaozungumzia uchumi wa blue, usalama wa bahari, utunzaji wa mazingira ya bahari ya viumbe bahari, mikoko, matumbawe, mkakati wa kupunguza hewa ya ukaa (carbon), uchafuzi kupitia bidhaa za plastiki, mabadiliko ya tabia nchi yanayotishia kumeza nchi-visiwa za baharini kama Tonga, Fiji, Mauritius, Zanzibar, the Seychelles n.k

Mkutano huo upo chini ya uenyekiti wa rais Emmanuel Macron wa France, na nchi hiyo ndiyo inakalia kiti cha urais wa Jumuiya ya Ulaya EU kwa miezi sita kuanzia January 2022 na amechagiza uwepo wa kufuatilia kwa umakini uchumi wa buluu unaoihusu na kuigusa dunia yote.

Mbali ya viongozi wa kisiasa , wanahudhuri viongozi wa makampuni makubwa ya TEHAMA na teknolojia kama Apple, wamiliki wa kampuni kubwa za usafiri wa meli baharini, mabenki makubwa n.k ambao wote wameahidi kuchangia pakubwa katika uchumi wa buluu

LIVE: French President Macron chairs One Ocean summit


French President Emmanuel Macron chairs a segment of the One Ocean Summit, aimed at giving a strong political impetus to maritime issues.


Source : Reuters
 
11 February 2022
Paris, France

HABARI ZA KUFUGULIWA MAGAZETI NA KESI YA MBOWE YAWA HABARI KUBWA MJINI PARIS, UFARANSA

Serikali ya awamu ya sita ya Tanzania leo alhamisi ya tarehe 10 February 2022 yadai kufungua ukurasa mpya kufuatia kuyafungulia magazeti manne ....

Paris, France

La Tanzanie lève l'interdiction de quatre journaux​

03b917825f831a93d6f90153ec70be202462e1da.jpg

Un vendeur de journaux à Mwanza, en Tanzanie le 19 septembre 2015
afp.com - Daniel Hayduk
10 FÉV 2022

Mise à jour 10.02.2022 à 17:00
AFP
© 2022 AFP

Le gouvernement tanzanien a annoncé jeudi lever l'interdiction de quatre journaux, imposée sous le précédent président John Magufuli, et ouvrir "un nouveau chapitre" avec les médias, la présidente Samia Suluhu Hassan tentant de rompre avec certaines pratiques de son autoritaire prédécesseur.

Les quatre publications en swahili - parmi lesquels Daima, quotidien propriété du dirigeant de l'opposition emprisonné Freeman Mbowe - ont été interdites entre 2016 et 2020.

"L'intention du gouvernement actuel est de tisser de bonnes relations avec les médias et, pour commencer, je vais réaccorder des licences aux quatre journaux", a déclaré le ministre tanzanien de l'Information Nape Nnauye lors d'une réunion avec des rédacteurs en chef.

"Leur punition a assez duré", a-t-il ajouté.Le ministre a expliqué que la présidente Hassan désirait créer "un environnement propice aux médias". "Elle m'a demandé de rencontrer les journalistes, d'échanger nos points de vue et d'écouter vos inquiétudes".

Les autorités tanzaniennes avaient révoqué la licence de publication et de distribution de Daima juste avant les élections générales de 2020, l'accusant d'avoir enfreint la loi et la déontologie journalistique, sans préciser le contenu incriminé.
Mwanahalisi, un hebdomadaire, avait été interdit en 2017 après avoir publié la lettre d'un lecteur contenant des "insultes" à l'égard du président Magufuli et son gouvernement.

Mawio et Mseto, deux autres hebdomadaires, avaient vu leurs licences suspendues en 2016 après avoir tous deux abordés le sujet de la corruption au sommet de l'Etat.
Depuis qu'elle a succédé au président Magufuli, décédé soudainement en mars 2021 et dont elle était la vice-présidente, Mme Hassan tente de rompre avec certaines politiques de son prédécesseur, surnommé "Bulldozer" pour son style de gouvernement intransigeant.
Elle a tendu le bras à l'opposition et autorisé la réouverture de médias interdits sous Magafuli, faisant le voeu de défendre la démocratie et les libertés fondamentales.

Mais l'arrestation en juillet 2021 de M. Mbowe, dirigeant du principal parti d'opposition Chadema, sur des accusations de terrorisme, a douché les espoirs qu'elle tourne réellement la page de la présidence Magufuli.

Son gouvernement a également infligé en 2021 une suspension de deux semaines au journal Uhuru, organe de son propre parti le Chama Cha Mapinduzi, après un article de une affirmant qu'elle envisageait de ne pas se représenter en 2025

Source : La Tanzanie lève l'interdiction de quatre journaux
 

11 February 2022​

Brussels, Belgium​

European Union - African Union summit, 17-18 February 2022​

Agenda highlights​

The leaders of the EU and the African Union (AU) as well as of their respective member states will meet for the sixth European Union - African Union summit in Brussels on 17 and 18 February 2022.
The summit will present a unique opportunity to lay the foundations for a renewed and deeper AU-EU partnership with the highest political involvement and based on trust and a clear understanding of mutual interests. Leaders are expected to discuss how both continents can build greater prosperity. The aim is to launch an ambitious Africa-Europe Investment Package, taking into account global challenges such as climate change and the current health crisis. They should also be talking about tools and solutions to promote stability and security through a renewed peace and security architecture.
A series of thematic roundtables will also be organised. The following topics will be debated:
  • growth financing
  • health systems and vaccine production
  • agriculture and sustainable development
  • education, culture and vocational training, migration and mobility
  • private sector support and economic integration
  • peace, security and governance
  • climate change and energy transition, digital and transport [connectivity and infrastructure]
EU and AU heads of state or government will be participating in the roundtables, together with a selected group of external guests who are experts in their respective fields.
A joint declaration on a joint vision for 2030 is expected to be adopted by the participants

Source : European Union - African Union summit, 17-18 February 2022
 
11 February 2022

Brussels, Belgium

EU Chief unveils US$ 171bn investment plan for Africa

13 hours ago — The EU Commission headquarters in Brussels, Belgium. ... to prepare for a summit between the EU and the African Union on February 17, 2022.

The sixth African Union-European Union summit taking place in mid-February faces a fresh set of challenges as the world emerges from the Covid pandemic.

Traditionally held every three years, the previous summit was in 2017 in Côte d’Ivoire with this sixth summit being postponed due to the pandemic.

The two-day conference in Brussels from February 17 will move forward the debate on vaccine production and licensing, as well as exploring the deepening concerns over debt financing, infrastructure, migration, climate and security in the Sahel.

The African continent has been hard hit by the pandemic, with World Bank figures showing levels of debt in sub-Saharan low to middle-income countries reaching $702 billion in 2020, the highest in a decade.

Recent complaints by Cyril Ramaphosa, South Africa’s president, of ‘vaccine apartheid’, along with similar grievances over Covid travel restrictions by other African leaders, have raised the temperature.

‘Covid is shaping the entire economic and political terrain of African states at the moment and there is a lot of bad blood,’ said Phil Clark, a professor of international politics at the School of Oriental and African Studies in London.

‘They are going to the summit with a fair amount of anger over how Europe has tackled Covid in Africa, and the EU will have their work cut out to move beyond that.’

Key to Europe’s agenda at the conference is Emmanuel Macron, the French president.

His government took over its six-month presidency of the Council of the European Union in January, and Macron himself has recently described EU relations with Africa as ‘a bit tired’.

Macron has long called for a reset or ‘overhaul’ of Europe’s partnership with Africa, announcing as far back as 2017 the end of what had become known as Françafrique, the French strategy of exerting military, political and commercial influence over its former colonies.

Today, Macron says the EU holds a more progressive outlook, instead seeking to establish ‘an ambitious and forward-looking alliance with Africa’ to foster ‘lasting prosperity.’

Last year, Europe announced its Global Gateway initiative, a strategy aimed at mobilizing up to €300 billion in investments around the world by 2027 and intended as a template for how Europe can help underpin a post-Covid recovery.

Europe is no longer the only stakeholder seeking influence and offering assistance to Africa, with China, Russia and others now major players too
Analysts are quick to observe that Europe is no longer the only stakeholder seeking influence and offering assistance to Africa, with China, Russia and others now major players too.

In recent years, for example, the African Union has held summits with the United States, Japan and Turkey, and there are plans for a conference with Russia at the end of 2022. Indeed, Moscow has a growing military footprint on the continent and has been the largest arms exporter to sub-Saharan Africa for the past four years.

Macky Sall, the president of Senegal, takes over as chair of the African Union just before the summit. Aside from Covid, he is expected to be critical of newly proposed European levies on gas exports from the continent.

Under its green energy agenda, the EU intends to place a carbon price on goods from non-EU nations in an effort to incentivize others to meet climate targets. Such a policy would represent a slap in the face for the African Union, which boasts vast reserves.

‘African states used to go to these summits and bite their tongue,’ said Prof Clark. ‘They didn’t pick fights, never brought up colonial histories or issues of reparations because Europe was the only game in town.

‘Now they are on the front foot with a much wider range of partners to choose from. They can say to the Europeans ‘we are not beholden to you any longer’.’
 
EU Chief unveils US$ 171bn investment plan for Africa

13 hours ago — The EU Commission headquarters in Brussels, Belgium. ... to prepare for a summit between the EU and the African Union on February 17, 2022

Haya mabilioni toka EU imefanya serikali Tanzania iwe makini na matendo yake pia kujisahihisha, tusije tukakosa mgao huo uliotangazwa na Umoja wa Ulaya EU kwa nchi za bara la Afrika. Ikichukuliwa kuwa nchi ya France ndiyo inakalia kiti cha uenyekiti wa Jumuiya ya Ulaya EU toka January 2022 kwa muhula wa miezi sita huku Rais Emmanuel Macron wa France ndiye mwenyeji wa mkutano huu wa One Ocean Summit yaani uchumi wa buluu, kimataifa Tanzania imejijongeza karibu na wadau wa kimataifa ikiwa tu Tanzania itabadilika na kuacha yale mabaya ya awamu ya 5.
 
Bila kuwa na mikakati ya kuhakikisha kuwa watanzania wanakuwa washiriki wa moja kwa moja na aina hiyo ya uchumi.

Basi yale yanayotokea katika madini, utalii na kwengine yatakuwa hayo hayo tu ndugu.

Nakumbuka ile meli ya wakorea iliyokamatwa ikivua kule High Sea bila kibali wakapelekwa mahakamani tukahujumiwa na wenzetu wenye njaa kali kesi tukashindwa.

Sasa tusipoweka mbele rasilimali zetu hakuna faida yeyote tutapata.
 
Utangulizi:

Kijiografia bahari zinachukua takriban 71% ya eneo lote la uso wa Dunia yetu na kwa nadharia za kisayansi inaaminika kwamba maisha ya viumbe yalianzia baharini. Hivyo basi, kwa vyoyote vile iwavyo, bahari imekua sehemu muhimu kabisa ya maisha ya kila siku ya binadamu. Binadamu anafanya shughuli zake mbalimbali katika mazingira ya maji au bahari, nyingine ni za kiuchumi na nyingine si za kiuchumi.



Uchumi wa bluu:

Huu ni mkusanyiko wa shughuli zote za kiuchumi ambazo zinafanyika katika mazingira ya maji hasa bahari. Shughuli hizo ni pamoja na uvuvi (fishing), ukuzaji viumbe maji (aquaculture), utalii (tourism), usafiri na usafirishaji (transportation and shipping), uvunaji wa mafuta na gesi (oil and gas exploration), uzalishaji nishati (energy generation), uchimbaji madini (minerals extraction) na mengineyo mengi. Ukienda mbele zaidi, uchumi wa bluu unajumuisha pia shughuli za utunzaji na uhifadhi wa mazingira ya bahari (conservation and management activities).

Ili kuleta uwiano mzuri kati ya matumizi ya rasilimali za baharini na kuzitunza au kuzihifadhi ndipo inakuja dhana nzima ya matumizi endelevu ya rasilimali bahari (Sustainable utilization of marine resources).

Kwa sababu bahari imeenea kwenye eneo kubwa sana katika uso wa dunia, jitihada za kuhakikisha kunakua na uhifadhi na matumizi endelevu ya bahari zinapaswa kuwa ni za pamoja baina ya mataifa mbalimbali (collaborative approach of marine resources management).

Jitihada hizo hufanyika kwa namna mbalimbali kama vile mikutano na makongamano (summits, conferences and conventions) ili kujadiliana, kuweka mikakati ya pamoja na wakati mwingine kusaini mikataba na kupitisha sheria mbalimbali. Lakini pia hatua nyingine za kiutekelezaji zinajumuisha kufanya miradi ya uhifadhi pamoja, kupeana misaada ya rasilimali kadha wa kadha, kubadilishana taarifa za tafiti na mambo mengine “chungu nzima”.

Mkutano wa Kimataifa wa Rasilimali za Bahari: The One Planet Summit for The Oceans

Ni mkutano wa kimataifa unaojumuisha mataifa ya Ulaya na mataifa mengine kwa lengo la kuchukua hatua dhidi athari hasi zinazoyakabili mazingira ya bahari. Mwaka huu 2022, mkutano huu unafanyika mjini Brest nchini Ufaransa chini ya uenyeji wa Rais wa nchi hiyo bwana Emmanuel Macron. Pamoja na wahudhuriaji wengine mkutano huu unajumuisha wakuu wa nchi, wakuu wa taasisi mbalimbali za kimataifa pamoja na wadau wengine wanaoguswa moja kwa moja na masuala ya mazingira ya bahari.

Lengo kuu la mkutano huu ni kutafuta suluhu ya pamoja ya kukabiliana na changamoto “za kesho” ya bahari ambazo kwa uchache ni kama vile uchafuzi (pollution), uharibifu wa maeneo muhimu ya bahari (degradation of keystone habitats), madhara ya mabadiliko ya tabia ya nchi (marine induced climate changes) na mengineyo mengi. Masuala mengine yanayoangaziwa macho ni pamoja na kuweka mikakati ya pamoja ya kuendeleza uvuvi endelevu bila kusahau hatua nyingine za uhifadhi na utunzaji wa bayoanuai (biodiversity).

Katika mkutano huo, Tanzania imewakilishwa na Rais Mh. Samia Suluhu Hassan.
Ni kitu gani Rais wetu alishindwa kukifanya kwa video conferencing?
 
Ni kitu gani Rais wetu alishindwa kukifanya kwa video conferencing?

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye kidiplomasia ndiyo balozi namba moja (in prof. Palamagamba Kabudi bold voice maandishi yaliyokoza), kukutana uso kwa kwa uso yaani kwa lugha ya kidiplomasia tête-à-tête baina yake na viongozi wa mataifa ya EU pia kina John Kerry waziri wa zamani wa Marekani , vigogo wa makampuni ya Shell, Total, mabenki makubwa ya dunia na matajiri wakubwa wamiliki wa meli n.k inalipa zaidi kiushawishi kuliko kupitia video conferencing


One Ocean Summit: World leaders discuss overfishing and plastic pollution


World leaders are under pressure to conclude years of talks on an agreement to protect open oceans that help sustain life on Earth, cover almost half the planet and currently fall under no country's laws.
Source : France 24
 
Kukutana uso kwa kwa uso yaani kwa lugha ya kidiplomadia tête-à-tête baina viongozi wa mataifa ya EU pia kina John Kerry waziri wa zamani wa Marekani , vigogo wa makampuni ya Shell, Total, mabenki makubwa ya dunia na matajiri wakubwa wamiliki wa meli n.k inalipa zaidi kiushawishi kuliko kupitia video conferencing
Asante kwa majibu mkuu.
FRANCIS DA DON Karibu hapa.
 

11 February 2022​

The Minister for Europe and Foreign Affairs is establishing a solidarity program to support the Tanzanian people in the face of the Covid-19 pandemic (10 Feb. 2022)​


In response to the Tanzanian authorities’ request for assistance with the Covid-19 pandemic, France is taking action and establishing a solidarity program for the Tanzanian people.

This program, which is co-coordinated by the Ministry for Europe and Foreign Affairs’ Crisis and Support Center and the French Embassy in Tanzania, will use airfreight and ocean freight to deliver medical supplies, namely: oxygen generators and concentrators, Osiris 3-type transport ventilators, electric syringe drivers and 230,000 KN95-type masks.

These supplies, which are being provided in response to the authorities’ requests in light of the country’s health situation, are intended to help the Tanzanian government, provide assistance to the Tanzanian people and strengthen Tanzanian hospitals’ capacities.

The support offered by France brings together contributions from the Ministry for Europe and Foreign Affairs and the Ministry for Solidarity and Health.

The humanitarian freight sent via maritime transport will be delivered thanks to support from the CMA CGM Foundation.

This program is part of the European Union Civil Protection Mechanism (EU CPM).

Source : Tanzania – The Minister for Europe and Foreign Affairs is establishing a solidarity program to support the Tanzanian people in the face of the Covid-19 pandemic (10 Feb. 2022)
 
Kukutana uso kwa kwa uso yaani kwa lugha ya kidiplomadia tête-à-tête baina viongozi wa mataifa ya EU pia kina John Kerry waziri wa zamani wa Marekani , vigogo wa makampuni ya Shell, Total, mabenki makubwa ya dunia na matajiri wakubwa wamiliki wa meli n.k inalipa zaidi kiushawishi kuliko kupitia video conferencing


One Ocean Summit: World leaders discuss overfishing and plastic pollution


World leaders are under pressure to conclude years of talks on an agreement to protect open oceans that help sustain life on Earth, cover almost half the planet and currently fall under no country's laws.
Source : France 24

Ni kitu gani katika tete a tete kinashindikana kufanyika kwa video conferencing? Kwani akili huwa mnazitumiaga kufanya nini? Hizoxposho posho za kuandaa safari zisiwafanye mkawa na akili ndogo kuliko za mataahira, please!!
 

bagamoyo


Naona umerudi kwa kasi ya ajabu lakini watoto wa watumwa hawawezi kuondoa umasikini Tanzania kwa sababu bado wapo utumwani. Mazoea ya vitu vya bure bure. Rejea Hotuba ya baba wa Taifa, ..... ..... ..... ''kuna watu wapo kama malaya, tabia zao ni za kimalaya malaya.''
 
Ni kitu gani katika tete a tete kinashindikana kufanyika kwa video conferencing? Kwani akili huwa mnazitumiaga kufanya nini? Hizoxposho posho za kuandaa safari zisiwafanye mkawa na akili ndogo kuliko za mataahira, please!!

Mazungumzo mengine hufanyika faragha (behind closed doors), mfano suala nyeti kuhusu kesi namba 16/2021 inayowakabili Mh. Freeman Mbowe na wenzie 3 ambalo ni gumzo jijini Paris France hadi makao makuu ya Umoja wa Ulaya EU kule Brussels Belgium , Tanzania ya awamu ya 6 ingependa suala hili lizungumzwe ktk faragha ili kulinda heshima ya serikali wakati ikitafuta wakati muafaka wa kuifutilia mbali kesi hii ya kihistoria.

Na hii huwa na uzito ikifanyika tête-à-tête huku viongozi wakiangaliana macho kwa macho katika chumba cha mazungumzo na kukubaliana kiungwana kesi hiyo ifutwe, ili ukurasa mpya wa mashirikiano kati ya Tanzania ya awamu ya 6 na Jumuiya za Kimataifa uendelee bila vikwazo vilivyotishiwa kuwekwa na wakubwa hawa wa dunia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom