Hili nalo neno!
Global Publishers walikuwa wanachota picha, maneno na uzushi huko Ze Utamu na kuchapa kwenye Ijumaa, Kiu n.k..Wao sijui nao itakuwa vipi.
Nashangaa watu wanawaona kama hawa jamaa wapo right kuchafua raia wema angalia kwa mfano leo wametoa Jide na Gadner wameng'ang'aniana midomo sijui wazazi na watoto wanao angalia picha kama zile wanapata fundisho gani hapo na watu humu humu wapo kimyaaaaaaaa wanasubili aonyeshwe Pinda au Sitta basi wataanza kusema jamaa wa GPL hawaja tenda haki sijui haki ni kwa mkubwa tu?
Fidel, while i agree na issue nyingi against magazeti ya GP, but i think you're going overboard with your example. Jide na Gadner kung'ang'aniana kulishuhudiwa hata na wazazi wao na wanafamilia wote wakati wa kusimika fungato walimo.
They're married, aren't they?!
hehehe haya Steve...
Lakini wameolewa kwa nini hawa jamaa sasa wawaweke hadharani kama mtu anajilia kuku wake kama mnavyo sema kuku wako mwenyewe manati ya nini?
Tatizo ni kwamba, tuna assume kwamba Tanzania inafuata sheria.Hasha.
Tanzania, hata kama kuna sheria ya kukufunga, nyota zako zikikaa sawa (familia, hela, influence etc) hufungwi ng'o, na ukifungwa yatapigwa makeke hata msamaha wa rais utatolewa. Na hata kama hakuna sheria ya kukufunga, wakikutaka watakupata tu, kwa chochote, utapigwa na trumped up charges ambazo zitazifanya za kodi za Pacino kuonekana child play.
Huyu bwana ana advantages za familia na uraia, lakini anakosemwa kugusa ni kubaya sana (Kikwete) kiasi kwamba hata familia nayo inabidi iende pole pole, ama sivyo itaonekana kama ilimtuma. Salvation yake nyingine ni uraia, lakini uraia huu wa kuchukua ukubwani waingereza wenyewe wanaweza kusema huyo mwanenu tumekurudishieni hatutaki beef na serikali yenu, especially zama hizi za ushirikiano mzuri wa law enforcement, kesho keshokutwa na sie tukiwataka kina Ghailani wetu msituwekee ntimanyongo, a fvaor for a favor.Kwa hiyo issue ya uraia kama hana base ya ku rally behind him (I am talking British citizens) watakaoandikia MPs wao na ku spin mambo ya human rights / freedom of speech violation, inaweza kuwa haina nguvu.Mara ngapi British subjects wanaoza Thailand kwa sababu ya ma drug deals? Tatizo linakuja kama kweli crime ilifanyika it can be debated kwamba haikufanyika Tanzania kwa maana ya kwamba servers zilikuwa Britain, lakini Watanzania kwa sababu hatuna precedent wanaweza kujinafasi na kusema the internet is bordeless na as long as broadcast/ publications zako zimefika Tanzania then you are liable to be tried in Tanzania under Tanzanian law.
At the end of the day I am convinced the guy will suffer but hardly do I imagine him doing time. Ila ndiyo kashatia doa kishenzi tu.
Something doesn't add up....
to me, hapa kuna hidden information:
1. Kwa nini ajiweke kando kutoka mitandaoni?
2. Kasema mpaka huko mbele ya safari ambako sijui itakuwaje? Kwani sasa ivi ikoje?
3. Four days amekuwa na majadiliano, huku habari imekuja humu ndani juzi...so he must have had knowledge on this pre-released here on JF.
4. Presha toka kwa Pilato ina maana gani? Pilato sio hakimu?
5. I should stay out of this mess - kama ni uongo na habari za kutunga, how is it a mess? Au unamaana kuna kitu kimeshaharibika na kuchafua hali?
6. Kumalizia statement kwa kusema lisemwalo lipo, kama halipo basi linakuja, unaongelea kuhusu jamaa wa utamu kukamatwa au kuhusu Peter kuhusishwa?
just my take on this...Pole kwa wote walioumizwa na zeutamu, na pole kwa familia pia.
Hivi vichekesho kweli!
Yaani mnaamini mwingereza anaweza akawa deported kienyeji enyeji hivo?
Kuna yule alihack computer za PENTAGON! Wamarekani wanataka awe deported ashitakiwe marekani, mpaka leo wanabishana mahakamani.
Ndio iwe hii ya kuweka picha za mtu online?? Eti kwa vile TZ tumewaomba? Tena ukifanya google news search hakuna habari yoyote from credible source inayomzungumzia huyu jamaa, yaani mwingereza awe deported bila mtu yoyote kuripoti? Habari ya Global Voices inatutumia sisi kama source!! lol!
Teh teh teh ...
Nyani Ngabu vp mbona sikioni umeingia mitini Komredi?
Serikali imeshindwa kurudisha pesa za rada huko visiwa vya U.K eti inaomba kumkamata ze utamu kha! jamani hivi wameshindwa hata kuwashughulikia walio kula pesa za EPA kupitia KAGODA wanahangaika na ze utamu.... huyo mwacheni mbona bushi amechafuliwa sana kwa mtandao sijawahi sikia USA inahangaika kuwatafuta wamiliki....jamani tujadili maendeleo ze utamu mwacheni atajifia mwenyewe.
Tuanze na pesa za rada watuambie wamewaomba interpool kusaidia sehemu waliyo ficha? watu eleze wamesha waomba interpool kujua vile vijisenti vimeishia wapi vya kule kwenye kisiwa?Jamani msiwe na uchungu na mzee Utamu mpaka achafuliwe rais ndo mnajidai kufuatilia kwa makini? Dadaangu ametundikwa pale hamkuomba hata serikali imtafute haya jama mkae mkijua mnawapa watu ulaji kwenye hili dili la kumtafuta ze utamu mtakapo kuja kuambiwa zimetumika bilioni 35 kumsaka ze utamu duniani popote pale msibaki vinywa wazi. Tushukuru tu mtandao umesha fungwa basi watu wapo na amani sasa.
Nataka niulize ile Grobalpublishers nayo vp haiwachafui watu? au hii kwa vile ipo home tu hapa hapa? au wale wanarekebisha tabia za watu? Au mpaka aandikwe waziri mkuu basi watu mtafunguka macho kuwa wana wananga watu?
Kwa herini narudi kujiexpress Komredi tutaonana nyumbani.
...Naona kampeni za damage control zishaanza. Who didn't see that coming.
Kwa unasema leo nikiamua kuanzisha website inayomkashifu rais, na nchi kwa ujumla, haitakuwa kosa? Na je under private law - civil liability - defamation, Kikwete na wengine wote hawana kesi hapo? Sidhani kama sheria itashindwa kumkamata, labda wanasheria wa serikali wachoke tu. Na pili, serikali inaweza kupitisha sheria in the meantime bungeni.
Larry Flint wa Hustler akianzisha ZeUtamu yake na kuendeleza libeneke hao Usalama wa taifa uchwara watakuja kumkamata na kumpeleka bongo kumfungulia mashitaka?
I swear hakuna kesi dhidi ya huyu mtuhumiwa. Ikiwepo watakuwa wanalazimisha kitu ambacho hakitanishangaza.
- Wakuu kumekuwa na tetesi ya hii habari kwa muda sasa, na hasa wiki iliyopita toka Jumapili nimejaribu sana kufuatilia kwa makini sana hii ishu kwa kujadiliana na wananchi mbali mbali wanaoifahamu, na ni muda mfupi tu uliopita nimeongea na mwenyewe mhusika akiwa akiwa anaendesha gari barabarani akitokea Birmingham kwenda nyumbani kwake,
- Na as a man na pia kama ndugu, nikamuuliza swali moja tu is it true or not, akanijibu kwamba he has absolutely nothing to do with it, na kwamba never katika anytime kuna yoyote kutoka kwenye authorities either ya Tanzania au ya UK amewahi kumuuliza anything on the ishu, sasa kama ndugu I take him at his word kwamba he is telling the truth and nothing but the whole truth.
- Nimeamua kuongea kama bina-adam, tena against ushauri wa wengi sana kwamba I should stay out of this mess, my heart goes kwa the victims wa hiyo kitu ambayo kwangu hata kuitaja nasikia chills mwilini kutokana na habari nyingi mbaya sana nilizowahi kuzisikia, binafsi nimewahi kuichungulia mara mbili tu, kwanza walipodhalilishwa marafiki wa karibu sana na familia yangu, na pili alipodhalilishwa Mheshimiwa rais, na ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuweza kufanikisha kuondolewa kabisa kwa hiyo kitu ambayo ninaiita mkono wa shetani.
- Lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja, ni matumaini yangu kwamba authorities yetu wako on the top of this ishu, ni kukamatwa tu kwa owner ndiyo njia pekee ya kuelekea kwenye healing na recovery kwa victims ambao nasikia ni wengi sana wa hiyo kitu, ninawaombea Mungu awape baraka na spirit of quick recovery ingawa pia with the presha toka kwa pilato na this ishu in the last few weeks, baada ya hii topic nitajiweka kando rasmi na mitandao in general mpaka huko mbele ya safari ambako sijui itakuwaje na ni lini.
Ahsante Sana Wakuu.
William. - Community Organizer (CO)
Kuna tofauti za kuweka picha za uchi za watu walio-consent, na kuweka picha za uchi za raia mwema, na zaidi kuweka photoshopped pictures za mtu.
I think defamation is an option hapa! Tena wampeleke huko Uingereza maana defamation yao ipo well developed! Criminal law ya Tz sijui sana, na Uingereza itabidi waangalia katika hiyo cybernet act, nk.
But you simply cant say he has no case to answer! Posting nude pictures of innocent civilians katika mtandao usiwe na kesi?! Hii ni tofauti sana na Hustler na Playboy. Two different games hapa..
Nafuu alivyokamatwa sasa tutapumzika
No, hukunielewa. Nilikuwa na maana kuwa vipi Larry Llint akianzisha blog yake kama hiyo ya Utamu halafu wabongo wakawa wanapeleka picha kama walizokuwa wanapeleka huko Utamu original. Bush, Mama Clinton, Blair, Queen Elizabeth, etc. wote wameshakuwa photoshoped na kama unabisha sema nikuwekee ma link hapa uone jinsi watu walivyokuwa diabolic
Kwa hiyo wakimpeleka huko Uingereza kesi itakuwa ya nani dhidi ya nani?
Hahahaha...kuna mambo mengi hapa. Kwanza inategemea hizo nude pictures zimepatikanaje (mambo ya Privacy laws na private vs public place). Kama hizo picha zilipigwa kutoka kwenye public place hakuna kesi hapo. Kama privacy ya mtu ilikuwa intruded, then that's something else. Bottom line, the case against him is weak.
Na tumeshaambiwa kuwa kuna malalamiko zaidi ya 6800Kuhusu plaintiff, kwani kesi ya defamation inakuwa nani v nani mkuu? Si a private law...so it can be Kikwete, it can be the individuals who can prove its effect on them...
Am afraid the law has changed. Public taken photos in certain circumstances be held to be intrusion of privacy. Hiyo ni kesi ya Hosking v Runting - google uisome vizuri.
Kuhusu plaintiff, kwani kesi ya defamation inakuwa nani v nani mkuu? Si a private law...so it can be Kikwete, it can be the individuals who can prove its effect on them, it can also be the government kama inataka kuhusika. Nadhani unaweza hata ku-pool plaintiffs wengi pamoja, kwa mfano kesi za makampuni ya sigara marekani, au kosa linapoathiri wengi, kama zile kesi za asbestos miaka ya 70s.
Kwa mtu ku-photoshop picha moja na kusambaza ni tofauti na kutengeneza website inayoweka hizo picha na kusambaza kila siku. Hapo nadhani ndo unavuka mpaka, au sio? Maana moja, hawatatumia resources kutafuta culprit, lakini ukifanya iwe biashara sasa...duh, sidhani kama watakusamehe. I would imagine mtu huyo angeshukiwa na private lawsuits mpaka alie!