Kandambili
Member
- Aug 5, 2008
- 83
- 1
Mimi hapo ndio Wadanganyika wanaponishangaza, Mbona Hamtafuti njia ya Kuwakamata MAFISADI??? huyo ze Utamu hata mkimpata mtamfanya nini, kama sisi wenyewe ndio tunaotuma picha za wenzetu ili watukanwe, Dada zetu ndio wanaifanya hiyo the Utamu iendelee kuwepo, wanapoibiana mabwana marafiki kwa marafiki kukomoana ndio wanatuma picha huko ili wachambuliwe na kutukanwa, wengine wanaoingia kule na kupolomosha matusi hata hawajui chazo wala hawajui wahusika kiundani, ila wanafata mkumbo tu.
Ushauri wangu kwetu watanzania wenzangu ni huu, kama kweli tunataka hiyo Ze utamu ife ni bora tuanze sisi wenyewe kwa kutotuma picha za wenzetu, au wagomvi wetu huko na hiyo web ikikosa mada (picha itaisha umaarufu pole pole na hatimaye kufa kabisa) lakini dada zetu wataendelea na hiyo tabia na uhakika hakuna kitakachoendelea, hamuwezi kumkamata na wala kumzuia kuendelea na hiyo blog yake.
Nawakilisha.
Bwana DOMO un ayo haki ya kuyasema hayo yote, sikutofautishi sana na ze utamu kwa kubase kwenye picha unayojitambulisha nayo, TYPICAL ZE UTAMU.